Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je unafahamu kuwa panya wanafaida ?

Panya hao maalum wanatumika kwa shughuli ya kuchunguza mabomu yaliyofichwa ardhini mbali na ugonjwa wa kifua kikuu TB.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Unafahamu kuwa ‘high heels’ inaweza kuongeza mvuto wako

Kinadada wengi wanavaa viatu virefu kwa mazoea au wakati mwingine kwa kuona mwenzake amevaa na amependeza.

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NEWWZZZZ: VIJANA WANAODAIWA KUWA NI PANYA ROAD WAFUNGA MITAA JIJINI DAR NA KUFANYA VURUGU KUBWA.

 katika hali isiyo ya Kawaida na ya kuogopesha,kumeibuka taharuki kubwa usiku huu kwa Wakazi wa maeneo mbalimabali ya jiji la Dar,ikiwemo,Sinza,Kinondoni,Mwananyamala,Mabibo,Magomeni,Manzese,Kagera na Mburahati kwa kile kinachoelezwa kuwa vijana waitwao Panya Road wamevamia maeneo hayo na kuwajeruhi watu kwa vitu vyenye ncha kali,visu na mapanga na kuwapora vitu (mali zao) walivyokuwa navyo,kama vile haitoshi baadhi yao wamevunjiwa vioo vya magari yao.
Chanzo chetu cha habari kimeeleza kuwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Kwanini janga la corona limefanya panya kuwa wakali zaidi?

Amri ya kutotoka nje iliyowekwa na nchi tofauti ili kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona imewalazimisha watu kukaa nyumbani na hotelini pamoja na maeneo mengine ya kula kufungwa.

 

10 years ago

GPL

UNAFAHAMU DAWA YA KUTENDWA?

HABARI zenu wapendwa wasomaji wa safu hii. Nimefurahi tumekutana tena kwa mara nyingine ili kupeana mawili matatu yanayohusu mahaba, hasa kwa kuwa baada ya kazi ngumu za kujenga taifa letu, tunahitaji nafasi kwa ajili ya kupumzisha mwili kiakili. Juzi nilikuwa na rafiki yangu mmoja tumekaa sehemu tunabadilishana mawazo, akanipa simulizi ambayo imezaa mada hii. Alinisimulia mkasa wake kuwa anahisi mke wake anatoka na mtu mwingine,...

 

10 years ago

Vijimambo

UNAFAHAMU DAWA YA KUTENDWA?


HABARI zenu wapendwa wasomaji wa safu hii. Nimefurahi tumekutana tena kwa mara nyingine ili kupeana mawili matatu yanayohusu mahaba, hasa kwa kuwa baada ya kazi ngumu za kujenga taifa letu, tunahitaji nafasi kwa ajili ya kupumzisha mwili kiakili.

Juzi nilikuwa na rafiki yangu mmoja tumekaa sehemu tunabadilishana mawazo, akanipa simulizi ambayo imezaa mada hii. Alinisimulia mkasa wake kuwa anahisi mke wake anatoka na mtu mwingine, kwa sababu baada ya kuishika simu yake kwa siri na kuipekua,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Unafahamu nini kuhusu ujamzito?

NIMESEMA mara nyingi kuwa kama unataka kujifunza kuhusua ujauzito usiandikie mate wakati wino upo. Ukitaka kujifunza mambo ya ujauzito wasikilize na wafuatilie wajawazito. Kila mwezi nitaandika makala kuhusu mama mmoja...

 

11 years ago

Mwananchi

Je, unafahamu maana ya rangi hizi?

Ukiachilia mbali ulimwengu wa soka, hususan kwa hapa nchini kwa kuzitafsiri rangi nyekundu na njano kama rangi zinazowawakilisha watani wa jadi wa timu za Yanga na Simba, ulimwengu wa mitindo unatafsiri rangi hizo tofauti linapokuja suala zima la mavazi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Video:Je unafahamu mchezo wa raga

Huku kombe la dunia la mchezo wa raga ukiendelea,watu wengi hawafahamu sheria ya mchezo huu,tazama video hii

 

10 years ago

BBCSwahili

Unafahamu madhara ya kufanya kazi usiku?

Wanasayansi wanasema Ubongo huchoka mapema kabla ya wakati wake iwapo watu watafanya kazi nyakati za usiku kwa muda mrefu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani