WAKALA WA JIOLOJIA TANZANIA (GST) WAFANYA MAFUNZO YA AWALI
Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST) yafanya mafunzo ya awali kwa baadhi ya waajiriwa wapya juu ya sheria , maadili , kanuni na taratibu za kazi kwa mtumishi wa Umma ,Pichani mbele ni Kaimu Mtendaji Mkuu wa GST , Bi Augustine Rutaihwa , Meneja Rasilimali watu na Maendeleo wa GST , Bw . Gabriel Kasase na Bw. Rodney F. Matalis ambaye ni muwezeshaji wa mafunzo hayo kutoka Tume ya Usuluhishi na Upatanishi (CMA) kanda ya Kati - DODOMA.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Xs8dbecKBs0/XlIbIPQ9chI/AAAAAAALe5I/uFtY8GwfLX8WxAO20YhgCQn9JN39tzPvwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200222-WA0000.jpg)
Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania atembelea banda la GST
![](https://1.bp.blogspot.com/-Xs8dbecKBs0/XlIbIPQ9chI/AAAAAAALe5I/uFtY8GwfLX8WxAO20YhgCQn9JN39tzPvwCLcBGAsYHQ/s1600/IMG-20200222-WA0000.jpg)
Aidha, kupitia maonesho hayo Dkt.Budeba amepata fursa ya kufanya mazungumzo na wawekezaji mbalimbali...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-q_VodpDDQ08/VD_bQL_OQKI/AAAAAAAGq9M/KEx211MEZ_s/s72-c/unnamed.jpg)
WAKALA WA JIOLOJIA TANZANIA YATOA NAFASI 44 ZA AJIRA
Kwa mujibu wa Meneja Rasilimali watu na Maendeleo wa GST, Bw.Gabriel Kasase alimjulisha Afisa habari wa GST kuwa ajira hizo 44 zimegawanyika katika kwa kila idara ya taasisi ambazo alizitaja kuwa Idara ya utawala nafasi kumi na sita (16) , Idara ya Jiolojia nafasi kumi na moja(11) ,...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0i0EQ_EewCM/VD5edO24S7I/AAAAAAAGqnk/sRoN4PmukUg/s72-c/unnamed.jpg)
WAKALA WA JIOLOJIA TANZANIA , YAFANIKIWA KUKAMILISHA UTAFITI WA KUTENGENEZA VIKOMBE VYA KUPIMIA DHAHABU(CRUSIBLE)
Wakala wa Jiolojia Tanzania , umefanikiwa kupunguza gharama za upimaji wa sampuli za dhahabu katika maabara yake kwa kufanikiwa kwa asilimia mia moja kuweza kutengeneza vikombe vya kupimia dhahabu (Crusible) ndani ya maabara yake ya Jiolojia mkoani Dodoma.
Kwa mujibu wa mtaalam wa Jioloji katika Maabara ya GST, Bw. Philipo Momburi alieleza kuwa hapo awali maabara ilikuwa inaagiza vikombe vya kupimia dhahabu maabara kutoka nje ya nchi , jambo ambalo lilikuwa likiingiza taasisi...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Trp_ZvF4iNU/Vhy7VUl9wiI/AAAAAAAH_rU/AvdKSulk5Mg/s72-c/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
watoto wa shule ya awali ya Genesisi wapata mafunzo ya awali ya kuzima moto
![](http://2.bp.blogspot.com/-Trp_ZvF4iNU/Vhy7VUl9wiI/AAAAAAAH_rU/AvdKSulk5Mg/s640/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-oKdfpCdXjBg/Vhy7Vugc1_I/AAAAAAAH_rY/GaX_YoQlwBg/s640/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog18 Sep
Wakala wa huduma za ajira Tanzania (TaESA) wamefanikiwa kutoa mafunzo kwa watafuta kazi 2146
Afisa Habari wa Wakala wa Huduma za Ajira Tanzania (TaESA) Bi. Jamila Mbaruku akiewaeleza waandishi wa Habari( hawapo pichani) kuhusu kuhusu mikakati ya wakala wa huduma za ajira kusaidia wananchi wa tanzania kuingia katika ushindani wa soko la ajira nchini ikiwemo kutoa mafunzo kwa Watafuta kazi.Wakati wa Mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Afisa Tawala wa Wakala hiyo Bw. Peter Ugata.
Afisa Tawala wa Wakala wa Huduma za Ajira Tanzania (TaESA) Bw. Peter Ugata akitoa wito...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gk-Khs5Ug5MaCQLlqWorq58RogOH46Zc2OG5XhsHBcQp09hdg9WlyGHsNUfxMbm1IGi6Jmep3fgwKPk8r5F4SN8G2et*Faiw/001.WANAFUNZI.jpg?width=650)
WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDORI EFATHA WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO VODACOM TANZANIA
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HnjAJj1hX9c/VnPc0KXU55I/AAAAAAAAQPk/oc52sq6VPP4/s72-c/20151218_091847.jpg)
UJUMBE WA SHIRIKA LA NYUMBA UGANDA WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO NHC TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-HnjAJj1hX9c/VnPc0KXU55I/AAAAAAAAQPk/oc52sq6VPP4/s640/20151218_091847.jpg)
11 years ago
MichuziWAOMBAJI WA NAFASI YA MKAGUZI MSAIDIZI UHAMIAJI WAFANYA USAILI WA AWALI UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO
11 years ago
MichuziTWA NA BENKI YA WANAWAKE TANZANIA (TWB) WAFANYA MAFUNZO KITUO CHA KINAMAMA WENYE WATOTO WENYE UGONJWA WA MTINDIO WA UBONGO NA MGONGO WAZI CHAWAWAKI KIGAMBONI