Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliokamatwa si Al Shabaab — Polisi

JESHI la Polisi nchini limekanusha kwamba watuhumiwa 14 waliokamatwa na kufikishwa mahakamani mkoani Arusha hawahusiki na kundi la Al-Shabaab kama ilivyoripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari hapo jana. Akizungumza...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

CloudsFM

HAWA NDIYO 'PANYA ROAD' WALIOKAMATWA NA JESHI LA POLISI

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanya msako wa nyumba kwa nyumba, mtaa na maeneo yaliyoathirika kwa hofu ya vijana ambao ni vibaka maarufu kama Mbwa mwitu au Panya Road. Msako huu uliofanyika ndani ya masaa 24 hadi alfajiri ya tarehe 26/5/2014 kwa lengo la kuwaondolea hofu na uhalifu dhidi ya makundi ya vijana wadogo wasio na ajira ambao uliibuka hivi karibuni.Maeneo yaliyoathirika ni Kigogo, Magomeni, Tabata, maeneo yote yanayozunguka mto Msimbazi, maeneo ya Mbagala nk....

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi 2 wauawa na Al-Shabaab Kenya

Watu 5 miongoni mwao maafisa wawili wa polisi wamefariki baada ya gari walilokuwa wakisafiria kukanyaga bomu la kutegwa ardhini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wapambana na Al shabaab Kenya

Maafisa wa polisi nchini Kenya wapambana na Wanamgambo wa Al shabaab

 

10 years ago

Mtanzania

Al Shabaab waua polisi 25 Kenya

Uhuru_M_Kenyatta_685841119NAIROBI, KENYA
KUNDI la wana mgambo wa Al Shabaab la Somalia, linadaiwa kuwaua polisi 25 wa Kenya jana.
Inaelezwa kuwa wanamgambo hao walivamia magari ya polisi katika eneo la Yumbis wilayani Fafi, Kaunti ya Garissa.
Hadi jana jioni, hakukuwa na taarifa inayoeleza waliko polisi walionusurika baada ya shambulio hilo la kushtukiza.
Taarifa zilizochapishwa na gazeti la Daily Nation, zilisema maofisa watatu walionusurika shambulio hilo walisema magari manne ya polisi yaliteketezwa na wanamgambo...

 

10 years ago

GPL

AL SHABAAB WADAI KUWAUA POLISI ZAIDI YA 20 NCHINI KENYA

Kundi la wapiganaji wa Al Shabaab. Wanamgambo wa Al Sbaab wamekuwa wakitishia hali ya usalama nchini Kenya daaba ya kudai kuwaua askari zaidi ya 20 na kujeruhi mmoja baada ya kuwepo kwa mapigano makali kati ya Polisi na Wanamgambo wa Al Shabaab, Kaskazini Mashariki mwa Kenya. Wizara ya Usalama wa Taifa nchini Kenya imethibitisha kuwa askari mmoja amejeruhiwa wakati wa shambulizi la Wanamgambo wa kundi la Al Shabaab katika kijiji...

 

9 years ago

GPL

AL-SHABAAB NI NANI: MAREKANI YATANGAZA KUUA KIONGOZI WA AL-SHABAAB

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Wiki iliyopita nilieleza juu ya kundi haramu la kigaidi la Al-Shabaab lilivyotuma vitisho vya kutaka kuvamia Majiji ya Dar na Mwanza nchini Tanzania kupitia mkanda wa video ulioonesha mwakilishi wa Kundi la Kigaidi la Dola ya Kiislam la Iraq na Lavent (ISIL), akimtaka Kiongozi wa Al-Shabaab kujiimarisha na kufanya mashambulizi kwenye majiji hayo. SASA ENDELEA… Katika kipindi hicho, polisi wa Tanzania...

 

10 years ago

Mwananchi

Majambazi waliokamatwa Zanzibar wafariki dunia

Watuhumiwa wawili wa ujambazi waliokamatwa Zanzibar juzi na kupigwa na wananchi na askari wa Kikosi cha Kupambana na Ujambazi, wamefariki dunia wakati wakiwahishwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mnazi Mmoja, Zanzibar kwa matibabu.

 

11 years ago

Mwananchi

Waliokamatwa na dawa za kulevya KIA kortini

Raia watatu wa kigeni waliokamatwa hivi karibuni kwa nyakati tofauti katika Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro (KIA), wakituhumiwa kusafirisha dawa za kulevya wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi na kusomewa mashtaka matatu tofauti.

 

10 years ago

BBCSwahili

Vijana waliokamatwa danguroni waachiwa Misri

Mahakama nchini Misri, imewafutia mashitaka wanaume 26 waliokamatwa baada ya msako wa polisi katika jumba au danguro la wanaume na kjushitakiwa kwa kosa la kuchochea watu kutenda uovu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani