Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDORI EFATHA WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO VODACOM TANZANIA

Baadhi ya wanafunzi  wa shule ya sekondari ya Efatha iliyopo Bagamoyo Mkoa wa Pwani, wakimsikiliza Ofisa Rasilimali Watu wa Vodacom Tanzania, Ndihagati Biduga (kulia) akiwafafanulia jambo  wakati walipofanya ziara ya kimafunzo makao makuu ya kampuni hiyo yaliyopo Mlimani City jijini Dare s Salaam hivi karibuni. Ndihagati Biduga, Ofisa Rasilimali Watu wa Vodacom Tanzania (kulia) akiwaelezea jambo kuhusiana na mnara wa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Wanafunzi wa Chuo cha Utumishi wa Umma (TPSC) tawi la Tanga wafanya ziara ya mafunzo PSPTB

1

Wageni wakiwasili kwenye ofisi za Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi.

New Picture (3)

Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa PSPTB, Dr Tesha akitoa hutuba ya ufunguzi kuwakaribisha wanachuo wa mwaka wa pili wa stashahada ya Ununuzi na Ugavi kutoka chuo cha TPSC Utumishi wa Umma tawi la Tanga.

New Picture (4)

Wanachuo wakimsiliza Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Bodi Dr. Tesha.

New Picture (5)

Mkurugenzi ya Mafunzo, Bw. Godfred Mbanyi akielezea juu ya madaraja ya mitihani ya Bodi na taratibu za kufanya mitihani.

New Picture (7)

Bw. Ally Songoro kutoka...

 

10 years ago

Michuzi

WANAFUNZI WA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA(TPSC) TAWI LATANGA WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO PSPTB

Na Mwandishi wetuBodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) imepokea ugeni wa wanachuo sabini wa mwaka wa pili wanaosoma stashahada ya ununuzi na ugavi waliokuja kwenye ziara ya mafunzo kutoka Chuo cha Utumishi wa Umma tawi la Tanga. 
Ziara hiyo ya mafunzo ililenga kujua kazi mbalimbali za Bodi ya wataalam wa ununuzi na Ugavi (PSPTB). Mkurugenzi mkuu Mtendaji wa PSPTB Dr Clemence Tesha, aliupokea ugeni huo, na kuwashukuru kwa kuona nia ya kufanya ziara ya mafunzo. Aidha aliwaelezea umuhimu...

 

11 years ago

Michuzi

ziara mafunzo ya wanachuo na wanafunzi wa shule za msingi bungeni dodoma leo

 Mbunge wa viti maalum,  Mhe.Susan Kiwanga akiwapa maelezo wanachuo kutoka chuo cha Uuguzi  cha Edgar Maranta Ifakara ambao wapo katika ziara ya kimafunzo Bunge.  Mbunge wa Chalinze Mhe.Ridhiwani Kikwete akizungumza na Wanafunzi kutoka Mvomero ambao wapo katika ziara ya kimafunzo katika kujionea shjughuli za Bunge.  Mhe.Ridhiwani Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na na Wanafunzi kutoka Mvomero katika viwanja vya Bunge.  Mbunge wa Mvomero Mhe Amos Makala ambaye pia ni Naibu Waziri wa...

 

9 years ago

Michuzi

UJUMBE WA SHIRIKA LA NYUMBA UGANDA WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO NHC TANZANIA


Ujumbe wa Shirika la Nyumba la Taifa la Uganda (NHCC) ukiongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu Parity Twinomujuni (aliyeketi mbele ya logo ya NHC) ukijadiliana masuala mbalimbali yanayohusu sekta ya nyumba nchini na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa la Tanzania, Nehemia Kyando Mchechu. Ujumbe huo umekuwapo katika ziara ya siku mbili ya mafunzo nchini kujifunza namna utendaji wa Shirika la Tanzania unavyofanyika ili waweze kupata njia za kuweza kuboresha Shirika zaidi Shirika la...

 

10 years ago

GPL

JESHI LA POLISI NA VODACOM TANZANIA WAENDELEZA MAFUNZO SHULE ZA MSINGI JIJINI

Ofisa polisi wa Usalama Barabarani (CPL) Rashid Msuya akiwafundisha wanafunzi wa Shule ya Msingi Mapambano Sinza jijini Dar es Salaam jinsi ya kuvuka barabara kwa kutumia alama za barabarani, ikiwa ni mwendelezo wa  kuadhimisha siku ya Afya na Usalama kazini Duniani. Hafla hiyo iliandaliwa na Vodacom Tanzania na kufanyika katika shule hapo. Wanafunzi wa Shule ya Msingi Msasani A na B ya jijini Dar es Salaam,wakimsikiliza...

 

10 years ago

Michuzi

WANACHUO WA ADEM WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO BODI YA MIKOPO

Uelewa finyu juu ya masuala ya utoaji wa mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu umeendelea kuwa chanzo cha baadhi ya wahitaji wa mikopo kulalamika bila kuanza kutafuta chanzo cha wao kutopata mikopo hiyo.
Hayo yamebainika hii leo katika ziara ya mafunzo ya wanachuo 147 kutoka Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) unaoendeshea shughuli zake Bagamoyo mkoani Pwani waliofika Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) kwa ziara ya mafunzo.
Miongoni mwa maswali yaliyoulizwa...

 

11 years ago

Michuzi

Ujumbe wa Watumishi Housing wafanya ziara ya Mafunzo nchini Malaysia

Katibu Mkuu wa Hazina anayeshughulikia mikopo ya nyumba kwa watumishi wa umma nchini Malaysia wakibadikishana uzoefu na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Watumishi Housing na Mkurugenzi Mkuu wa PSPF, Bwana Adam Mayingu, Afisa Mtendaji Mkuu wa wa TMRC na Mkurugenzi Mtendaji wa Watumishi Housing Dr. Fred Msemwa wakati ujumbe wa Watumishi Housing ulipokwenda kujifunza juu ya namna Serikali ya Malaysia inavyoshughulikia suala la nyumba kwa watumishi wa umma wiki iliyopita.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vodacom yatoa fursa kwa ziara za mafunzo

KAMPUNI ya Vodacom imetoa fursa kwa wanafunzi wa ngazi mbalimbali kuifanya kuwa sehemu ya ziara za mafunzo yakiwemo ya huduma za mawasiliano ya simu, masuala ya ajira, na Teknolojia ya...

 

9 years ago

Michuzi

WANAFUNZI WA UTURUKI NA BOSNIA WAFANYA ZIARA KATIKA KISIWA CHA TUMBATU ZANZIBAR.

 Wanafunzi kutoka Uturuki na Bosnia wakiwa katika Boti kuelekea katika kisiwa cha Tumbatu kwa ajili ya kuwatembelea wanafunzi wa madrasa na wananchi mbalimbali katika ziara yao ya siku mbili ili kujenga urafiki baina yao na watu wa Zanzibar. Wanafunzi kutoka Uturuki na Bosnia wakiwasalimia wanafunzi wa madrasa na walimu waliokuja kuwa pokea katika Kisiwa cha Tumbatu katika ziara yao ya siku mbili ya kujenga urafiki baina yao na watu wa Zanzibar. Wanafunzi kutoka Uturuki na Bosnia wakiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani