Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Barack Obama apigia chapuo vijana kuongoza Afrika

Rais wa Marekani, Barack Obama amesema Afrika inahitaji viongozi vijana katika nyakati hizi, kwa kuwa ndiyo wenye uwezo wa kujenga uhuru, kujitegemea na usimamizi mzuri wa haki za raia na utawala wa sheria.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

RAIS WA MAREKANI BARACK OBAMA AZUNGUMZA NA VIONGOZI VIJANA TOKA BARANI AFRIKA

Ukumbi wa Regency Ballroom katika Hotel ya Omni Shoreham Washington DC ukiwa umepambwa kwa Bendera toka mataifa mbalimbali ikiwemo Tanzania. Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani John Kerry akitoa hotuba yake kwa Viongozi vijana toka barani Afrika waliokuwa wakishiriki mafunzo katika vyuo vikuu vya Arkansas na Florida nchini Marekani.…

 

11 years ago

Michuzi

MALKIA MAXIMA WA UHOLANZI APIGIA CHAPUO UMUHIMU WA UJUMUISHI WA KIFEDHA KWA MAENDELEO

Na Mwandishi Maalum, New York   Malkia Maxima wa Uholanzi jana ( June 17) aliongoza majadiliano ya mkakati juu ya ujumuishi wa kifedha (Inclusive Financing)  kama mojawapo ya misingi ya agenda ya Maendeleo baada ya 2015.  Malkia Maxima alishiriki katika majadiliaho hayo yaliyoitishwa na Wakilishi za Kudumu za Tanzania, Peru na Indonesia katika Umoja wa Mataifa.  Nchi hizi tatu zinaongoza mchakato wa kusukuma mbele agenda hiyo ya ujumuishi wa kifedha katika Umoja...

 

11 years ago

GPL

MALKIA MAXIMA WA UHOLANZI APIGIA CHAPUO UMUHIMU WA UJUMUISHI WA KIFEDHA KWA MAENDELEO

Malkia Maxima wa Uholanzi akiongoza majadiliano kuhusu mchakato wa Ujumuishi wa Kifedha,  mchango  unaoongozwa na wenye-viti wenza watatu ambao  ni wawakilishi wa kudumu wa Tanzania, Peru na  Indonesia. Malkia Maxima ambaye ni  Mjumbe  Maalum wa Katibu Mkuu  aliongoza majadiliano hayo kwa  mwaliko  wa  wenyeviti wenza hao watatu.
Malkia Maxima wa Uholanzi  akiwa katika picha ya pamoja na...

 

10 years ago

Bongo5

Ujio wa Obama nchini Kenya waacha historia, watoto waliozaliwa siku aliyowasili waitwa Barack Obama na wengine ‘AirForceOne’

Ujio wa Rais wa Marekani, Barack Obama umeacha historia ya mambo mengi kwa wananchi wa Kenya. Baadhi ya wazazi wa watoto waliozaliwa siku ambayo Obama alitua nchini Kenya Ijumaa ya July 24, wamewapa watoto wao majina yanayohusiana na Rais huyo. Mzazi mmoja aliyejifungua mtoto wa kiume siku hiyo aliamua kumpa mtoto wake jina la Rais […]

 

11 years ago

Public Radio International

Where have all the honeybees gone? Barack Obama wants to know


Public Radio International
Where have all the honeybees gone? Barack Obama wants to know
Public Radio International
A honeybee takes nectar from a flower in Tanzania, while pollen attaches to its body. US President Barack Obama on Friday created a presidential commission to study the collapse of honeybee colonies and other pollinators across the country. There's fear ...

 

10 years ago

Daily News

Barack Obama set to get 'kifimbo' from Tanzania


Barack Obama set to get 'kifimbo' from Tanzania
Daily News
US President Barack Obama will soon receive a 'leadership wand' similar to the one which was used by Tanzania's first president, Mwalimu Julius Nyerere, from the same sculptor who made the latter's banter. Speaking in Arusha, renowned artist, sculptor ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Barack Obama ataka amani Nigeria

Raisi Barack Obama ametoa mwito kwa wa Nigeria kusitisha vurugu kuelekea uchaguzi mkuu wa nchi hiyo mapema mwishoni mwa wiki hii.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Barack Obama aizungumzia Iraq

Rais Obama amesema awamu ya kwanza ilikuwa ni kwa ajili ya kuandaa serikali ya pamoja na yenye kuaminika nchini Iraq.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani