Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Afariki akicheza mchezo wa video

Mtu moja mwenye umri wa miaka 32 huko Taiwan amefariki baada ya kucheza michezo ya mitandaoni,

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Video:Je unafahamu mchezo wa raga

Huku kombe la dunia la mchezo wa raga ukiendelea,watu wengi hawafahamu sheria ya mchezo huu,tazama video hii

 

10 years ago

Bongo5

Video: Nonini ft. Collo — Mchezo na Ganji

Hatimaye Nonini ameachia video ya collabo yake na Collo ‘Mchezo na Ganji’, ambayo audio yake ilitoka mwezi uliopita. Katika video hii ameonekana pia mwimbaji Avril wa Kenya kwenye Intro. Wimbo umetayarishwa na Dillie wa Johari Cleft Studios, na video imeongozwa na Willie Wusu. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram […]

 

9 years ago

MillardAyo

Paul Makonda kaushtukia huu mchezo wa ufisadi Kinondoni, maamuzi yake je?…(+Video)

Kasi ya Rais John Pombe Magufuli kuhakikisha kila mtu anafanya kazi kwa uadilifu imeendelea kushika kasi hata kwa baadhi ya viongozi wa sekta mbalimbali, na leo Dec 17 2015 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Dc Paul Makonda amekutana na waandishi wa habari na kuzungumzia maamuzi aliyo yafanya kwa wakandarasi waliotaka kutumia vibaya fedha za umma. […]

The post Paul Makonda kaushtukia huu mchezo wa ufisadi Kinondoni, maamuzi yake je?…(+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mbunge anaswa akicheza kikaoni

Mbunge wa chama tawala cha Conservative nchini Uingereza amekiri kucheza mchezo maarufu kwenye tabiti yake wakati wa kikao cha kamati ya bunge

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS NKURUNZIZA AONEKANA AKICHEZA MPIRA

Burundi: rais aonekana akicheza licha ya maandamanoRais Nkurunziza ni kocha aliyehitimuRais Nkurunziza alikuwa akicheza dhidi ya marafiki zakeMechi hiyo ilikuwa mjini BujumburaRais Nkurunziza anatimu yake ''Hallelujah FC ''
Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza ameonekana akicheza mpira pamoja na marafiki zake mjini Bujumbura licha ya mgogora wa kisiasa nchini mwake.
Rais Nkurunziza,alikuwa akisakata kabumbu ndani ya mji mkuu wa Bujumbura mji uliokumbwa na maandamano makubwa tangu atangaze nia ya...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Meneja na mke wa Mabeste, Lisa apanga kuwakutanisha mastaa wa kike kwenye mchezo wa ‘Rede’

Lisa Mabeste

Kama wewe ni msichana una miaka zaidi ya 25 kwa sasa na enzi za utoto wako hukuwahi kucheza mchezo wa ‘Rede’, utakuwa ulikosa starehe kubwa.

Rede ni mchezo waliokuwa wakicheza wasichana ambapo wawili hukaa huku na kule na mmoja kuwa katikati akijitahidi kuijaza chupa mchanga huku akikwepa mpira anaopondwa na wawili hao.

Meneja na mke wa rapper Mabeste, Lisa Karl Fickenscher amesema anataka kuurudisha mchezo huo kwa kuandaa tamasha litakalohusisha mastaa mbalimbali wa kike na mashabiki...

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi: rais aonekana akicheza licha ya maandamano

Rais Nkurunziza ameonekana akicheza mpira pamoja na marafiki zake mjini Bujumbura licha ya mgogoro wa kisiasa nchini mwake

 

5 years ago

BBCSwahili

chloe alianguka kutoka gorafa ya 11 alipokuwa akicheza.

Babu ashitakiwa kwa kifo cha mjukuu wake ndani ya meli ya kifahari huko Puerto Rico

 

10 years ago

GPL

URAIS 2015: NYALANDU AKESHA AKICHEZA SEBENE!

Stori:Mwandishi wetu, Kibaha
WAZIRI wa Mali Asili na Utalii, Lazaro Nyalandu ambaye ametangaza nia ya kuwania urais wa nchi amefanya kufuru kubwa katika Kanisa la Efatha linaloongozwa na Nabii Josephat Mwingira, mjini Kibaha, Pwani baada ya kusakata sebene la Injili usiku wa manane. Waziri wa Mali Asili na Utalii, Lazaro Nyalandu akiselebuka. Nyalandu ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini (CCM), alifanya hayo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani