Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BREAKING NEWWZZZZ: VIJANA WANAODAIWA KUWA NI PANYA ROAD WAFUNGA MITAA JIJINI DAR NA KUFANYA VURUGU KUBWA.

 katika hali isiyo ya Kawaida na ya kuogopesha,kumeibuka taharuki kubwa usiku huu kwa Wakazi wa maeneo mbalimabali ya jiji la Dar,ikiwemo,Sinza,Kinondoni,Mwananyamala,Mabibo,Magomeni,Manzese,Kagera na Mburahati kwa kile kinachoelezwa kuwa vijana waitwao Panya Road wamevamia maeneo hayo na kuwajeruhi watu kwa vitu vyenye ncha kali,visu na mapanga na kuwapora vitu (mali zao) walivyokuwa navyo,kama vile haitoshi baadhi yao wamevunjiwa vioo vya magari yao.
Chanzo chetu cha habari kimeeleza kuwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

‘Panya road’ wafunga mitaa minne Dar es Salaam

 Ilikuwa hekaheka iliyosababisha shughuli katika mitaa minne ya Tabata, Dar es Salaam kusimama kwa saa nne baada ya kundi la vijana wenye nondo, mawe na visu kushambulia watu, kupora na kuharibu mali kutokana na kile kilichodaiwa kuwa ni kulipiza kisasi.

 

10 years ago

Vijimambo

MAPYA YAIBUKA VURUGU ZA PANYA ROAD

Hizi ndiyo sura za panya road ukikutana nao chini utakaa na gari utaachaAyubu Mohamed maarufu Diamond enzi za uhai wake. Na Ibrahim Yamola na Kalunde Jamal, MwananchiHali hiyo iliwafanya wakazi wa jiji hilo kusitisha shughuli mbalimbali kutokana na kuhofia usalama wao, huku usafiri ukiadimika.Dar es Salaam. Baada ya saa 24 kupita tangu kundi maarufu la waporaji la Panya Road, kuvamia na kusababisha shughuli mbalimbali kusimama kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam, chanzo cha uhalifu huo...

 

10 years ago

Mtanzania

Panya Road waivuruga Dar

Kamishna Suleiman Kova

Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova

Na Waandishi Wetu
GENGE la vijana wanaojihusisha na vitendo vya uhalifu jijini Dar es Salaam linalofahamika zaidi kwa jina la Panya Road, jana usiku lilivamia maeneo mbalimbali ya jiji na kufanya vitendo vya uhalifu.
Taarifa za kufanyika kwa vitendo hivyo vya uhalifu zilifika katika chumba cha habari cha gazeti la MTANZANIA Jumamosi saa 2.00 usiku na dakika chache baadaye zilisambaa katika mitandao ya kijamii huku zikiwa...

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Panya Road Arrests Continue in Dar


Daily News
Panya Road Arrests Continue in Dar
AllAfrica.com
POLICE in Dar es Salaam are still carrying out an operation in different parts of the city to arrest all young people who are members of a criminal group known as 'Panya Road' who are alleged to have invaded and attacked people last Friday. The Dar es ...
Tanzanian police stage crackdown on Panya Road gangSabahi Online
510 'panya road' netted in Dar es SalaamIPPmedia
Dar should act 'big cat' to tame 'Panya Road''Daily News

all 25

 

10 years ago

Mtanzania

Panya Road wafurika mahabusu Dar

Kamishna Suleiman Kova

Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova

Asifiwe George na Mwajabu Kusupa (TEC), Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limeendelea na kamatakamata ya vijana wanaotuhumiwa kujihusisha na vitendo vya uhalifu wa kutumia silaha na uporaji, walio maarufu kwa jina la Panya Road.
Watuhumiwa 329 zaidi wametiwa mbaroni jana katika operesheni iliyofanyika katika mikoa miwili ya kipolisi, Temeke na Ilala na kufanya idadi yao kufikia 953.
Operesheni hiyo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Panya road watikisa jiji la Dar

6955917312_d80d4a80e6_b

Kundi linalozaniwa ni la kihalifu maafuru kama “Panya Road” usiku wa leo wametoa hofu kubwa kwa wakazi wa Dar yakiwemo maeneo ya Tandale, Manzese, Magomeni, Mabibo na mengineyo.

Kundi hilo limezua hofu na kusababisha maduka kufungwa mapema huku watu wakikimbia ovyo kwa hofu na shughuli zote kwenye baadhi ya maeneo ya jiji kusimama mpaka pale hali itakapotengemaa.

Imebainika baadhi ya maeneo ni Magomeni, Tabata, Kinondoni na kwingineko kundi hilo limepita na kufanya uhalifu kwa kupora...

 

10 years ago

Habarileo

Vijana wadai waliajiriwa kufanya vurugu Arusha

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless LemaZAIDI ya vijana 1,000 wanaodaiwa kuwa ni wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mjini hapa, wameandamana kupinga hatua ya Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema ambaye pia ni kiongozi wa chama hicho, kutaka kugombea tena uwakilishi wa jimbo hilo.

 

10 years ago

GPL

PANYA ROAD WALISIMAMISHA JIJI, DAR SI SALAMA

Stori: Mwandishi Wetu
ACHENI jamani! Vurugu tuzisikie tu kwa wenzetu! Kitendo cha vijana wachache wasio na maadili wanaojiita Panya Road kufanya fujo kidogo katika baadhi ya maeneo ya Jiji la Dar, wakazi wa jiji hilo wamekitafsiri kitendo hicho na kusema Dar sasa si sehemu salama tena ya kuishi, Ijumaa Wikienda lina ripoti kamili. Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova akionyesha picha ya baadhi ya...

 

10 years ago

GPL

PANYA ROAD WALIVYOTIA HOFU WAKAZI DAR

Polisi wa Kanda Maalum ya Polisi ya Dar es Salaam, CP Suleiman Kova. Jana usiku Jiji la Dar es Salaam wakazi wake walijawa na  taharuki, hofu na wasiwasi mkubwa kwa saa mbili baada ya kundi maarufu la waporaji lililojulikana kama  Panya Road, kudaiwa kuvamia mitaa mbalimbali na kupora mali. Taarifa zilizoenezwa na watu wasiojulikana zilidai kuwa  kundi hilo lilikuwa linapora watu katika baadhi ya maeneo ya jiji hilo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani