VIKUNDI VYA BENKI ZA KIJAMII"VICOBA"WAPATIWA MAFUNZO MAALUMU NA VODACOM TANZANIA
Baadhi ya waratibu mbalimbali wa Vikundi vya Benki za Kijamii VIKOBA wakimsikiliza Meneja huduma kwa wateja wa Vodacom Tanzania,Simon Martin,alipokuwa akitoa mafunzo juu ya matumizi ya simu za mkononi kwa kutumia Intaneti,mafunzo hayo yalifanyika makao makuu ya vikundi hivyo vya Benki za kijamii jijini Dar es Salaam yakiwa na lengo la kuwawezesha kujua namna ya kutumia mawasiliano katika kuboresha shughuli zao.
Meneja huduma kwa wateja wa Vodacom Tanzania,Simon Martin(kushoto)akimwelekeza...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FXkXptW89jLEk6XBC51P95keQMf1zlke6IESy8TahrpyxH1gTL-8e7StCBX9XZpPwim3vfaejjYCh0GaQjlKnulrOCk8gssv/002VIKOBA.jpg)
VIKUNDI VYA BENKI ZA KIJAMII"VICOBA"WAPATIWA MAFUNZO MAALUMU NA VODACOM TANZANIA
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Vodacom-1.jpg)
WAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WAPATIWA MAFUNZO YA UREMBO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5v_naErn5zU/VLklG3fFbUI/AAAAAAAG92E/c3F4kiJHrhg/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
BAADHI YA MAOFISA WA JESHI LA POLISI NCHINI WAPATIWA MAFUNZO MAALUM NA VODACOM TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-5v_naErn5zU/VLklG3fFbUI/AAAAAAAG92E/c3F4kiJHrhg/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ATRKiFhjcgM/VLklG-USvQI/AAAAAAAG92I/HZAuDQQoREI/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9DnZ-xJS14s/VLklzktahyI/AAAAAAAG92U/ccsUw7O3pTM/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eHhH0wF8G5ChA0Mdzt*eHsMJsgZOwf0waxxmnWtN4Tld9j*7YaVXDMBnlsX45AuIRBE0sUoXM*UF9IZTvaikiR15wWKHItx3/001.POLISI.jpg)
BAADHI YA MAOFISA WA JESHI LA POLISI NCHINI WAPATIWA MAFUNZO MAALUM NA VODACOM TANZANIA
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gxpBZRkg108/VewplY3XjwI/AAAAAAAH2mM/UzVFroqmnzY/s72-c/001..jpg)
WAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WAPATIWA MAFUNZO YA UREMBO NA MSHAURI WA KITAALAMU WA KAMPUNI YA KIMATAIFA YA MARY KAY
![](http://2.bp.blogspot.com/-gxpBZRkg108/VewplY3XjwI/AAAAAAAH2mM/UzVFroqmnzY/s640/001..jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3uehtsN8sSk/Vewpn4t-RuI/AAAAAAAH2mU/yMWdbiQWhkg/s640/003..jpg)
9 years ago
Mwananchi10 Nov
Vikundi vya vicoba Moshi sasa taabani
9 years ago
Dewji Blog15 Dec
SEMA wavishauri vikundi vya kuweka na kukopa (SACCOS) vya Iramba Singida kuanzisha benki yao
Meneja mkuu wa shirika lisilo la kiserikali la SEMA, Ivo Manyanku, akizungumza kwenye hafla ya sherehe ya kikundi cha kuweka na kukopa cha Tuinuane kijiji cha Kisonga wilaya ya Iramba, kumaliza mwaka kwa mafanikio. Sherehe hiyo iliyofanyikia kwenye ofisi ya kikundi hicho.