Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SEMA wavishauri vikundi vya kuweka na kukopa (SACCOS) vya Iramba Singida kuanzisha benki yao

IMG_0942

Meneja mkuu wa shirika lisilo la kiserikali la SEMA, Ivo Manyanku, akizungumza kwenye hafla ya sherehe ya kikundi   cha kuweka na kukopa cha Tuinuane kijiji cha Kisonga wilaya ya Iramba, kumaliza mwaka kwa mafanikio. Sherehe hiyo iliyofanyikia kwenye ofisi ya kikundi hicho.

IMG_0945

Meneja wa shirika lisilo la kiserikali la SEMA, Ivo Manyanku akimpa mama msaada wa shilingi 50,000 zisaidie kumnunulia Neema Jonson (29) mkazi wa kijiji cha Mgongo wilaya ya Iramba kitanda. Neema ni mlemavu wa miguu na...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

BENKI YA NMB NA SatF ZAZINDUA UTOAJI WA HUDUMA ZA KIDIJITALI KWA VIKUNDI VYA KUWEKA NA KUKOPA



Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB – Ruth Zaipuna (kushoto) na Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara Ndogo na za Kati wa NMB - Filbert Mponzi (Kulia) wakiwa wameshika alama ya uzinduzi rasmi wa akaunti ya NMB Pamoja. Katikati ni Mteja wa NMB Bi. Zaina Mikidadi, kutoka kushoto ni Kaimu Afisa Mkuu wa Fedha wa NMB - Benedicto Baragomwa, Afisa Mkuu wa Wateja Wakubwa wa Serikali wa NMB Alfred Shao na Kaimu Afisa Mkuu Rasilimali watu- Emmanuel Akonaay.



Benki ya NMB na kampuni ya Savings...

 

10 years ago

Michuzi

SEMA KUTUMIA MILIONI 396/- KUWEKA SAWA MAZINGIRA MASHULENI IRAMBA

DSC02082Meneja wa shirika la SEMA, Ivo Manyanku, akizungumza kwenye uzinduzi wa siku ya kunawa mikono duniani, siku ya choo duniani na wiki ya usafi wa mazingira nchini uliofanyika katika kijiji cha Tulya wilaya ya Iramba. Kulia mwenye miwani ni mkuu wa wilaya ya Iramba,Yahaya Nawanda.
Na Nathaniel Limu, IrambaSHIRIKA lisilo la kiserikali la Sustainable Environment Management Action (SEMA),linatarajia kutumia zaidi ya shilingi 396 milioni kugharamia utekelezaji wa mradi wa usafi mashuleni na...

 

10 years ago

GPL

SEMA KUTUMIA MILIONI 396/- KUWEKA SAWA MAZINGIRA MASHULENI IRAMBA‏

Meneja wa shirika la SEMA, Ivo Manyanku, akizungumza kwenye uzinduzi wa siku ya kunawa mikono duniani, siku ya choo duniani na wiki ya usafi wa mazingira nchini uliofanyika katika kijiji cha Tulya wilaya ya Iramba. Kulia mwenye miwani ni mkuu wa wilaya ya Iramba,Yahaya Nawanda. Mkuu wa wilaya ya Iramba mkoa wa Singida,Yahaya Nawanda, akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa siku ya… ...

 

5 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA SEMA MKOA WA SINGIDA LATOA ELIMU NAMNA YA KUJIKINGA KUPATA VIRUSI VYA CORONA

Mwezeshaji wa Mradi kutoka Shirika lisilo la Kiserikali  la Sustanable Environment Management Action (SEMA) la Mkoa wa Singida,  Witness Anderson (kushoto) akitoa elimu kwa wananchi na wafanyabiashara wa Soko Kuu la Manispaa ya Singida ya namna ya kujikinga dhidi ya mlipuko wa ugonjwa wa Corona.Mwezeshaji wa Mradi kutoka Shirika hilo,  Witness Anderson, akionesha namna ya kunawa mikono.
Afisa wa Shirika lisilo la Kiserikali  la Sustanable Environment Management Action (SEMA) la Mkoa wa...

 

5 years ago

Michuzi

WANANCHI SINGIDA WALIPONGEZA SHIRIKA LA SEMA KWA UTOAJI ELIMU YA KUJIKINGA VIRUSI VYA CORONA


Amani Twaha, akitoa elimu.
Elimu ikitolewa kwa wasafisha viatu.

Witness Anderson, akitoa elimu kwa muuza mitumba.
Ipyana Mwakyusa akitoa elimu hiyo kwa madereva wa bajaj.

Mary Kilimba (kulia) na Veronica Peter wakitoa elimu hiyo kwa njia ya mabango.
Wananchi wakiwa wamevaa barakoa kujikinga na Corona.
Tatu Muna, akizungumzia kuhusu Corona.




Maafisa wa Shirika lisilo la Kiserikali la Sustanable Environment Management Action (SEMA) la Mkoa wa Singida, Mary Kilimba (kushoto) na Veronica ...

 

11 years ago

Dewji Blog

NSSF, Singida yatumia Bilioni 1.52 kukopesha vikundi sita vya wajasiriamali

meneja

Meneja wa shirika na hifadhi ya jamii NSSF, Magreth Mwaipeta akizungumza na wanachama wa kikundi cha Aminika gold Mine Ltd cha Sambaru Wilaya ya Ikungi, Singida.

Na Hillary Shoo, SINGIDA.

MFUKO wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), umetumia zaidi ya shilingi bilioni 1.52 kwa ajili ya kuvikopesha vyama  sita vya ushirika Mkoani Singida.

Hayo yamebainishwa jana mjini hapa na Meneja wa NSSF Mkoa wa Singida, Magreth Mwaipeta wakati akizungumza kwenye semina ya uhabarisho baina ya shirika la...

 

9 years ago

Dewji Blog

Vikundi vya ushindi ‘TeamMagufuli’ Mkoani Singida vyatakiwa kujikita kwenye ujasiriamali!

LISSU

Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Singida Martin Lissu akizungumza kwenye hafla maalumu ya kuwapongeza wana-CCM waliojitolea bila malipo wakati wa uchaguzi mkuu, wakijulikana  kwa jina la ‘Team Magufuli ’ na kufanikiwa kutetea majimbo saba ya CCM wakati wa uchaguzi mkuu uliomalizika Oktoba 25 mwaka huu na John Magufuli kuchaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .(PICHA NA HILLARY SHOO).

Na Hillary Shoo

[SINGIDA] Vikundi  vilivyoanzishwa wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu kwa lengo...

 

5 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA SEMA LATOA MAFUNZO YA KUJIKINGA NA VIRUSI VYA CORONA KWA WASAIDIZI WA KISHERIA ILONGERO MKOANI SINGIDA


 Mtoto Samia Selemani akinawa mikono  wakati wa kampeni ya utoaji elimu ya namna ya kujikinga dhidi ya mlipuko wa ugonjwa wa corona Ilongero Wilaya ya Singida Vijijini mkoani hapa jana. Kampeni hiyo ilifanywa na Shirika lisilo la Kiserikali  la Sustanable Environment Management Action (SEMA) kwa kushirikiana na wadau kutoka Taasisi ya Empower Youth Prosperity  ( EYP) ya mkoani Mbeya kwa ufadhili wa Shirika la Stromme East Africa Foundation lenye Makao Makuu Kampala nchini  Uganda huku...

 

10 years ago

Vijimambo

VIKUNDI VYA BENKI ZA KIJAMII"VICOBA"WAPATIWA MAFUNZO MAALUMU NA VODACOM TANZANIA

Baadhi ya waratibu mbalimbali wa Vikundi vya Benki za Kijamii VIKOBA wakimsikiliza Meneja huduma kwa wateja wa Vodacom Tanzania,Simon Martin,alipokuwa akitoa mafunzo juu ya matumizi ya simu za mkononi kwa kutumia Intaneti,mafunzo hayo yalifanyika makao makuu ya vikundi hivyo vya Benki za kijamii jijini Dar es Salaam yakiwa na lengo la kuwawezesha kujua namna ya kutumia mawasiliano katika kuboresha shughuli zao.Meneja huduma kwa wateja wa Vodacom Tanzania,Simon Martin(kushoto)akimwelekeza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani