Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TPSF kuanzisha soko la bidhaa ghafi

TAASISI ya Sekta Binafsi (TPSF) inatarajia kuanzisha soko la bidhaa ghafi litakalowasaidia wakulima kuwa na bei elekezi za mazao yao. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana na Mwenyekiti...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

China, TPSF kufanya maonyesho ya bidhaa nchini

Wizara ya Biashara na Uchumi ya Jamhuri ya Watu wa China kwa kushirikiana na Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF), wanatarajia kufanya maonyesho ya nne ya bidhaa zao nchini.

 

9 years ago

Mwananchi

China, TPSF waandaa maonyesho ya bidhaa nchini

Wizara ya Biashara na Uchumi ya Jamhuri ya Watu wa China kwa kushirikiana na Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF), wanatarajia kufanya maonyesho ya nne ya bidhaa zao nchini.

 

9 years ago

Habarileo

JK azindua kampuni ya soko la bidhaa

RAIS Jakaya Kikwete amezindua rasmi kampuni ya soko la bidhaa nchini (TMX), ambayo itawezesha wakulima kupata soko la uhakika, uwazi wa bei na kuziba mianya ya kuwanufaisha zaidi walanguzi.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Tunazalisha bidhaa za mkonge, hakuna soko’

Baada ya utafiti wa miaka kadhaa, kampuni ya Mkonge wa Katani Limited imefanikiwa kuthibitisha kuwa kuna bidhaa nyingine zinazoweza kuzalishwa kibiashara kutokana na mkonge kama vile, mazulia, vifaa vya ujenzi wa nyumba za gharama nafuu na sukari maalumu.

 

9 years ago

Mwananchi

Ripoti: Bidhaa za Afrika haziendani na soko la dunia

Maendeleo ya viwanda barani Afrika yanazidi kushuka kutokana na uingizwaji bidhaa nyingi kutoka Ulaya, imeelezwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Bidhaa za China zinavyotamba kwenye soko la Tanzania

Wiki mbili zilizopita katika sehemu ya kwanza ya makala haya ya ‘Dar hadi China’ tuliona jinsi wakuu wa mataifa haya mahili wanavyoimarisha uhusiano na kuwakutanisha pamoja wafanyabiashara wa mataifa haya mawili. Tukaona pia umuhimu wa wafanyabiashara pande zote kuwa huru katika kuimarisha ushirikiano wa kibiashara wa mataifa haya mawili.

 

9 years ago

StarTV

Wafanyabiashara Soko Kuu Mtwara walalamikia upatikanaji wa bidhaa

Wafanyabiashara wa Soko Kuu la Mkoa wa Mtwara wamelalamikia upatikanaji wa bidhaa hususani za nafaka kutokana na zoezi la Uchaguzi lililomalizika hali ambayo imesababisha gharama za bidhaa hizo kupanda maradufu na kuathiri wateja wa Mkoa huo.

Licha ya kumalizika kwa uchaguzi lakini bado uingizwaji wa bidhaa umekuwa hafifu kutokana na baadhi ya wafanyabishaara wanaomiliki magari ya mizigo kugoma kufuata mizigo mashambani.

 Bidhaa nyingi zinazoingia katika Soko Kuu la mkoa wa Mtwara kwa kiasi...

 

10 years ago

Vijimambo

MOTO WATEKETEZA SOKO LA BIDHAA ZA UTAMADUNI JIJINI ARUSHA

Baadhi ya Mabaki ya bidhaa zilizoteketea kwa moto katika SOKO la bidhaa za utamaduni lijulikanalo kwa jina la MT.MERU CURIOS& CRAFTS MARKET usiku wa kuamkia leo. Bango la Soko hilo.kwa picha zaidi bofya soma zaidiSehemu ya Wafanyabiashara wa SOKO la bidhaa za utamaduni lijulikanalo kwa jina la MT.MERU CURIOS & CRAFTS MARKET wakiwa wameduwaa bila kujua la kufanya mara baada ya Soko hilo kuteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo na kuunguza bidhaa zote za wafanya biashara zililopo katika soko...

 

11 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA ORIFLAME YATAMBULISHA BIDHAA ZAKE KWENYE SOKO LA TANZANIA

Bi. Maznat Yusuph Sinare akieleza namna bidhaa na vipodozi mbalimbali vilivyokuwa na ubora wa kimataifa kwenye uzinduzi wa vipodozi vipya vya kampuni ya ORIFLAME kwenye ukumbi wa ukumbi wa Zanzibar katika Hotel ya Hyatt Regenc  Kilimanjaro Hotel jijini Dar es salaam.Kampuni ya Vipozi vya aina mbalimbali vya urembo OriFlame wamefanya maonesho ya Bidhaa zao Tarehe 2.07.2014 katika ukumbi wa Zanzibar katika Hotel ya Hyatt Regency(The Kilimanjaro Hotel).Kampuni hiyo yenye wigo mpana wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani