Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makada 12 CHADEMA waachiwa

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewaachia kwa dhamana makada 12 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), waliokamatwa na kutuhumiwa kufanya maandamano karibu na Ofisi za Mkuu wa Mkoa Dar...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Wanachama wa Chadema waachiwa kwa dhamana

Wanachama watano wa Chadema pamoja na watu wengine watatu wasio raia wa Tanzania wanaokabiliwa na mashtaka ya makosa ya uhalifu wa kimtandao, wameachiwa kwa dhamana baada ya kukamilisha masharti waliyopewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

 

9 years ago

Mwananchi

Makada wapya Chadema wageuka ‘sumu’ kwa CCM

CCM inatumia neno makapi kuwakejeli makada waliokihama na kujiunga na vyama vya upinzani, lakini huko walikokwenda wamekuwa silaha dhidi ya chama hicho tawala kwenye kampeni za Uchaguzi Mkuu zinazoendelea.

 

10 years ago

Mwananchi

Makada CCM wamvaa JK

Makada wawili wa CCM wamemuomba Rais Jakaya Kikwete kuhakikisha kabla ya Uchaguzi Mkuu, anaondoa makundi ndani ya chama hicho, ambacho kinakabiliwa na kazi ngumu ya kumpata mgombea wake bila ya kutokea mpasuko.

 

11 years ago

BBCSwahili

Pussy Riot waachiwa huru

Wanamuziki wote wa kundi la muziki wa Punk la Pussy Riot la nchini Russia wameachiliwa huru kutoka gerezani .

 

10 years ago

Habarileo

Waliofungwa kesi ya EPA waachiwa

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imewaachia huru wafanyabiashara watatu, wakiwemo mume na mke, waliokuwa wamehukumiwa kifungo cha miaka 13 na miezi sita jela kwa sababu ya wizi wa Sh bilioni 1.1 katika Akaunti ya Madeni ya Nje ya (EPA) ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

 

10 years ago

Mwananchi

Mwenyekiti, katibu ARFA waachiwa

Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imewaachilia huru viongozi wawili wa Chama cha Soka Mkoa wa Arusha (ARFA), mwenyekiti Khalifa Mgonja na katibu wake, Adam Brown, sambamba na aliyekuwa mwenyekiti wa AFC, Brown Francis kutokana na tuhuma za makosa ya wizi na ubadhirifu wa Sh39 milioni baada ya kukosekana ushahidi wa kuwatia hatiani.

 

11 years ago

Habarileo

Mashitaka wajichanganya, washitakiwa waachiwa

MAHAKAMA ya Hakimu Mfawidhi Mkoa wa Tabora umewaachia huru watuhumiwa sita waliokuwa wanashitakiwa kwa unyang'anyi wa kutumia silaha baada ya kuona ushahidi uliotolewa na upande wa mashitaka ukipingana wenyewe.

 

9 years ago

Mwananchi

Lipumba na wenzake waachiwa huru

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru Profesa Ibrahim Lipumba ambaye alikuwa  Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi  CUF na wafuasi 30.

 

9 years ago

Mwananchi

Wafungwa wa Guantanamo waachiwa huru

Marekani.Watu watano waliokuwa wanashikiliwa kwenye Gereza la Guantanamo Bay kwa zaidi ya miaka 13, wameachiwa huru na wamepelekwa katika Umoja wa Falme za Kiarabu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani