Kitila abainisha madhaifu mawili ya Zitto Kabwe Katika Uongozi
![](http://2.bp.blogspot.com/-Hl0f2VUPGNg/VVIVCgsYiJI/AAAAAAAAtrc/VdiZA6Z_5-I/s72-c/zkabwe.jpg)
Prof anachambua pamoja na mambo mengine , madhaifu ya Zitto Kabwe na kushauri apatiwe mda wa kujirekebisha aweze kuwa kiongozi wa kitaifa, mapungufu hayo kwa maneno yake mwenyewe Proffessor:Pengine udhaifu mkubwa wa Zitto kama kiongozi upo katika maeneo makubwa mawili.Kwanza, ni kushindwa kupima maana na matokeo mapana ya kauli zake kabla hajazitoa. Mara kadhaa Zitto amekuwa akitoa kauli ambazo huacha ukakasi mkubwa katika jamii.
Kwa mfano, akiwa katika kampeni za ubunge mwaka 2010 alitangaza...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-s5UAZZu97Bw/VIP0o6RWVhI/AAAAAAAG1uY/im10bdKrtgY/s72-c/121763be872e1c66f1283b5ade15117c.jpeg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iQ6E7KpUEew/VQwwur3Vt0I/AAAAAAAHLp0/3QgR5XuY8kY/s72-c/zitto.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Dk. Kitila amruka Zitto
ALIYEKUWA mjumbe wa Kamati Kuu (CC) ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Kitila Mkumbo, amemuumbua Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto, akisema kuwa aliufahamu mkakati wa usaliti uliokuwa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jhHRq1Zv5Oo/Vd3FLoPUkUI/AAAAAAAH0OU/Lc5wZWOU4Kc/s72-c/IMG-20150823-WA0028.jpg)
TIMU ZA FC BONGO NA FC KILIMANJARO ZILITOKA SARE YA MABAO MAWILI MAWILI KATIKA MECHI ILIYOFANYIKA KTK JIJI LA HELSINKI NCHINI FINLAND
Kilimanjaro ilikuja juu na kufanikiwa kusawazisha kwa kona iliyopigwa na Richard Joseph ambayo ilimshinda nguvu kipa wa fc Bongo baada ya purukushani ndani ya lango hilo.
Kipindi cha pili kilianza kwa nguvu na kwenye dkk ya 80 Abass Kunha aliongeza bao la pili, vijana wa kilimanjaro waliongeza nguvu na baada ya dkk 5 wakafanikiwa kukomboa...
11 years ago
Bongo530 Jul
Zitto Kabwe apongeza nguvu ya mitandao ya kijamii kwa kusababisha kusitishwa kwa ajira katika idara ya uhamiaji
10 years ago
IPPmedia12 Mar
I'm still MP, declares Zitto Kabwe
IPPmedia
IPPmedia
Kigoma North MP Zitto Kabwe, who was as of yesterday stripped of party membership by Chadema's Central Committee (CCC) told reporters in Dar es Salaam yesterday that he is also still chairperson of the Public Accounts Committee (PAC). “As you can see ...
Bunge Speaker to determine Zitto's fateDaily News
Zitto Loses Court Battle, Axed From ChademaAllAfrica.com
all 9
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
Nakuhurumia Zitto Kabwe
Kwa wasomaji ambao hawakubahatika kuisoma makala hii, basi watambue kuwa iliandikwa na SAMSON MWIGAMBA Desemba 9, 2009. Wakati huo Mwigamba alikuwa na mtazamo huu kuhusu Zitto. Lakini ni Mwigamba huyo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uY3PJt2fxPwBvzyav3SUM3awUicB*lqZpI9qqZ4nZB3A0vjpsnS3ueCM8rYta2-oF9opUTbo1VWAg5494VZRY8fDcNoEA0OX/ZITTOKABWE.jpg?width=650)
MASKINI ZITTO KABWE CHADEMA
11 years ago
Tanzania Daima24 Dec
Lissu amshukia Zitto Kabwe
MWANASHERIA Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amesema kuwa watu wanaosema kwamba maamuzi ya Kamati Kuu ya chama hicho kuwavua nafasi za uongozi makada wake watatu...