Barack Obama apigia chapuo vijana kuongoza Afrika
Rais wa Marekani, Barack Obama amesema Afrika inahitaji viongozi vijana katika nyakati hizi, kwa kuwa ndiyo wenye uwezo wa kujenga uhuru, kujitegemea na usimamizi mzuri wa haki za raia na utawala wa sheria.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-PmU6dqVhZGc/U9ce33mnFyI/AAAAAAAAGi4/rZzOIQRJjVE/s1600/IMG-20140728-WA0006.jpg?width=480)
RAIS WA MAREKANI BARACK OBAMA AZUNGUMZA NA VIONGOZI VIJANA TOKA BARANI AFRIKA
Ukumbi wa Regency Ballroom katika Hotel ya Omni Shoreham Washington DC ukiwa umepambwa kwa Bendera toka mataifa mbalimbali ikiwemo Tanzania. Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani John Kerry akitoa hotuba yake kwa Viongozi vijana toka barani Afrika waliokuwa wakishiriki mafunzo katika vyuo vikuu vya Arkansas na Florida nchini Marekani.…
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-AX87MJosDz4/U6El36hCbjI/AAAAAAAFrZI/8ImiO3bPwe4/s72-c/unnamed+(3).jpg)
MALKIA MAXIMA WA UHOLANZI APIGIA CHAPUO UMUHIMU WA UJUMUISHI WA KIFEDHA KWA MAENDELEO
Na Mwandishi Maalum, New York
Malkia Maxima wa Uholanzi jana ( June 17) aliongoza majadiliano ya mkakati juu ya ujumuishi wa kifedha (Inclusive Financing) kama mojawapo ya misingi ya agenda ya Maendeleo baada ya 2015.
Malkia Maxima alishiriki katika majadiliaho hayo yaliyoitishwa na Wakilishi za Kudumu za Tanzania, Peru na Indonesia katika Umoja wa Mataifa.
Nchi hizi tatu zinaongoza mchakato wa kusukuma mbele agenda hiyo ya ujumuishi wa kifedha katika Umoja...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oszb1oYwZCnxE0W-S3cie9LzNLVnXDVx1ezLKT2tA3fmYJG-SqnOJxVMIyFqUgg5icMQMPIz5*AMO2OXQIppKAkzo4j7T9dS/MALKIA1.jpg?width=650)
MALKIA MAXIMA WA UHOLANZI APIGIA CHAPUO UMUHIMU WA UJUMUISHI WA KIFEDHA KWA MAENDELEO
Malkia Maxima wa Uholanzi akiongoza majadiliano kuhusu mchakato wa Ujumuishi wa Kifedha, mchango unaoongozwa na wenye-viti wenza watatu ambao ni wawakilishi wa kudumu wa Tanzania, Peru na Indonesia. Malkia Maxima ambaye ni Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu aliongoza majadiliano hayo kwa mwaliko wa wenyeviti wenza hao watatu.
Malkia Maxima wa Uholanzi akiwa katika picha ya pamoja na...
10 years ago
Bongo528 Jul
Ujio wa Obama nchini Kenya waacha historia, watoto waliozaliwa siku aliyowasili waitwa Barack Obama na wengine ‘AirForceOne’
Ujio wa Rais wa Marekani, Barack Obama umeacha historia ya mambo mengi kwa wananchi wa Kenya. Baadhi ya wazazi wa watoto waliozaliwa siku ambayo Obama alitua nchini Kenya Ijumaa ya July 24, wamewapa watoto wao majina yanayohusiana na Rais huyo. Mzazi mmoja aliyejifungua mtoto wa kiume siku hiyo aliamua kumpa mtoto wake jina la Rais […]
11 years ago
Public Radio International21 Jun
Where have all the honeybees gone? Barack Obama wants to know
Public Radio International
Public Radio International
A honeybee takes nectar from a flower in Tanzania, while pollen attaches to its body. US President Barack Obama on Friday created a presidential commission to study the collapse of honeybee colonies and other pollinators across the country. There's fear ...
11 years ago
Michuzi03 Aug
10 years ago
Daily News15 Jun
Barack Obama set to get 'kifimbo' from Tanzania
Daily News
US President Barack Obama will soon receive a 'leadership wand' similar to the one which was used by Tanzania's first president, Mwalimu Julius Nyerere, from the same sculptor who made the latter's banter. Speaking in Arusha, renowned artist, sculptor ...
10 years ago
BBCSwahili24 Mar
Barack Obama ataka amani Nigeria
Raisi Barack Obama ametoa mwito kwa wa Nigeria kusitisha vurugu kuelekea uchaguzi mkuu wa nchi hiyo mapema mwishoni mwa wiki hii.
10 years ago
BBCSwahili10 Nov
Rais Barack Obama aizungumzia Iraq
Rais Obama amesema awamu ya kwanza ilikuwa ni kwa ajili ya kuandaa serikali ya pamoja na yenye kuaminika nchini Iraq.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania