MWALIMU NA WENZAKE WATANO WALIOKAMATWA NA MIFUPA YA ALBINO
![](http://api.ning.com:80/files/eoZ5qo4qa6o3jYpKLAQPSJMgfddrWBAtvwAwC5t-XUneOSAjor-erNCmnVDGpmFfTc6YpodrkTXxbj-rHbzfyejMm-V5Ia5U/BiliaMasanjaMhalala.jpg?width=640)
Bilia Masanja Mhalala. Mwalimu wa Shule ya Msingi Katunguru wilayani Kahama, Bahati Kilungu Maziku. Abubakar Ally Magazi.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-TNHEkCclS3o/VWCfLHlDxKI/AAAAAAAAuR0/kJEthWiyqEo/s72-c/BahatiKilunguMaziku.jpg)
Mwalimu na Wenzake Watano Wakamatwa na Mifupa ya Albino Walikuwa Wakiiuza Milioni Mia Sita
![](http://4.bp.blogspot.com/-TNHEkCclS3o/VWCfLHlDxKI/AAAAAAAAuR0/kJEthWiyqEo/s640/BahatiKilunguMaziku.jpg)
WATU sita, akiwemo Mwalimu wa Shule ya Msingi Katunguru iliyoko Kata ya Wendele, Tarafa ya Msalala wilayani Kahama, wamekamatwa mjini hapa wakiwa na vipande sita vya mifupa inayodhaniwa kuwa ya albino.
Taarifa zilizopatikana mjini hapa zimeeleza kwamba, mwalimu huyo Bahati Kilungu Maziku (56), Msukuma na mkazi wa Mtaa wa Mbulu katika Halmashauri ya Mji wa Kahama, amekamatwa akiwa na watu watano, wakiwemo waganga wa jadi watatu, katika harakati za kuuziana mifupa hiyo.
Wengine waliokamatwa ni...
10 years ago
Habarileo25 May
Mwalimu, wenzake wakutwa na mifupa ya albino
WATU sita, akiwemo Mwalimu wa Shule ya Msingi Katunguru iliyoko Kata ya Wendele, Tarafa ya Msalala wilayani Kahama, wamekamatwa mjini hapa wakiwa na vipande sita vya mifupa inayodhaniwa kuwa ya albino.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-6Kh8_qYKoDU/VWA1ST_CCwI/AAAAAAAAH3Y/O8_9eRtkA1Q/s72-c/Elizabeth%2Bau%2BShija%2BMakandi%2BSweya%2Bna%2BRegina%2Bau%2BTatu%2BKashinje%2BNhende.jpg)
WATU SITA AKIWEMO NA MWALIMU WAKAMATWA NA MIFUPA INAYOSEMEKANA NI YA ALBINO WILAYANI KAHAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-6Kh8_qYKoDU/VWA1ST_CCwI/AAAAAAAAH3Y/O8_9eRtkA1Q/s640/Elizabeth%2Bau%2BShija%2BMakandi%2BSweya%2Bna%2BRegina%2Bau%2BTatu%2BKashinje%2BNhende.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pzREZlICwZM/VWA1Hr9blmI/AAAAAAAAH24/Lsr4Eq3u-z8/s640/Bahati%2BKilungu%2BMaziku.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qwbrG0anDug/VWA1HwdgVhI/AAAAAAAAH28/c3-bqmeV0JQ/s640/Bilia%2BMasanja%2BMhalala.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Pxc_Y03bsWc/VWA1H5XKdbI/AAAAAAAAH3E/ZPkwmTnZPB4/s640/Abubakar%2BAlly%2BMagazi.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nI7xdnq9crE/VWA1JiwAZuI/AAAAAAAAH3M/_dz_PgaL5NQ/s640/Muhoja%2BJohn%2BShija.jpg)
Muhoja John Shija
Na Daniel Mbega, KahamaWATU sita, akiwemo Mwalimu wa Shule ya Msingi Katunguru iliyoko Kata ya Wendele, Tarafa ya Msalala wilayani Kahama, wamekamatwa mjini hapa wakiwa na vipande sita vya mifupa inayodhaniwa kuwa ya albino.
Taarifa zilizopatikana mjini hapa zimeeleza kwamba, mwalimu huyo Bahati...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hKS7Kybrzwc/VWCQnOJ29GI/AAAAAAAAdnY/2sDsAUEqNyA/s72-c/1.jpg)
News alert: Watu sita akiwemo mwalimu wa shule ya msingi wakamatwa na mifupa ya albino Kahama
Taarifa zilizopatikana mjini Kahama zimeeleza kwamba, mwalimu huyo Bahati Kilungu Maziku (56), Msukuma na mkazi wa Mtaa wa Mbulu katika Halmashauri ya Mji wa Kahama, amekamatwa akiwa na watu watano, wakiwemo waganga wa jadi watatu, katika harakati za kuuziana mifupa hiyo.Wengine waliokamatwa...
10 years ago
Mwananchi25 Mar
Mbaroni kwa kukutwa na mifupa ya albino
10 years ago
Habarileo25 Mar
Mbaroni kwa viungo, mifupa ya albino
WATU wawili wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kagera kwa kosa la kukutwa na viungo mbalimbali vya mwili ikiwemo mifupa mitatu ya mtu mwenye ulemavu wa ngozi (albino).
10 years ago
Mwananchi23 May
Mwalimu akutwa na viungo vya albino
11 years ago
Tanzania Daima31 May
Waliokamatwa si Al Shabaab — Polisi
JESHI la Polisi nchini limekanusha kwamba watuhumiwa 14 waliokamatwa na kufikishwa mahakamani mkoani Arusha hawahusiki na kundi la Al-Shabaab kama ilivyoripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari hapo jana. Akizungumza...
10 years ago
BBCSwahili12 Jan
Vijana waliokamatwa danguroni waachiwa Misri