Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAARIFA YA KUKANUSHA UUZWAJI HISA TANESCO

Gazeti la 'The Citizen' la Januari 5, 2016 lilichapisha habari katika ukurasa wake wa 12 yenye kichwa cha habari: ‘Umma kununua asilimia 49 ya hisa za Tanesco’.

Taarifa hiyo siyo sahihi.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wataka uuzwaji hisa Benki ya Walimu usitishwe

BAADHI ya walimu katika wilaya ya Ukerewe, mkoani Mwanza wametaka utaratibu wa kuuziwa hisa katika Benki ya Walimu inayotarajia kuanzishwa Julai, mwaka huu usitishwe.

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge waja juu, wahoji uuzwaji wa hisa UDA

Uuzwaji wa hisa za Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) jana uliibuka upya bungeni baada ya Mbunge wa Ubungo, John Mnyika (Chadema) kuhoji sababu za Serikali kufuta kesi kuhusu utata wa mauzo hayo.

 

11 years ago

GPL

TAARIFA KWA UMMA KUKANUSHA UVUMI WA KUAJIRI VIJANA 500

Kuna taarifa zimeendelea kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii zikiwa na maelezo kuwa:  " Serikali kupitia Shirika la Elimu Tanzania, TPDC kwa ushirikiano na kampuni za oil and gas, wanatarajia kuajiri vijana wapatao 500 katika sekta hii mpya Tanzania kuanzia mwezi Januari na Machi 2015, hivyo wameandaa crush program itakayoanza 6 Oktoba 2014.  Walengwa ni vijana wenye elimu ya form 4 na form 6 ambao watasoma kwa miezi 6 na...

 

11 years ago

Bongo5

TID achukizwa na kukanusha taarifa ya mtandao wa Kenya kuwa alidhalilishwa kimapenzi akiwa jela

Msanii mkongwe wa muziki nchini Khalid Mohamed aka TID amefunguka na kuelezea kuchukizwa kwake baada ya kuandikwa vibaya ya mtandao wa Kenya uitwao Mpasho kuwa alitendewa matendo machafu akiwa gerezani miaka kadhaa iliyopita. Akizungumza na Bongo5 leo, TID amesema habari hiyo si ya kweli na imemdhalilisha. “Mimi sijawahi hata siku moja kudhalilishwa jela wala kufanyiwa […]

 

11 years ago

Vijimambo

KUKANUSHA TAARIFA ILIYOANDIKWA NA GAZETI LA JAMHURI KUHUSIANA NA ZIARA YA WAZIRI LAZARO NYALANDU NCHINI MAREKANI

Timu ya Vijimambo inamasikitiko makubwa ya habari ya upotoshaji iliyoandikwa na gazeti la Jamhuri lililobeba kichwa cha habari "AUNTY EZEKIEL ATANUA NA WAZIRI NYALANDU MAREKANI" yakiwemo magazeti mengine yaliyodandia kuandika habari hii bila kujua ukweli upo wapi. Timu ya Vijimambo ikiwemo kamati ya maandalizi imechukizwa sana kwa Gazeti hili kuandika habari ya kizushi na inayojeruhi hisia ya familia ya Mhe. Waziri  Lazaro Nyalandu kwa makusudi. 
Habari hii ni uongo ulioandikwa kichochezi na...

 

5 years ago

Bongo5

Taarifa muhimu kuhusu Hisa za Vodacom Tanzania

Kumekuwa na taarifa za upotoshaji katika mitandao ya kijamii kuhusu thamani halisi ya hisa za Vodacom (VTL). Kwa mfano, ujumbe uliosambazwa tarehe 19 Aprili umedai kuwa bei ya TZS 850 kwa hisa ni mara 3.8 zaidi ya thamani halisi ya hisa hizi. Kufikia hapo, mwandishi alikokotoa thamani ya vitabuni ya rasilimali za kampuni, akatoa dhima (madeni), na kudai kuwa albaki ndiyo thamani halisi ya hisa za wamiliki wote wa kampuni. Njia hii ni potofu, na inaonyesha ni kwa kiwango gani mwandishi...

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA KWA UMMA: YETU MICROFINANCE PLC YATANGAZA MAUZO YA HISA

Yetu Microfinance PLC iliyoridhi biashara ya mikopo kwa wajasiliamali wadogo kutoka Youth Self Employment Foundation (YOSEFO) inayofuraha kuwatangazia kuwa imepata kibali kutoka Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana  cha kuuza hisa zenye thamani ya shilingi 12.5 bilioni kwa njia ya toleo.  Yetu Microfinance PLC inatoa huduma katika matawi yafuatayo; Mzizima and Mbagala ( Dar es Salaam), Ifakara and Mngeta (morogoro region), Zanzibar and Kilwa.


Jumla ya hisa baada ya toleo

36,972,249

...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani