Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkulima aliwa na simba shambani kwake

NA AMINA OMARI, MKINGA
MKULIMA mmoja mkazi wa Kijiji cha Mlima kilichopo Kata ya Mwakijembe, wilayani Mkinga, Mkoa wa Tanga, Silyvester Msubari, amefariki dunia baada ya kuliwa na simba.
Mkuu wa Wilaya ya Mkinga, Mboni Mgaza, alisema jana kuwa mkulima huyo aliuawa juzi alfajiri wakati alipokuwa shambani kwake akilinda mazao yake yasiharibiwe na wanyama.
“Siku ya tukio, marehemu alikuwa shambani kwake akilinda mazao yake yasiharibiwe na wanyama.
“Wanyama hao wamekuwa wakizagaa mashambani kwa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Mkulima auteka msafara wa Kinana Nzega, auelekeza shambani kwake

 Wanachama wapya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakila kiapo cha utii cha hama hicho baada ya kukabidhiwa kadi na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana katika mkutano wa hadharauliofanyika kwenye Uwanja wa Tgaifa katika Kata ya Bukene, wilayani Nzega leo.

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye wakiwapungia mikono wananchi baada ya kuwasili kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Uwanja wa Tgaifa katika Kata ya Bukene, wilayani Nzega...

 

11 years ago

GPL

MKULIMA AUTEKA MSAFARA WA KINANA NZEGA, AUELEKEZA SHAMBANI KWAKE‏

 Wanachama wapya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakila kiapo cha utii cha hama hicho baada ya kukabidhiwa kadi na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Uwanja wa Tgaifa katika Kata ya Bukene, wilayani Nzega jana.
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye wakiwapungia mikono wananchi baada ya kuwasili kwenye mkutano wa hadhara...

 

11 years ago

Habarileo

Nkwabi Ng’wanakilala azikwa shambani kwake

WANATAALUMA wa Tasnia ya Habari na wakazi wa jijini Dar es Salaam jana walijitokeza kwa wingi katika maziko ya nguli wa tasnia ya habari, Nkwabi Ng’wanakilala aliyezikwa shambani kwake Kibamba CCM katika Manispaa ya Kinondoni.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwenyekiti wa CCM aliwa na mamba Rufiji

Mwenyekiti wa CCM, Tawi la Lumumba katika Kijiji cha Kilimani Mashariki kilichopo Kata ya Ngorongo, Rufiji, Saidi Simba (60), amefariki dunia kwa kuliwa na mamba baada ya kuzama na mtumbwi alipokuwa akienda shambani.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mkazi wa Singida akutwa ameuwawa na kutupwa porini aliwa na Fisi

DSC03164

Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, Thobias Sedoyeka akitoa taarifa kwa vyombo vya habari (havipo pichani).

Na Nathaniel Limu, Singida

MWILI wa mkulima na mkazi wa kijiji cha Manguanjuki  kata ya Mandewa tarafa ya Unyamikumi manispaa ya Singida, Iddi Alli (35), ameuawa na mtu/watu wasiojulikana na kisha baadae sehemu za mwili wake kuliwa na Fisi.

Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, Thobias Sedoyeka,alisema mwili huo wa mkulima huyo umeokotwa na raia wema juzi saa 1.38...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Mwanaume aliyekiuka amri ya kukaa nyumbani aliwa na mamba Rwanda

Mwanaume mmoja nchini Rwanda ambaye alikiuka amri ya kukaa nyumbani ambayo inaendelea kutekelezwa nchini Rwanda na kuamua kwenda kuvua samaki ameuawa na mamba, Meya wa wilaya ya Kamonyi kusini mwa Rwanda ameiambia BBC.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwanamke ajinyonga shambani Tabata

Mwanamke aliyefahamika kwa jina la Irene Ibrahim (22), mkazi wa Tabata Kisukuru manispaa ya Ilala, amefariki dunia baada ya kujinyonga. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa...

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

Gesi si mwarobaini wa umasikini, kazi shambani

Gesi si mwarobaini wa umasikini, kazi shambani Zitto Kabwe Toleo la 367  20 Aug 2014 Rais Kikwete na Waziri Muhongo TANZANIA kama ilivyo kwa Bara la Afrika ni miongoni mwa nchi zenye uchumi unaokua kwa kasi. Inakadiriwa kwamba kati ya mwaka 2012 mpaka 2017 katika nchi kumi zenye uchumi unaokua kwa kasi zaidi, sita zitakuwa zinatoka Bara la Afrika. Tanzania ni moja ya nchi hizo, nyingine ni Rwanda, Angola, Chad, Ethiopia na Equatorial Guinea.

Angola, Equatorial...

 

11 years ago

Mwananchi

Mchungaji TAG akutwa amekufa shambani

Watu watatu akiwamo Mchungaji wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) na watoto wa miaka sita wamefariki dunia katika matukio tofauti yaliyotokea mkoani hapa siku mbili zilizopita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani