Vijana wadai waliajiriwa kufanya vurugu Arusha
ZAIDI ya vijana 1,000 wanaodaiwa kuwa ni wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mjini hapa, wameandamana kupinga hatua ya Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema ambaye pia ni kiongozi wa chama hicho, kutaka kugombea tena uwakilishi wa jimbo hilo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo14 Jul
UVCCM- Vijana Arusha acheni vurugu
UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umewataka viongozi wadini, wazee wa mila na wazazi, kuwaonya vijana kuacha tabia ya kufanya vurugu, ambazo zinavuruga amani ya Jiji la Arusha.
9 years ago
Mwananchi25 Oct
RPC Arusha aonya makundi yanayotaka kufanya vurugu
9 years ago
Mwananchi24 Oct
RPC aonya makundi yanayotaka kufanya vurugu Arusha
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gCvDFYChC6c/VKbktzCCvHI/AAAAAAAG69o/_NxuXtMqvuY/s72-c/1b.jpg)
BREAKING NEWWZZZZ: VIJANA WANAODAIWA KUWA NI PANYA ROAD WAFUNGA MITAA JIJINI DAR NA KUFANYA VURUGU KUBWA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-gCvDFYChC6c/VKbktzCCvHI/AAAAAAAG69o/_NxuXtMqvuY/s1600/1b.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1yKXP4hzlbQ/VKbktqwxCeI/AAAAAAAG69k/qoxFCS_1Pno/s1600/1a.jpg)
Chanzo chetu cha habari kimeeleza kuwa...
10 years ago
MichuziVijana wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakutana Arusha kujadili Sera ya Vijana wa EAC
10 years ago
Habarileo27 Oct
Mbunge akanusha kufanya vurugu kwenye ndege
MBUNGE wa Bunge la Afrika Mashariki Tanzania (EALA) Shy-Rose Bhanji amesema tuhuma dhidi yake zinazosambazwa katika mitandao ya kijamii na magazeti mengine katika nchi wanachama wa jumuiya hiyo, zimelenga kuchafua sifa yake, sababu kubwa akisema ni chuki dhidi ya watu wasioipenda misimamo yake ndani ya bunge hilo.
10 years ago
Habarileo25 Dec
Nyumba 12 zachomwa kwa tuhuma za kufanya vurugu
WAKAZI wa Kijiji cha Mingenyi, Kata ya Gehandu, wilayani Hanang’ mkoani Manyara, wamechoma nyumba 12 zinazoishi kaya 50 wakiwatuhumu kufanya vurugu wakati wa kurudiwa kwa uchaguzi wa Serikali za mitaa katika eneo hilo.
10 years ago
Habarileo30 Dec
‘Vijana msitumike katika vurugu’
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi Mjini, Mama Salma Kikwete amewataka vijana kuwa na msimamo na kutokubali kutumika katika vurugu zinazohatarisha amani na usalama wa nchi.
10 years ago
Mtanzania31 Mar
Vijana wazua vurugu Mbeya
Na Pendo Fundisha, Mbeya
KUNDI la vijana linalosadikiwa kuwa ni vibaka limeibuka na kufanya vurugu zilizoambatana na uvunjifu wa amani katika eneo la Soweto na Mwanjelwa jijini hapa.
Kutokana na hali hiyo, Polisi mkoani Mbeya walilazimika kutumia nguvu ya ziada kuwatawanya vijana hao ambao tayari walianza kuweka matairi, mawe na magogo kwenye barabara kuu ya Dar es Salaam-Zambia katika eneo la Mwanjelwa.
Kabla ya vurugu hizo baadhi ya wafanyabiashara ambao walikuwa kwenye mgomo wa...