Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je, unafahamu maana ya rangi hizi?

Ukiachilia mbali ulimwengu wa soka, hususan kwa hapa nchini kwa kuzitafsiri rangi nyekundu na njano kama rangi zinazowawakilisha watani wa jadi wa timu za Yanga na Simba, ulimwengu wa mitindo unatafsiri rangi hizo tofauti linapokuja suala zima la mavazi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SHOGA; VAA RANGI HIZI UMPAGAWISHE MUMEO!

Nimatumaini yangu kila mmoja wenu atakuwa amejiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa mfumo wa kielektroniki wa BVR, anasubiri siku ya uchaguzi ifike ili aweze kumchagua kiongozi anayemtaka. Nawapongeza sana kwa kufanikisha zoezi hilo licha ya kugubikwa na changamoto kibao ambazo awali zilikatisha tamaa, hongereni jamani kwa kupata vitambulisho hivyo muhimu, vitunzeni vizuri. Baada ya kusema hayo sasa narejea...

 

5 years ago

BBCSwahili

Ubaguzi wa rangi Urusi: Hadithi kuhusu dhana potofu za ubaguzi wa rangi

Watu weusi nchin Urusi wameiambia BBC jinsi ubaguzi wa rangi ulivyoyaathiri maisha yao

 

10 years ago

Vijimambo

HIZI NDIO SALAMU ZA MWIGULU KWA WOTE WALIOHUJUMU FEDHA HIZI ZA UMMA

Waliosababishia Serikali hasara ya bn 40/- kukiona Na Mwandishi wetu Naibu Waziri wa Fedha, Mungulu NchembaWizara ya Fedha imeziagiza taasisi zilizokabidhiwa jukumu la kuchunguza wakuu wa mashirika na taasisi za umma waliojihusisha katika kughushi malipo hewa ya wafanyakazi na kuisababishia serikali hasara ya Sh. bilioni 40 kila mwezi wafichuliwe.
 Agizo hilo lilitolewa na Naibu Waziri wa Fedha, Mungulu Nchemba, akisema wakuu hao pamoja na waajiri wametumia mwanya wa...

 

10 years ago

Vijimambo

UNAFAHAMU DAWA YA KUTENDWA?


HABARI zenu wapendwa wasomaji wa safu hii. Nimefurahi tumekutana tena kwa mara nyingine ili kupeana mawili matatu yanayohusu mahaba, hasa kwa kuwa baada ya kazi ngumu za kujenga taifa letu, tunahitaji nafasi kwa ajili ya kupumzisha mwili kiakili.

Juzi nilikuwa na rafiki yangu mmoja tumekaa sehemu tunabadilishana mawazo, akanipa simulizi ambayo imezaa mada hii. Alinisimulia mkasa wake kuwa anahisi mke wake anatoka na mtu mwingine, kwa sababu baada ya kuishika simu yake kwa siri na kuipekua,...

 

10 years ago

GPL

UNAFAHAMU DAWA YA KUTENDWA?

HABARI zenu wapendwa wasomaji wa safu hii. Nimefurahi tumekutana tena kwa mara nyingine ili kupeana mawili matatu yanayohusu mahaba, hasa kwa kuwa baada ya kazi ngumu za kujenga taifa letu, tunahitaji nafasi kwa ajili ya kupumzisha mwili kiakili. Juzi nilikuwa na rafiki yangu mmoja tumekaa sehemu tunabadilishana mawazo, akanipa simulizi ambayo imezaa mada hii. Alinisimulia mkasa wake kuwa anahisi mke wake anatoka na mtu mwingine,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Unafahamu nini kuhusu ujamzito?

NIMESEMA mara nyingi kuwa kama unataka kujifunza kuhusua ujauzito usiandikie mate wakati wino upo. Ukitaka kujifunza mambo ya ujauzito wasikilize na wafuatilie wajawazito. Kila mwezi nitaandika makala kuhusu mama mmoja...

 

9 years ago

BBCSwahili

Je unafahamu kuwa panya wanafaida ?

Panya hao maalum wanatumika kwa shughuli ya kuchunguza mabomu yaliyofichwa ardhini mbali na ugonjwa wa kifua kikuu TB.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani