Sheria ya ubakaji kufanyiwa marekebisho-Morocco
Bunge la Morocco limeidhinisha sheria iliyoruhusu wanaume waliowabaka wasichana kutofunguliwa mashtaka ikiwa watawaoa waathiriwa wao
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Sheria 33 kufanyiwa marekebisho Bunge lijalo
10 years ago
Habarileo19 Mar
Marekebisho ya sheria ya ushahidi yaja
WAZIRI wa Katiba na Sheria Zanzibar, Abubakar Khamis Bakary amesema marekebisho ya sheria ya ushahidi ya mwaka 1917 yapo katika hatua za mwisho ngazi za watendaji wakuu.
10 years ago
Habarileo23 Nov
Marekebisho Sheria ya HESLB yaondolewa
SERIKALI imeondoa sehemu ya marekebisho ya sheria katika Sheria ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), baada ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii, kupinga ikidai itawanyima fursa wanafunzi kutoka familia masikini kupata mikopo.
11 years ago
Mwananchi17 May
Mbunge ataka marekebisho ya sheria sasa
10 years ago
Habarileo19 Nov
Muswada wa Marekebisho Sheria ya Ubia wawasilishwa
SERIKALI imewasilisha bungeni Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Ubia baina ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) kwa nia ya kuboresha usimamizi na uratibu wa masuala ya ubia kati ya pande hizo.
10 years ago
Habarileo23 Oct
Wadau waanza kutoa maoni marekebisho ya sheria 33
KAMATI ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala, imeshaanza kukutana na wadau katika kupata maoni kufuatia Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria mbalimbali wa mwaka 2014, unaopendekeza kuzifanyia marekebisho sheria 33. Muswada huo utawasilishwa katika vikao vya Bunge vinavyotarajiwa kuanza Novemba 4, mwaka huu mjini Dodoma.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JPBsXrc94hQ/VQHsAXht77I/AAAAAAAHJ70/QmwSTOq1uQo/s72-c/pinda%2Bmizengo.jpg)
SERIKALI KUPELEKA BUNGENI MUSWADA WA MAREKEBISHO YA SHERIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-JPBsXrc94hQ/VQHsAXht77I/AAAAAAAHJ70/QmwSTOq1uQo/s1600/pinda%2Bmizengo.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Magogoni jijini Dar es Salaam, jana jioni (Jumatano, Machi 11, 2015) Waziri Mkuu alisema Serikali inakusudia kuwasilisha muswada huo kwenye mkutano ujao wa Bunge unaotarajiwa kuanza Jumanne ijayo, (Machi 17).
Hata hivyo, Waziri Mkuu amewasihi Watanzania waondoe hofu iliyoenezwa na tetesi...
10 years ago
StarTV28 Jan
Baadhi ya miswada ya sheria yakwama kufanyiwa kazi.
Na Joyce Mwakalinga
Dodoma.
Baadhi ya miswada ya sheria ya Serikali imekwama kufanyiwa kazi leo katika mkutano wa kumi na nane wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutokana na sababu mbambali ikiwemo ya mahudhurio hafifu ya Wabunge.
Miswada hiyo ni pamoja na ule wa Sheria ya Usimamizi wa Kodi wa Mwaka 2014 ambao ulitakiwa kupigiwa kura pamoja na mswada wa sheria ya Takwimu wa mwaka 2013 uliokwama kutokana na kutokamilishwa kwa baadhi ya shughuli.
payday loan in arlington texas ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rMZ-YWec78k/XlaN0jUnIhI/AAAAAAALflE/1HkjTAISwYwQ5zbmaJRfgNeVt9LpG30bwCLcBGAsYHQ/s72-c/424.jpg)
Zanzibar kufanya marekebisho ya sheria ya dawa za kulevya - Balozi Seif
Alisema hatua mbali mbali za kupambana, kukemea pamoja na kuchukia shughuli zote zinazoshajiisha matumizi ya Dawa za Kulevya zitapaswa kuchukuliwa kutokana na janga hili linaloikumba Dunia kwa kuathiri nguvu...