Je unafahamu kuwa panya wanafaida ?
Panya hao maalum wanatumika kwa shughuli ya kuchunguza mabomu yaliyofichwa ardhini mbali na ugonjwa wa kifua kikuu TB.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi02 Nov
Unafahamu kuwa ‘high heels’ inaweza kuongeza mvuto wako
Kinadada wengi wanavaa viatu virefu kwa mazoea au wakati mwingine kwa kuona mwenzake amevaa na amependeza.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gCvDFYChC6c/VKbktzCCvHI/AAAAAAAG69o/_NxuXtMqvuY/s72-c/1b.jpg)
BREAKING NEWWZZZZ: VIJANA WANAODAIWA KUWA NI PANYA ROAD WAFUNGA MITAA JIJINI DAR NA KUFANYA VURUGU KUBWA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-gCvDFYChC6c/VKbktzCCvHI/AAAAAAAG69o/_NxuXtMqvuY/s1600/1b.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1yKXP4hzlbQ/VKbktqwxCeI/AAAAAAAG69k/qoxFCS_1Pno/s1600/1a.jpg)
Chanzo chetu cha habari kimeeleza kuwa...
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
Virusi vya corona: Kwanini janga la corona limefanya panya kuwa wakali zaidi?
Amri ya kutotoka nje iliyowekwa na nchi tofauti ili kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona imewalazimisha watu kukaa nyumbani na hotelini pamoja na maeneo mengine ya kula kufungwa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W8k9GghxLBviy35YmQCKjl2VoYLPIE68QLLTQmDhJLu7HB-deLAPijOdJWiFAmPFpkVyac0-NIk8VoHFcaSfi2sdABFrrC6j/xxlv.jpg?width=650)
UNAFAHAMU DAWA YA KUTENDWA?
HABARI zenu wapendwa wasomaji wa safu hii. Nimefurahi tumekutana tena kwa mara nyingine ili kupeana mawili matatu yanayohusu mahaba, hasa kwa kuwa baada ya kazi ngumu za kujenga taifa letu, tunahitaji nafasi kwa ajili ya kupumzisha mwili kiakili. Juzi nilikuwa na rafiki yangu mmoja tumekaa sehemu tunabadilishana mawazo, akanipa simulizi ambayo imezaa mada hii. Alinisimulia mkasa wake kuwa anahisi mke wake anatoka na mtu mwingine,...
10 years ago
Vijimambo17 Dec
UNAFAHAMU DAWA YA KUTENDWA?
![](http://api.ning.com/files/W8k9GghxLBu7MrbtfyrpeBNLC1McDcpiwZRnyw8a1r88FBuMBKeO9br62HWXx6EOrUNFgascBOR4j2j7jBwGaIQC7yV4ryQJ/couplesproblems.jpg?width=650)
HABARI zenu wapendwa wasomaji wa safu hii. Nimefurahi tumekutana tena kwa mara nyingine ili kupeana mawili matatu yanayohusu mahaba, hasa kwa kuwa baada ya kazi ngumu za kujenga taifa letu, tunahitaji nafasi kwa ajili ya kupumzisha mwili kiakili.
Juzi nilikuwa na rafiki yangu mmoja tumekaa sehemu tunabadilishana mawazo, akanipa simulizi ambayo imezaa mada hii. Alinisimulia mkasa wake kuwa anahisi mke wake anatoka na mtu mwingine, kwa sababu baada ya kuishika simu yake kwa siri na kuipekua,...
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Unafahamu nini kuhusu ujamzito?
NIMESEMA mara nyingi kuwa kama unataka kujifunza kuhusua ujauzito usiandikie mate wakati wino upo. Ukitaka kujifunza mambo ya ujauzito wasikilize na wafuatilie wajawazito. Kila mwezi nitaandika makala kuhusu mama mmoja...
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Je, unafahamu maana ya rangi hizi?
Ukiachilia mbali ulimwengu wa soka, hususan kwa hapa nchini kwa kuzitafsiri rangi nyekundu na njano kama rangi zinazowawakilisha watani wa jadi wa timu za Yanga na Simba, ulimwengu wa mitindo unatafsiri rangi hizo tofauti linapokuja suala zima la mavazi.
9 years ago
BBCSwahili22 Sep
Video:Je unafahamu mchezo wa raga
Huku kombe la dunia la mchezo wa raga ukiendelea,watu wengi hawafahamu sheria ya mchezo huu,tazama video hii
10 years ago
BBCSwahili04 Nov
Unafahamu madhara ya kufanya kazi usiku?
Wanasayansi wanasema Ubongo huchoka mapema kabla ya wakati wake iwapo watu watafanya kazi nyakati za usiku kwa muda mrefu
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania