Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MALKIA MAXIMA WA UHOLANZI APIGIA CHAPUO UMUHIMU WA UJUMUISHI WA KIFEDHA KWA MAENDELEO

Malkia Maxima wa Uholanzi akiongoza majadiliano kuhusu mchakato wa Ujumuishi wa Kifedha,  mchango  unaoongozwa na wenye-viti wenza watatu ambao  ni wawakilishi wa kudumu wa Tanzania, Peru na  Indonesia. Malkia Maxima ambaye ni  Mjumbe  Maalum wa Katibu Mkuu  aliongoza majadiliano hayo kwa  mwaliko  wa  wenyeviti wenza hao watatu.
Malkia Maxima wa Uholanzi  akiwa katika picha ya pamoja na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MALKIA MAXIMA WA UHOLANZI APIGIA CHAPUO UMUHIMU WA UJUMUISHI WA KIFEDHA KWA MAENDELEO

Na Mwandishi Maalum, New York   Malkia Maxima wa Uholanzi jana ( June 17) aliongoza majadiliano ya mkakati juu ya ujumuishi wa kifedha (Inclusive Financing)  kama mojawapo ya misingi ya agenda ya Maendeleo baada ya 2015.  Malkia Maxima alishiriki katika majadiliaho hayo yaliyoitishwa na Wakilishi za Kudumu za Tanzania, Peru na Indonesia katika Umoja wa Mataifa.  Nchi hizi tatu zinaongoza mchakato wa kusukuma mbele agenda hiyo ya ujumuishi wa kifedha katika Umoja...

 

11 years ago

Mwananchi

Malkia Maxima wa Uholanzi awasili nchini

Malkia wa Uholanzi, Maxima amewasili nchini jana.Malkia Maxima leo anatarajiwa kuzindua Mpango wa Taifa wa Huduma za Fedha wenye lengo la kuangalia na kutafuta ufumbuzi juu za changamoto zinazozorotesha huduma za fedha.

 

11 years ago

Mwananchi

Barack Obama apigia chapuo vijana kuongoza Afrika

Rais wa Marekani, Barack Obama amesema Afrika inahitaji viongozi vijana katika nyakati hizi, kwa kuwa ndiyo wenye uwezo wa kujenga uhuru, kujitegemea na usimamizi mzuri wa haki za raia na utawala wa sheria.

 

11 years ago

Habarileo

Malkia wa Uholanzi aitaka Serikali kusaidia wakulima

Malkia Maxima wa UholanziMALKIA Maxima wa Uholanzi, ameitaka Serikali kuelekeza juhudi zaidi katika kusaidia wakulima na kuwatafutia masoko ya mazao wanayozalisha ili waweze kuinua hali zao za maisha.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Umuhimu sayansi na teknolojia kwa maendeleo ya nchi

VIJANA nchini hawana budi kupenda kujifunza masomo ya sayansi na teknolojia, ili waweze kupata ujuzi na mitazamo katika sekta ya gesi ambayo inakuwa kwa kasi kubwa nchini na duniani kwa...

 

11 years ago

Michuzi

DKT. BILAL AWAELEZA WASOMI JAPAN UMUHIMU WA VITEGA UCHUMI KWA MAENDELEO YA AFRIKA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa muhadhara katika Chuo Kikuu cha Taaluma ya Sera 'GRIPS' wakati alipoalikwa kwenye muhadhara huo uliofanyika chuoni hapo Jijini Tokyo Japan, jana Mei 23, 2014. Baadhi ya wanachuo kutoka mataifa mbalimbali wa Chuo hicho waliohudhuria Muhadhara huo, wakimsikiliza Makamu wa Rais Dkt. Bilal, wakati alipokuwa akitoa muhadhara. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib ...

 

11 years ago

Dewji Blog

Makamu wa Rais Dkt. Bilal awaeleza wasomi Japan umuhimu wa vitega uchumi kwa maendeleo ya Afrika

2

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib  Bilal, akitoa muhadhara katika Chuo Kikuu cha Taaluma ya Sera ‘GRIPS’ wakati alipoalikwa kwenye muhadhara huo uliofanyika chuoni hapo Jijini Tokyo Japan, jana Mei 23, 2014. (Picha na OMR).

Na Mwandishi Maalum, Tokyo

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal amesema nchi zinazoendelea hususan za Kiafrika bado zinahitaji uwekezaji zaidi vitega uchumi kutoka nje  (FDIs) ili kupata...

 

10 years ago

Dewji Blog

#UNTZ: UNCDF kuendelea kusaidia kujenga uwezo wa kifedha kuhudumia maendeleo

DSC_0053

Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu kataka Wizara hiyo Dkt. Deogratius Mtasiwa, akizungumza kwenye mkutano wa watendaji waandamizi wa serikali kutoka katika Ofisi ya WaziriMkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) pamoja na waandishi wa habari kuhusiana na Programu ya Utafutaji Fedha Nchini kwa maendeleo ya wananchi (Global Local Finance Initiative (LFI) ambayo ilianza katika awamu ya...

 

11 years ago

Bongo5

Uholanzi yailaza Brazil 3-0,Uholanzi yashika nafasi ya 3 kombe la dunia

Timu ya taifa ya Uholanzi imeibamiza Brazil 3-0 na kutwaa nafasi ya tatu katika kombe la dunia huko Brazil. Mashabiki wa Brazil waliwazomea wachezaji wao akiwemo kocha Luiz felipe Scolari kwa utendakazi duni katika mechi hizi mbili za mwisho ambazo Brazil imefungwa mabao 10 nayo ikifunga moja. Brazil ilifungua mechi hiyo kwa kasi lakini ikafungwa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani