Watano wadaiwa kumiliki bunduki
Watu watano wanaodhaniwa kuwa majambazi wamekamatwa na polisi wilayani Korogwe mkoani Tanga kwa tuhuma za kukutwa na bunduki aina ya Shortgun na sare za polisi wakati wakijiandaa kwenda kufanya uhalifu .
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi12 Nov
Basi lapiga mweleka huko Kahama leo,watu watano wadaiwa kupoteza maisha
![](https://4.bp.blogspot.com/-4UdQLcd_cNw/VGM-Vk_59aI/AAAAAAAA8qU/fhtL_P02kQ0/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-JIHyBFJkBAU/VGM-V4MPouI/AAAAAAAA8qk/ZPrm0zpqXHY/s640/2.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/--RWJGfcRy28/VGM-Yxf5GaI/AAAAAAAA8qs/IMnLokrzGuU/s640/4.jpg)
10 years ago
Michuzi12 Nov
WATU WATANO WADAIWA KUPOTEZA MAISHA NA WENGINE KUJERUHIWA VIBAYA KUFUATIA AJALI YA BASI LA WIBONELA KUPINDUKA MJINI KAHAMA LEO
![](https://4.bp.blogspot.com/-4UdQLcd_cNw/VGM-Vk_59aI/AAAAAAAA8qU/fhtL_P02kQ0/s640/1.jpg)
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Wawili wakamatwa na bunduki
Polisi wilayani Ngorongoro, Mkoa wa Arusha, inawashikilia wafugaji wawili kwa kosa la kukutwa na bunduki aina ya Rifle wanayodaiwa kuitumia kufanya uhalifu wilayani hapa na Kenya.
10 years ago
BBCSwahili19 Jan
Matajiri kumiliki mali zaidi
Shirika la kimataifa la misaada nchini Uingereza, Oxfam, limeonya kwamba kufikia mwaka ujao, matajiri ambao ni asilimia moja ya idadi ya watu duniani, watamiliki mali zaidi kuliko asilimia 99 iliyosalia ya watu.
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Watu binafsi kumiliki treni
Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) inatarajiwa kupata ushindani baada ya Serikali kuamua kuruhusu wawekezaji wa sekta binafsi kutumia Reli ya Kati.
9 years ago
Mwananchi08 Nov
Arusha yaongoza kumiliki bastola
Mkoa wa Arusha umetajwa kati ya mikoa ya pembezoni nchini ambayo inaongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya watu wanaomiliki silaha za moto, hasa bastola.
10 years ago
Mwananchi18 Jun
Aina za kampuni unazoweza kumiliki
Ndugu msomaji wa Uwanja wa Kambole, leo tutajikita kwenye aina za kampuni zinazotambuliwa na sheria namba 12 ya mwaka 2002. Kuna aina mbalimbali za kampuni na zinatofautiana kulingana na uhitaji na malengo ya mtu anayefungua pia akipata ushauri wa mwanasheria wake. Zifuatazo ni aina za kampuni Tanzania.
10 years ago
BBCSwahili24 Nov
Bunduki bandia yamletea maafa US
Polisi nchini Marekani wamuua kijana mwenye umri wa miaka 12 baada ya kubeba kilichobainika kuwa bunduki bandia
10 years ago
Mwananchi07 Aug
Polisi yakamata bunduki 16 za Stakishari
Jeshi la Polisi limesema limeshakamata bunduki 16 kati ya 21 zilizoporwa kwenye Kituo cha Stakishari.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania