Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkakati wasukwa kumaliza mzozo Ukraine

Nchi za magharibi zimeweka mipango ya kumaliza mapigano mashariki mwa Ukraine

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Serikali,FARC kumaliza mzozo wa Colombia

Rais wa Colombia Juan Manuel Santos ana matumaini kuwa makubaliano yaliyotiwa saini yataleta amani

 

9 years ago

BBCSwahili

Magufuli aagizwa kumaliza mzozo Zanzibar

Marekani imeitaka serikali ya Tanzania kuheshimu maamuzi ya raia wa Zanzibar katika uchaguzi wa urais uliopita.

 

9 years ago

Mwananchi

Busara itumike kumaliza mzozo wa kodi ya TFF

Serikali ya Rais John Magufuli imeanza kazi kwa nguvu, ikielekeza macho yake katika ukusanyaji wa mapato kwa kuhakikisha wote wanaotakiwa kulipa kodi, wanafanya hivyo na kudhibiti matumizi ya fedha hizo za walipakodi.

 

5 years ago

Michuzi

TUNDURU YAWEKA MKAKATI WA KUMALIZA VIFO VYA MAMA NA WATOTO WACHANGA

 Muuguzi Mkuu wa Hospitali ya wilaya Tunduru mkoani Ruvuma Renatus Mathias akiongea jana  wakati wa mafunzo ya siku moja ya kuwajengea uwezo wauguzi na matatibu kutoka zahanati na vituo vya Afya  mafunzo yaliyolenga kuwajengea uwezo  ikiwa ni mkakati wa Hospitali hiyo kupunguza vifo vya akina mama wajawazito wakati wa kujifungua,watoto wachanga na walio chini ya umri wa miaka mitano,katikati Mganga Mkuu wa wilaya hiyo Dkt Wendy Robert na kulia afisa lishe wa wilaya Martha Kibona.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mkataba wa Jaja wasukwa Brazil

KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Marcio Maximo, amesema mchezaji mpya, Geilson Santos ‘Jaja’ anachelewa kusaini mkataba na timu hiyo kutokana na mkataba wake kuandaliwa nchini Brazil, pia akiendelea kufuatilia...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mzozo wa Sudan kusini

Viongozi wa pande zinazopingana Sudan, hawajaunda serikali ya mpito katika kipindi cha siku 90 kama ilivyokubaliwa mwezi wa 8.

 

10 years ago

Habarileo

Mzozo Escrow kumalizwa J3

Rais Jakaya Kikwete.SAKATA la utoaji wa Sh bilioni 182.7 katika iliyokuwa akaunti ya Escrow katika Benki Kuu wa Tanzania (BoT), lililonguruma ndani ya Bunge na kuendelea nje tangu mwanzoni mwa Novemba mwaka huu, linatarajiwa kupewa majibu ya kina Jumatatu ijayo.

 

10 years ago

GPL

DIAMOND, PENNY MZOZO UPYA

WAANDISHI WETU/Amani11
IMEVUJA! Ile mimba ya aliyekuwa Mtangazaji wa Efm Radio, Penieli Mungilwa ‘Penny’ ambayo ilijulikana alipachikwa na staa wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ imezua mzozo upya baada ya kuvuja kwa madai mengine. Staa wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’. Chanzo makini kimeliambia Amani kwamba, tofauti na madai ya Diamond kwamba Penny alitoa...

 

11 years ago

Mtanzania

Mzozo waibuka familia ya Mandela

Mke wa zamani wa Nelson Mandela, Winnie Mandela

Mke wa zamani wa Nelson Mandela, Winnie Mandela

Mwandishi Wetu na Mashirika ya habari

MTALIKI wa Rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini, Winnie Mandela ameibuka na kutaka watoto wake wapewe nyumba yake iliyoko kijijini Qunu.

Hatua yake hiyo huenda ikazua mgogoro wa kwanza wa kisheria kuhusiana na mali za Nelson Mandela tangu alipoaga dunia mwaka jana.

Mawakili wa Winnie Madikizela-Mandela wamesema kudai nyumba hiyo ni haki yake ya kiutamaduni kwa vile aliwahi kuwa mke wa marehemu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani