Mwalimu, wenzake wakutwa na mifupa ya albino
WATU sita, akiwemo Mwalimu wa Shule ya Msingi Katunguru iliyoko Kata ya Wendele, Tarafa ya Msalala wilayani Kahama, wamekamatwa mjini hapa wakiwa na vipande sita vya mifupa inayodhaniwa kuwa ya albino.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eoZ5qo4qa6o3jYpKLAQPSJMgfddrWBAtvwAwC5t-XUneOSAjor-erNCmnVDGpmFfTc6YpodrkTXxbj-rHbzfyejMm-V5Ia5U/BiliaMasanjaMhalala.jpg?width=640)
MWALIMU NA WENZAKE WATANO WALIOKAMATWA NA MIFUPA YA ALBINO
Bilia Masanja Mhalala. Mwalimu wa Shule ya Msingi Katunguru wilayani Kahama, Bahati Kilungu Maziku. Abubakar Ally Magazi.…
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-TNHEkCclS3o/VWCfLHlDxKI/AAAAAAAAuR0/kJEthWiyqEo/s72-c/BahatiKilunguMaziku.jpg)
Mwalimu na Wenzake Watano Wakamatwa na Mifupa ya Albino Walikuwa Wakiiuza Milioni Mia Sita
![](http://4.bp.blogspot.com/-TNHEkCclS3o/VWCfLHlDxKI/AAAAAAAAuR0/kJEthWiyqEo/s640/BahatiKilunguMaziku.jpg)
WATU sita, akiwemo Mwalimu wa Shule ya Msingi Katunguru iliyoko Kata ya Wendele, Tarafa ya Msalala wilayani Kahama, wamekamatwa mjini hapa wakiwa na vipande sita vya mifupa inayodhaniwa kuwa ya albino.
Taarifa zilizopatikana mjini hapa zimeeleza kwamba, mwalimu huyo Bahati Kilungu Maziku (56), Msukuma na mkazi wa Mtaa wa Mbulu katika Halmashauri ya Mji wa Kahama, amekamatwa akiwa na watu watano, wakiwemo waganga wa jadi watatu, katika harakati za kuuziana mifupa hiyo.
Wengine waliokamatwa ni...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-6Kh8_qYKoDU/VWA1ST_CCwI/AAAAAAAAH3Y/O8_9eRtkA1Q/s72-c/Elizabeth%2Bau%2BShija%2BMakandi%2BSweya%2Bna%2BRegina%2Bau%2BTatu%2BKashinje%2BNhende.jpg)
WATU SITA AKIWEMO NA MWALIMU WAKAMATWA NA MIFUPA INAYOSEMEKANA NI YA ALBINO WILAYANI KAHAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-6Kh8_qYKoDU/VWA1ST_CCwI/AAAAAAAAH3Y/O8_9eRtkA1Q/s640/Elizabeth%2Bau%2BShija%2BMakandi%2BSweya%2Bna%2BRegina%2Bau%2BTatu%2BKashinje%2BNhende.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pzREZlICwZM/VWA1Hr9blmI/AAAAAAAAH24/Lsr4Eq3u-z8/s640/Bahati%2BKilungu%2BMaziku.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qwbrG0anDug/VWA1HwdgVhI/AAAAAAAAH28/c3-bqmeV0JQ/s640/Bilia%2BMasanja%2BMhalala.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Pxc_Y03bsWc/VWA1H5XKdbI/AAAAAAAAH3E/ZPkwmTnZPB4/s640/Abubakar%2BAlly%2BMagazi.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nI7xdnq9crE/VWA1JiwAZuI/AAAAAAAAH3M/_dz_PgaL5NQ/s640/Muhoja%2BJohn%2BShija.jpg)
Muhoja John Shija
Na Daniel Mbega, KahamaWATU sita, akiwemo Mwalimu wa Shule ya Msingi Katunguru iliyoko Kata ya Wendele, Tarafa ya Msalala wilayani Kahama, wamekamatwa mjini hapa wakiwa na vipande sita vya mifupa inayodhaniwa kuwa ya albino.
Taarifa zilizopatikana mjini hapa zimeeleza kwamba, mwalimu huyo Bahati...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hKS7Kybrzwc/VWCQnOJ29GI/AAAAAAAAdnY/2sDsAUEqNyA/s72-c/1.jpg)
News alert: Watu sita akiwemo mwalimu wa shule ya msingi wakamatwa na mifupa ya albino Kahama
WATU sita, akiwemo Mwalimu wa Shule ya Msingi Katunguru iliyoko Kata ya Wendele, Tarafa ya Msalala wilayani Kahama, wamekamatwa mjini hapa wakiwa na vipande sita vya mifupa inayodhaniwa kuwa ya albino.
Taarifa zilizopatikana mjini Kahama zimeeleza kwamba, mwalimu huyo Bahati Kilungu Maziku (56), Msukuma na mkazi wa Mtaa wa Mbulu katika Halmashauri ya Mji wa Kahama, amekamatwa akiwa na watu watano, wakiwemo waganga wa jadi watatu, katika harakati za kuuziana mifupa hiyo.Wengine waliokamatwa...
Taarifa zilizopatikana mjini Kahama zimeeleza kwamba, mwalimu huyo Bahati Kilungu Maziku (56), Msukuma na mkazi wa Mtaa wa Mbulu katika Halmashauri ya Mji wa Kahama, amekamatwa akiwa na watu watano, wakiwemo waganga wa jadi watatu, katika harakati za kuuziana mifupa hiyo.Wengine waliokamatwa...
9 years ago
Mwananchi18 Dec
DC , wenzake watatu wakutwa na kesi ya kujibu
Hakimu wa Mahakama ya Wilaya ya Chato mkoani Geita, Yona Wilson amesema Mkuu wa Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora, Hadija Nyembo na wenzake watatu wana kesi ya kujibu ya ubadhirifu wa pembejeo za kilimo na matumizi mabaya ya madaraka.
10 years ago
Mwananchi25 Mar
Mbaroni kwa kukutwa na mifupa ya albino
Polisi mkoani Kagera wamedai kuwakamata watuhumiwa wawili wakiwa na mifupa inayodhamiwa kuwa ya binadamu mwenye ulemavu wa ngozi (albino), aliyefariki mwaka 2006 wa Kijiji cha Rushwa wilayani Muleba.
10 years ago
Habarileo25 Mar
Mbaroni kwa viungo, mifupa ya albino
WATU wawili wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kagera kwa kosa la kukutwa na viungo mbalimbali vya mwili ikiwemo mifupa mitatu ya mtu mwenye ulemavu wa ngozi (albino).
10 years ago
Mwananchi23 May
Mwalimu akutwa na viungo vya albino
>Polisi wilayani Kahama mkoani Shinyanga inawashikilia watu watano, akiwamo mwalimu wa shule ya msingi na mwanamke mmoja, kwa tuhuma za kukutwa na viungo vya albino wakiwa katika harakati za kutaka kuviuza wilayani Nzega na Kahama.
10 years ago
Michuzi12 Apr
msaada tutani: mwalimu wa kiswahili sweden anatafuta mwalimu mwenzie kubadilishana nondo
Mimi ni mwalimu wa Kiswahili Sweden natafuta mwalimu yoyote anayefundisha kiswahili hapa ili tuweze badilishana materials. Nashindwa kufundisha kwa ufasaha vile sijapata mwenzangu.Email yangu ni linda.johansson5@kungsbacka.se
Kwa mawasiliano nitumie email.
Kwa mawasiliano nitumie email.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania