KAMATI YA ULINZI NA USALAMA KAHAMA YARIDHISHWA KASI YA UJENZI MRADI WA MAJI NGOGWA - KITWANA
Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Kahama ikiongozwa na Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Anamringi Macha imetembelea na kukagua ujenzi wa Mradi wa Maji Safi Ngogwa – Kitwana katika halmashauri ya Mji Kahama ambao unatarajiwa kukamilika Mwezi Agosti mwaka huu ukigharimu jumla ya shilingi Bilioni 2.4
Mradi huo unasimamiwa na kutekelezwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mjini Shinyanga (SHUWASA) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kahama (KUWASA) pamoja na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HLj1-lUEOFM/XnEeeeId5sI/AAAAAAALkMM/RB4exNlljrMhiwhvGMbGd-YTiyOqW4XxQCLcBGAsYHQ/s72-c/Pix-1AA-4-768x512.jpg)
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA (NUU) YAFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA MRADI WA UJENZI WA KIWANDA CHA USEREMALA GEREZA MSALATO
![](https://1.bp.blogspot.com/-HLj1-lUEOFM/XnEeeeId5sI/AAAAAAALkMM/RB4exNlljrMhiwhvGMbGd-YTiyOqW4XxQCLcBGAsYHQ/s640/Pix-1AA-4-768x512.jpg)
Katibu Mkuu wa Mambo ya Ndani ya Nchi ndugu Christopher D. Kadio (wa nne toka kushoto ) akimkaribisha Mkuu wa Msafara wa Kamati ya Kudumu ya Bunge Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama,ambaye ni Mbunge wa Zanzibar Jimbo la Uzini ndugu Salum Rehani(wa nne toka kulia) walipowasili eneo la Mradi, Msalato. Wa tatu toka kushoto ni Kamishna Jenerali wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NqHBDzUcZJk/XmM2YtPXebI/AAAAAAALhqk/x4rkyzZIuWIhLG86pFQ6ptVzx7S05VomACLcBGAsYHQ/s72-c/963931f9-fe8e-4984-ab0c-c8ee1bd6686f.jpg)
KAMATI YA BUNGE YA BAJETI YARIDHISHWA NA KASI UTEKELEZAJI MRADI WA UMEME WA JULIUS NYERERE
![](https://1.bp.blogspot.com/-NqHBDzUcZJk/XmM2YtPXebI/AAAAAAALhqk/x4rkyzZIuWIhLG86pFQ6ptVzx7S05VomACLcBGAsYHQ/s640/963931f9-fe8e-4984-ab0c-c8ee1bd6686f.jpg)
…………………………………………………………………Na Farida Said, Morogoro
Kamati ya Kudumu ya Bajeti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamepewa wasilisho juu ya maendeleo ya utekelezaji mradi Julius Nyerere (Mw 2115).
Wasilisho hilo limetolewa Mkoani Morogoro kwenye ukumbi wa bwalo la JKT Umwema na kuhudhuriwa na Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6NXvX9D5r-Q/XmzCXVbVIqI/AAAAAAALjYc/QUtjn1uzJ5YDBxN4lXaEDwclYV-eupXSACLcBGAsYHQ/s72-c/1-37.jpg)
KAMATI YA MIUNDOMBINU YARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA RELI YA KISASA YASISITIZA VIWANGO VYA UBORA
![](https://1.bp.blogspot.com/-6NXvX9D5r-Q/XmzCXVbVIqI/AAAAAAALjYc/QUtjn1uzJ5YDBxN4lXaEDwclYV-eupXSACLcBGAsYHQ/s640/1-37.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Selemani Kakoso, akijaribu ubora wa mataruma yanayotengenezwa katika Kiwanda cha Mataruma Kilosa, wakati kamati hiyo ilipokagua maendeleo ya ujenzi wa Reli ya Kisasa ya SGR,Mkoani Morogoro.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-37.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lUyqF8qGHi4/XnJOZF1PTpI/AAAAAAALkWU/44bUxENF4zkOoMerw0RIqLyJmZpFFD3jgCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B1.jpg)
KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AWAONGOZA WAJUMBE WA KAMATI YA BUNGE MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA KUPOKEA TAARIFA YA MRADI WA UJENZI MAKAO MAKUU YA NIDA JIJINI DODOMA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-lUyqF8qGHi4/XnJOZF1PTpI/AAAAAAALkWU/44bUxENF4zkOoMerw0RIqLyJmZpFFD3jgCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-jXtnJTM2doQ/XnJOZKxw_jI/AAAAAAALkWQ/jDWWERpQ8ogJRG12JhCm552lYV3rcZ1RQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B2.jpg)
11 years ago
MichuziKAMATI YA MAJI KING'ONGO DAR WAKAGUA UJENZI WA MRADI WAO WA MAJI ULIOFADHILIWA NA TBL
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xv_-dO3pgLU/VMEKeZpu12I/AAAAAAAG-9M/ZfJESX3aNBE/s72-c/IMG-20150122-WA007.jpg)
KAMATI YA BUNGE YA KILIMO, MAJI NA MIFUGO YARIDHISHWA NA MIRADI YA MAJI ILIYOTEKELEZWA NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-xv_-dO3pgLU/VMEKeZpu12I/AAAAAAAG-9M/ZfJESX3aNBE/s1600/IMG-20150122-WA007.jpg)
Kamati ya Maji, Mifugo na Uvuvi imeridhishwa na miradi mbalimbali ya Maji iliyotekelezwa kwa kipindi cha miaka 10 ya kuwapatia wananchi huduma ya Majisafi na kupunguza tatizo la uhaba wa Maji hapa nchini.
Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa kamati ndogo ya Maji Mh. Selemani Kakoso Wakati wa ziara ya kamati katika kuangalia...
10 years ago
Dewji Blog21 Jan
Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji yaridhishwa na miradi ya maji ya Kibiti, Ikwiriri
Mkuu wa Wilaya ya Rufiji Nurdin Babu (kushoto) akimuongoza Kiongozi wa Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji, Amina Makilagi aliyeambatana na wajumbe wengine wa kamati hiyo baada ya kuwasili ofisi za Mradi wa Maji Kibiti ulioko wilayani humo mkoani Pwani kabla ya kuukagua.Ukaguzi wa mradi huo ni sehemu ya ziara ya ukaguzi wa miradi ya maji katika mikoa ya Pwani, Lindi na Mtwara inayofanywa na wajumbe wa Kamati hiyo.
Hussein Makame, MAELEO, Pwani
KAMATI ya Bunge ya Kilimo,...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bRREGNJ7cX8/VK_bPrfA7aI/AAAAAAAG8OA/zvVGBQIEVGw/s72-c/01.jpg)
Wajumbe wa Kamati ya Ufundi ya Bodi ya DAWASA wafanya ziara ya kukagua mradi wa ujenzi wa miundo mbinu ya maji
![](http://3.bp.blogspot.com/-bRREGNJ7cX8/VK_bPrfA7aI/AAAAAAAG8OA/zvVGBQIEVGw/s1600/01.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8zJNE82s7Kw/VK_bOaM-SDI/AAAAAAAG8Ns/9LqgpbdI_is/s1600/02.jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Jan
Wajumbe wa Kamati ya Ufundi ya Bodi ya DAWASA wamefanya ziara ya kukagua mradi wa ujenzi wa miundo mbinu ya maji
Kaimu Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es salaam (DAWASA) Didas Mwilawi ambaye pia ni Mkurugenzi wa Fedha akisalimiana na Mwenyekiti wa wa Kamati ya Ufundi ya Bodi ya DAWASA Christine Kilindu alipowasili eneo zinapojengwa ofisi za mradi wa bomba kuu la maji kutoka Ruvu Juu zilizopo Kibaha.
Na Eleuteri Mangi- MAELEZO
Wajumbe wa Kamati ya Ufundi ya Bodi ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es salaam (DAWASA) wamefanya ziara ya siku moja katika mikoa ya Dar es salaam...