Vijana waliokamatwa danguroni waachiwa Misri
Mahakama nchini Misri, imewafutia mashitaka wanaume 26 waliokamatwa baada ya msako wa polisi katika jumba au danguro la wanaume na kjushitakiwa kwa kosa la kuchochea watu kutenda uovu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili27 Nov
Vijana 70 wahukumiwa vifungo Misri.
11 years ago
Tanzania Daima31 May
Waliokamatwa si Al Shabaab — Polisi
JESHI la Polisi nchini limekanusha kwamba watuhumiwa 14 waliokamatwa na kufikishwa mahakamani mkoani Arusha hawahusiki na kundi la Al-Shabaab kama ilivyoripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari hapo jana. Akizungumza...
10 years ago
Mwananchi25 Jan
Majambazi waliokamatwa Zanzibar wafariki dunia
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Waliokamatwa na dawa za kulevya KIA kortini
10 years ago
BBCSwahili16 Mar
Hatua kali kwa wanaharakati waliokamatwa DRC
11 years ago
Michuzi12 Aug
WAPAKISTANI WALIOKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA WATOROKA NCHINI
Imeelezwa kwamba Wapakistani wawili, Abdul Ghan Peer Bux na Shahbaz Malk (pichani) waliokamatwa wakiwa na Watanzania wanaotuhumiwa kwa kukutwa na madawa ya kulevya wametoroka nchini.
Watuhumiwa hao walikamatwa Februari 21, 2011wakiwa na madawa ya kulevya yenye thamani ya shilingi bilioni 6.2, Mbezi Beach maeneo ya Jogoo jijini Dar sa Salaam.Habari za uchunguzi ndani ya Mahakama Kuu zinasema kuwa, Jaji Grace Mwakipesile anayesikiliza kesi hiyo ...
10 years ago
GPLMWALIMU NA WENZAKE WATANO WALIOKAMATWA NA MIFUPA YA ALBINO
11 years ago
CloudsFM29 May
HAWA NDIYO 'PANYA ROAD' WALIOKAMATWA NA JESHI LA POLISI
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanya msako wa nyumba kwa nyumba, mtaa na maeneo yaliyoathirika kwa hofu ya vijana ambao ni vibaka maarufu kama Mbwa mwitu au Panya Road. Msako huu uliofanyika ndani ya masaa 24 hadi alfajiri ya tarehe 26/5/2014 kwa lengo la kuwaondolea hofu na uhalifu dhidi ya makundi ya vijana wadogo wasio na ajira ambao uliibuka hivi karibuni.Maeneo yaliyoathirika ni Kigogo, Magomeni, Tabata, maeneo yote yanayozunguka mto Msimbazi, maeneo ya Mbagala nk....
10 years ago
Tanzania Daima03 Oct
Makada 12 CHADEMA waachiwa
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewaachia kwa dhamana makada 12 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), waliokamatwa na kutuhumiwa kufanya maandamano karibu na Ofisi za Mkuu wa Mkoa Dar...