Bidhaa za China zinavyotamba kwenye soko la Tanzania
Wiki mbili zilizopita katika sehemu ya kwanza ya makala haya ya ‘Dar hadi China’ tuliona jinsi wakuu wa mataifa haya mahili wanavyoimarisha uhusiano na kuwakutanisha pamoja wafanyabiashara wa mataifa haya mawili. Tukaona pia umuhimu wa wafanyabiashara pande zote kuwa huru katika kuimarisha ushirikiano wa kibiashara wa mataifa haya mawili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziKAMPUNI YA ORIFLAME YATAMBULISHA BIDHAA ZAKE KWENYE SOKO LA TANZANIA
9 years ago
Mwananchi13 Sep
Tanzania, China kudhibiti bidhaa feki
9 years ago
Dewji Blog09 Sep
Maonesho ya bidhaa toka China (Brands of China) kurindima Sept 10 hadi 13 ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar
Mkurugenzi wa Tanzania Chamber of Commerce, Industry and Agriculture (TCCIA), Daniel Machemba akizungumza na wageni waalikwa (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa maonesho ya bidhaa toka China (Brands of China) yanayotarajiwa kuanza Sept 10 hadi 13 mwaka huu katika ukumbi Diamond Jubilee.
Mkurugenzi wa huduma za wanachama wa TPSF, Louis Accaro (kulia) akibadilishana mawazo na Mkurugenzi wa Tanzania Chamber of Commerce, Industry and Agriculture (TCCIA), Daniel Machemba wakati wa uzinduzi...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/01/313.jpg)
CHINA WORD BUZ YAELEZEA NJIA MBADALA ZITAKAZOPUNGUZA GHARAMA ZA WAFANYABIASHARA WADOGO KUFUATA BIDHAA CHINA
10 years ago
Dewji Blog15 Jul
Simu mpya ya Huawei P8 yazinduliwa kwenye soko la Tanzania
Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo wa kampuni ya Huawei Tanzania, Bw.Samson Majwala akizungumzia ubora wa simu mpya ya Smartphone ya kisasa aina ya Huawei P8 ambayo imezinduliwa leo jijini Dar es Salaam ikiwa ni muendelezo wa kampuni hiyo kuleta mapinduzi kwenye nyanja ya mawasiliano ulimwenguni mbele ya jopo la waandishi wa habari pamoja na wadau katika hafla fupi iliyofanyika kwenye hoteli ya Hyatt Regency.
Meneja Mkazi anayeshughulikia bidhaa za kampuni ya Huawei Tanzania, Bw. Zhang...
9 years ago
Habarileo01 Nov
JK azindua kampuni ya soko la bidhaa
RAIS Jakaya Kikwete amezindua rasmi kampuni ya soko la bidhaa nchini (TMX), ambayo itawezesha wakulima kupata soko la uhakika, uwazi wa bei na kuziba mianya ya kuwanufaisha zaidi walanguzi.
10 years ago
Dewji Blog23 Jan
Obi kuwekeza kwenye soko la smartphone zenye gharama nafuu Tanzania
Mkurugenzi Mtendaji wa Obi Mobiles, Afrika Mashariki na Kati na Afrika, Amit Rupchandani (katikati) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari )hawapo pichani) jijini Dar leo wakati wa utambulisho wa simu za aina ya smartphone zinazotengenezwa na Obi. Kushoto ni Mkurugenzi wa DESPEC Afrika, Farouk Jivani ambao ndio wasambazaji wakuu wa bidhaa hizo Tanzania na Afrika Mashariki na Kulia Mkuu wa kitengo cha masoko na mawasiliano wa Obi, Yusuf Khan.(Picha na Zainul Mzige).
Na Andrew...
11 years ago
Mwananchi29 May
‘Tunazalisha bidhaa za mkonge, hakuna soko’