Wataka uuzwaji hisa Benki ya Walimu usitishwe
BAADHI ya walimu katika wilaya ya Ukerewe, mkoani Mwanza wametaka utaratibu wa kuuziwa hisa katika Benki ya Walimu inayotarajia kuanzishwa Julai, mwaka huu usitishwe.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Apr
Walimu Nachingwea wataka hisa Benki ya Walimu ziuzwe kwa simu
Walimu wilayani hapa wamekiomba Chama cha Walimu Tanzania (CWT), kuweka utaratibu utakaowawezesha walimu walioko pembezoni kununua hisa katika Benki ya Walimu ikiwamo ya kutumia kutumia mitandao ya simu za mkononi.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TOBwxK9VnIg/VliDFFHxwXI/AAAAAAAIIqE/V3lDmMLyo4w/s72-c/9f4a3aca-de84-4ece-9922-d63afd20a4ad.jpg)
Waziri Mkuu Majaliwa azindua ununuzi wa hisa za Benki ya Walimu (MCB) kwenye soko la hisa la Dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-TOBwxK9VnIg/VliDFFHxwXI/AAAAAAAIIqE/V3lDmMLyo4w/s640/9f4a3aca-de84-4ece-9922-d63afd20a4ad.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ue0-2ib1FB0/VliDGkiTKRI/AAAAAAAIIqM/06nLNnuJBSA/s640/f5495cae-d0c8-49ec-bc5d-75a4d05ffd5d.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iOsVEQTLueY/VliDLYkZ82I/AAAAAAAIIqY/k7fiz8VGAh4/s640/8e109898-bfd6-415c-b13f-22fdbc4c8ea7.jpg)
10 years ago
GPLUUZAJI HISA BENKI YA WALIMU WAZINDULIWA RASMI
Rais wa Chama Cha Walimu Tanzania (CWT), Gratian Mukoba (wa kwanza kushoto), Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba (kulia), Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Kassim Majaliwa wakiketi. Rais wa Chama Cha Walimu Tanzania (CWT), Gratian Mukoba akizungumza jambo katika hafla hiyo.
Sehemu ya wageni…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nII-N*HRVI1NCwuXSEReuTLSNzi8cKTeZ-N8gmVBNl7UihI7Fm1JJjr9CD*7OM9dayn6VCyfekaJ*stb2dtvPQiwFsAcMZFM/001.ROSALYNN.jpg?width=650)
NUNUA HISA ZA BENKI TARAJIWA YA WALIMU KUPITIA VODACOM M-PESA SASA
Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Rosalynn Mworia (katikati),akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawamo pichani) wakati wa kutangaza ushirikiano wa kimkakati na Benki Tarajiwa ya Walimu (Mwalimu Commercial Bank in-formation) kurahisisha ununuaji hisa kupitia huduma ya M-Pesa pamoja na kampuni ya Maxcom Africa kupitia huduma yake ya Maxmalipo, Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo Ronald...
9 years ago
Mwananchi01 Jan
Benki ya Walimu yachangia ongezeko la mauzo ya hisa DSE kufikia Sh1 trilioni
Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) limeongeza mauzo kutoka Sh383 bilioni mwaka 2014 hadi Sh1 trilioni moja kwa mwaka jana, huku Benki ya Walimu ikichangia ongezeko hilo.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-c1_LUxTC2to/VlqW-rhigOI/AAAAAAAII4E/lFs1ch9sLs0/s72-c/b1a22d93-e27f-4f02-bf3c-b0e9fcdcf368.jpg)
Waziri Mkuu aipongeza benki ya walimu kujiorodhesha katika Soko la hisa la Dar es salaam -DSE
![](http://1.bp.blogspot.com/-c1_LUxTC2to/VlqW-rhigOI/AAAAAAAII4E/lFs1ch9sLs0/s640/b1a22d93-e27f-4f02-bf3c-b0e9fcdcf368.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-wpfzOdEXhkg/VlqW-vHJ8fI/AAAAAAAII4A/habwMb1Fliw/s640/db9e2271-d2c6-434a-aa17-c8e74bc04224.jpg)
9 years ago
Michuzi06 Jan
TAARIFA YA KUKANUSHA UUZWAJI HISA TANESCO
Gazeti la 'The Citizen' la Januari 5, 2016 lilichapisha habari katika ukurasa wake wa 12 yenye kichwa cha habari: ‘Umma kununua asilimia 49 ya hisa za Tanesco’.
Taarifa hiyo siyo sahihi.
Taarifa hiyo siyo sahihi.
11 years ago
Mwananchi16 May
Wabunge waja juu, wahoji uuzwaji wa hisa UDA
Uuzwaji wa hisa za Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) jana uliibuka upya bungeni baada ya Mbunge wa Ubungo, John Mnyika (Chadema) kuhoji sababu za Serikali kufuta kesi kuhusu utata wa mauzo hayo.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WLG6bHcteT8/U2zHS_i7-fI/AAAAAAAA-e8/mMQKq_Bc1T8/s72-c/c6.jpg)
BENKI YA CRDB KUUZA HISA ZAKE KATIKA SOKO LA HISA LA NAIROBI
Benki ya CRDB inatarajia kuuza Hisa zake katika Soko la Hisa la Nairobi, fursa ambayo itatoa wigo mpana zaidi wa biashara ya hisa za Benki hiyo katika soko la Afrika Mashariki.
Hayo yalisemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Dk. Charles Kimei wakati wa siku ya kwanza ya mkutano mkuu wa wanachama wote unaofanyika hapa jijini Arusha.
Kimei alisema uuzaji wa hisa katika Soko la Hisa la Nairobi utafanya bei ya hisa za benki ya CRDB kupanda kutokana na ukweli kwamba katika soko la Dar...
Hayo yalisemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Dk. Charles Kimei wakati wa siku ya kwanza ya mkutano mkuu wa wanachama wote unaofanyika hapa jijini Arusha.
Kimei alisema uuzaji wa hisa katika Soko la Hisa la Nairobi utafanya bei ya hisa za benki ya CRDB kupanda kutokana na ukweli kwamba katika soko la Dar...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania