WAKALA WA JIOLOJIA TANZANIA , YAFANIKIWA KUKAMILISHA UTAFITI WA KUTENGENEZA VIKOMBE VYA KUPIMIA DHAHABU(CRUSIBLE)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0i0EQ_EewCM/VD5edO24S7I/AAAAAAAGqnk/sRoN4PmukUg/s72-c/unnamed.jpg)
Na Samwel Mtuwa.
Wakala wa Jiolojia Tanzania , umefanikiwa kupunguza gharama za upimaji wa sampuli za dhahabu katika maabara yake kwa kufanikiwa kwa asilimia mia moja kuweza kutengeneza vikombe vya kupimia dhahabu (Crusible) ndani ya maabara yake ya Jiolojia mkoani Dodoma.
Kwa mujibu wa mtaalam wa Jioloji katika Maabara ya GST, Bw. Philipo Momburi alieleza kuwa hapo awali maabara ilikuwa inaagiza vikombe vya kupimia dhahabu maabara kutoka nje ya nchi , jambo ambalo lilikuwa likiingiza taasisi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-q_VodpDDQ08/VD_bQL_OQKI/AAAAAAAGq9M/KEx211MEZ_s/s72-c/unnamed.jpg)
WAKALA WA JIOLOJIA TANZANIA YATOA NAFASI 44 ZA AJIRA
Kwa mujibu wa Meneja Rasilimali watu na Maendeleo wa GST, Bw.Gabriel Kasase alimjulisha Afisa habari wa GST kuwa ajira hizo 44 zimegawanyika katika kwa kila idara ya taasisi ambazo alizitaja kuwa Idara ya utawala nafasi kumi na sita (16) , Idara ya Jiolojia nafasi kumi na moja(11) ,...
10 years ago
VijimamboWAKALA WA JIOLOJIA TANZANIA (GST) WAFANYA MAFUNZO YA AWALI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Xs8dbecKBs0/XlIbIPQ9chI/AAAAAAALe5I/uFtY8GwfLX8WxAO20YhgCQn9JN39tzPvwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200222-WA0000.jpg)
Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania atembelea banda la GST
![](https://1.bp.blogspot.com/-Xs8dbecKBs0/XlIbIPQ9chI/AAAAAAALe5I/uFtY8GwfLX8WxAO20YhgCQn9JN39tzPvwCLcBGAsYHQ/s1600/IMG-20200222-WA0000.jpg)
Aidha, kupitia maonesho hayo Dkt.Budeba amepata fursa ya kufanya mazungumzo na wawekezaji mbalimbali...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4RC4MMdBU8k/U4gniqXrGcI/AAAAAAAFmcY/S8DsQkNmlP8/s72-c/unnamed+(29).jpg)
Tanzania yafanikiwa kufanikisha lengo la kupunguza vifo vya watoto - JK
![](http://2.bp.blogspot.com/-4RC4MMdBU8k/U4gniqXrGcI/AAAAAAAFmcY/S8DsQkNmlP8/s1600/unnamed+(29).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Nd3LTJ7vXro/U4gnitQfoMI/AAAAAAAFmcU/qYEAWBssCG4/s1600/unnamed+(31).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-axyXHrus7cs/XsJIAseKQuI/AAAAAAALqno/fIfodW0efW4V1Zz0s2YB3pN0XR1TMjWVgCLcBGAsYHQ/s72-c/4.1.jpg)
COSTECH yamwezesha Mbunifu kutengeneza mashine ya kuchenjua dhahabu
![](https://1.bp.blogspot.com/-axyXHrus7cs/XsJIAseKQuI/AAAAAAALqno/fIfodW0efW4V1Zz0s2YB3pN0XR1TMjWVgCLcBGAsYHQ/s640/4.1.jpg)
TANZANIA ni nchi ya nne kwa uchimbaji wa dhahabu Afrika huku ikitajwa kuwa na hazina kubwa ya madini mengine kama vile Almasi na Tanzanite.
Kwa miaka mingi, kabla sheria ya madini haijafanyiwa marekebisho bado, kwa mwaka 2017, Sekta hiyo ilikuwa inachangia chini ya asilimia tano kwenye pato la Taifa.
Kwa sasa mipango ya serikali ni kuifanya sekta ya madini ichangie kwenye pato la Taifa kwa asilimia 10...
10 years ago
Habarileo04 Jul
Kanda zaagizwa kutumia vifaa vya kisasa vya kupimia ardhi
SERIKALI imeagiza kila kanda kuwa na vifaa vya kisasa vya kupimia ardhi ambavyo vitawekwa katika halmashauri mbalimbali nchini, ili viweze kutumiwa na vijana wanaohitimu vyuo wenye taaluma ya masuala ya ardhi.
10 years ago
BBCSwahili26 Feb
Vikombe vya kahawa vinavyoliwa
11 years ago
Mwananchi04 Jun
Utafiti wabaini milima ya Samunge imejaa dhahabu
10 years ago
MichuziKLABU YA MICHEZO YA UTUMISHI YAKABIDHI VIKOMBE VYA SHIMIWI KWA WAZIRI MH.KOMBANI