KINGWENDU NIKIWA NYUMBANI SIWI KAMA MWANAUME
![](http://api.ning.com:80/files/KhhA6XZToLq-XvKU5vyHEhxHGWsMD7My3GJUgnFpUb9r4dr4rzBCnUOxAk*ZIimqKDid8*uz84ciuA8LO929j6bQL6Oa3Va*/Kingwendu.jpg?width=650)
Na Imelda Mtema/Risasi Mambo Vipi mpenzi msomaji wa Mpaka Home? Binafsi niko ngangari, bado nazidi kukata mbuga ili kuweza kufika katika kila nyumba ya staa hapa Bongo ili kuweza kukujuza wewe mpenzi msomaji wangu maisha halisi wanayoishi mastaa wetu na pengine kuweza kujifunza kupitia wao. Rashid Mwishehe ‘Kingwendu’ akiwa na familia yake. Wiki hii nilikuwa maeneo ya Kingugi- Mbagala jijini Dar, nyumbani...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Mkwere: Nikiwa nyumbani ni baba, mshauri, mume
10 years ago
Dewji Blog15 Aug
Mjadala; Watanzania Diaspora, Tunawataka wajenge vihenge nyumbani, lakini hatutaki wawe na haki kama tulio nyumbani, kwanini?
Ndugu zangu,
Leo alfajiri niliongoza mjadala kwenye redio za Kwanza Jamii na Nuru FM kuhusiana na kongamano linaloendelea Dar la Watanzania wa Diaspora wanaokutana nyumbani, Tanzania.
Ni kwa nini tuna hofu na Watanzania wenzetu walio ughaibuni? Hofu hii ni ya kihistoria.
Kwanini kongamano hili la kwanza kufanyika lisiwe la mwisho kufanyika katika sura yake hii, kwamba maudhui ya kongamano yenyewe kuwa ni ; connect, engage, inform and ivest nako kunakosekana dhana integration kwa maana ya...
5 years ago
BBCSwahili25 Mar
Coronavirus: Mwanaume aliyekiuka amri ya kukaa nyumbani aliwa na mamba Rwanda
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BybgAqvu3Om6Uh--sn6-ujI5gI3ZS*-V4NifcvpRDzp7DY88OKqUjY0-Bdlwv1TEimEoQpy7mPP*Xw1FHCCQvFKE47yo0SYO/BACK.jpg?width=650)
MAAJABU MWANAUME APATA SIKU KAMA WANAWAKE
10 years ago
Bongo Movies19 Feb
VIJIMAMBO: Simu ya Mwanaume Naiona Kama Bomu-Lulu
Siku hizi sio kitu cha ajabu kusikia au kuona wapenzi wamegombana na kufikia hadi kuachana kisa simu za mikononi.
Wapo wanaoishi kwenye dhana ya simu ya mkonomni ya mpenzi wako ni simu yako na wapo wanaoishi kwenye dhana ya kila mtu na simu yake na mambo yake hakuna kuchunguza simu ya mwenzio.
Mrembo na mwingizaji, Elizabeth Michael “Lulu” ameweka wazi mtanzamo wake kuhusu simu ya mpenzi wake kwa kusema yeye hawezi kuipekuwa kwani anaiona kama ni bomu.
Lulu aliandika hayo kwenye ukurasa...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/sz6e5xthZrI/default.jpg)
9 years ago
Bongo521 Dec
Mabeste aliishi kama mtoto nyumbani kwa Dully Sykes
![Mabeste na mpenzi wake](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Mabeste-na-mpenzi-wake-300x194.jpg)
Rapa Mabeste ameweka wazi jinsi msanii mkongwe kwenye muziki Dully Sykes alivyomsaidia katika wakati mgumu maishani mwake.
Mabeste ambaye yupo katika mapumziko ya sikukuu za mwisho wa mwaka katika mbuga za Manyara National Park Arusha, ameliambia gazeti la Mtanzania kuwa Dully ndiye Godfather kweye muziki wake.
Rapa huyo alisema kipindi chote alipokuwa anahangaika kuhusu muziki, Dully Sykes ndiye alikuwa msaada kwake, kuanzia kuvaa, kula na kulala na aliishi nyumbani kwa Dully kwa muda...
10 years ago
Vijimambo05 Mar
UKIWA NA MKE KAMA HUYU MUME NYUMBANI MAPEMA NA JIKONI ATAINGIA
![](http://api.ning.com/files/jIM5ZSWhuBbC9BuGvoMvjcPYr5QL-tRslmxvRJRN5wPRSjM5U05DWVZtyvSiydW*LYhxB4uELLijajbszDTCI*aDtw2XNVeF/IMG20150223WA0007.jpg?width=650)
Akizungumza na waandishi wetu, mmoja wa mashuhuda alisema wawili hao walioana...
10 years ago
Michuzi26 Oct
Serikali yapiga marufuku ukataji wa miti nchini hata kama ikiwa mtu amepanda nyumbani kwake
![unnamed3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/10/unnamed37.jpg)
![unnamed](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/10/unnamed29.jpg)