Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Vijana msitumike katika vurugu’

Mama Salma KikweteMJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi Mjini, Mama Salma Kikwete amewataka vijana kuwa na msimamo na kutokubali kutumika katika vurugu zinazohatarisha amani na usalama wa nchi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Vijana msitumike kwa maslahi ya Chama chochote cha siasa - Tume ya taifa ya uchaguzi

Na Ally Daud-Maelezo
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa wito kwa vijana kutojihusisha na vitendo vya fujo katika kipindi hiki cha  kampeni  badala yake waelekeze nguvu na  juhudi  zaidi katika kujenga uchumi wa taifa.Akiongea katika mkutano uliowakutanisha NEC na wawakilishi wa vijana kutoka mikoa mbalimbali nchini Makamu Mwenyekiti wa Tume, Jaji mkuu Mstaafu wa Zanzibar Mhe. Hamid Mahmoud Hamid  (pichani) alisema kuwa  vijana wasitumike na vyama vya siasa kama kichocheo cha fujo .


“Vijana...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mama Kikwete awataka vijana kuwa na msimamo na kutokubali kutumika katika vurugu zinazohatarisha amani na usalama wa nchi

IMG_7656

Katibu wa Shina la Wakereketwa Zahanati Kempu Ndugu Hidaya Chivi Ali akikabidhi risala ya wanachama wa Shina hilo kwa Mjumbe wa NEC Taifa na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.

Na Anna Nkinda – Maelezo, Lindi

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete amewataka vijana kuwa na msimamo na kutokubali kutumika katika vurugu zinazohatarisha amani na usalama wa nchi.

Mama Kikwete ambaye ni Mke wa Rais Dkt. Jakaya Mrisho...

 

10 years ago

Mtanzania

Vijana wazua vurugu Mbeya

DSC00217Na Pendo Fundisha, Mbeya
KUNDI la vijana linalosadikiwa kuwa ni vibaka limeibuka na kufanya vurugu zilizoambatana na uvunjifu wa amani katika eneo la Soweto na Mwanjelwa jijini hapa.
Kutokana na hali hiyo, Polisi mkoani Mbeya walilazimika kutumia nguvu ya ziada kuwatawanya vijana hao ambao tayari walianza kuweka matairi, mawe na magogo kwenye barabara kuu ya Dar es Salaam-Zambia katika eneo la Mwanjelwa.
Kabla ya vurugu hizo baadhi ya wafanyabiashara ambao walikuwa kwenye mgomo wa...

 

9 years ago

StarTV

Vijana wa CCM  watahadharishwa dhidi ya Vurugu

Vijana na wapenzi wa chama cha Mapinduzi  wametakiwa kujihadhari  na kujiepusha na vikundi vinavyoashiria kufanya fujo wakati wa uchaguzi hali ambayo inaweza kusababisha vurugu zitakazoharibu amani ya nchi.

Wanafahamishwa kwamba Uchaguzi ni hatua moja ya kujenga nchi kuelekea katika maendeleo hivyo si vyema wananchi wakaingia katika majaribu yatakayogharimu mustakbali wa maisha na nchi yao.

Akiwa katika kampeni za chama cha mapinduzi akiwanadi wagombea uwakilishi na madiwani katika jimbo la...

 

10 years ago

Mwananchi

Tunasubiri vurugu za vijana kugombea jezi

Huwa najisikia vizuri mara kwa mara ninapopata nafasi ya kuzungumzia michezo mbalimbali nchini.

 

11 years ago

Habarileo

UVCCM- Vijana Arusha acheni vurugu

UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umewataka viongozi wadini, wazee wa mila na wazazi, kuwaonya vijana kuacha tabia ya kufanya vurugu, ambazo zinavuruga amani ya Jiji la Arusha.

 

11 years ago

Mwananchi

Ndugai anusurika kipigo vurugu za vijana Kongwa

Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai amenusurika kujeruhiwa na kundi la vijana waliokuwa wakipinga ongezeko la ushuru wa mazao na kuvamia ukumbi wa mkutano wa Kilimo uliopo Kibaigwa, wilayani Kongwa.

 

10 years ago

Habarileo

Vijana wadai waliajiriwa kufanya vurugu Arusha

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless LemaZAIDI ya vijana 1,000 wanaodaiwa kuwa ni wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mjini hapa, wameandamana kupinga hatua ya Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema ambaye pia ni kiongozi wa chama hicho, kutaka kugombea tena uwakilishi wa jimbo hilo.

 

11 years ago

GPL

TASWIRA ZA VURUGU KATI YA POLISI NA VIJANA WALIOKUTWA MSIKITI WA MUSA , MOMBASA

Baadhi ya vijana waliokamatwa katika vurugu hizo wakiwa chini ya ulinzi.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani