Makada wapya Chadema wageuka ‘sumu’ kwa CCM
CCM inatumia neno makapi kuwakejeli makada waliokihama na kujiunga na vyama vya upinzani, lakini huko walikokwenda wamekuwa silaha dhidi ya chama hicho tawala kwenye kampeni za Uchaguzi Mkuu zinazoendelea.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Pongezi Chadema kwa kupata viongozi wapya
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y-sriCxrZ0A/UxOTXHtPYLI/AAAAAAAFQkk/1Irt0inKXiI/s72-c/1.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM AKABIDHI PIKIPIKI 9 NA BAISKELI 86 KWA KATA NA MATAWI YA CCM WILAYA YA KIBAHA VIJIJINI,PIA AKABIDHI KADI KWA WANACHAMA WAPYA ZAIDI YA 100
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y-sriCxrZ0A/UxOTXHtPYLI/AAAAAAAFQkk/1Irt0inKXiI/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LJzf6SHcIf8/UxOUclREtwI/AAAAAAAFQnY/WoJ0v18VwP8/s1600/3.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima03 Oct
Makada 12 CHADEMA waachiwa
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewaachia kwa dhamana makada 12 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), waliokamatwa na kutuhumiwa kufanya maandamano karibu na Ofisi za Mkuu wa Mkoa Dar...
11 years ago
Dewji Blog02 Jun
Makundi, Majungu, Fitina ni sumu kwa Uongozi wa CCM Zanzibar — Asema Balozi Ali Seif Idd
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Viongozi wa CCM wa Jimbo la Mgogoni katika Tawi la CCM Magogoni akiiongoza Timu ya Wajumbe wa Barza la Wawakilishi kupitia CCM ya kuimarisha nguvu za CCM katika Mikoa mbali mbali ya Zanzibar.
Baadhi ya Viongozi wa Chama cha Mapinduzi Jimbo la Magogoni wakifuatilia hotuba ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Balozi Seif hayupo pichani aliyoitoa wakati wa ziara yake na Wawakilishi wa CCM ndani ya Jimbo hilo.(Picha na...
10 years ago
Mwananchi28 Feb
Makada CCM wamvaa JK
10 years ago
Mwananchi19 Jan
CCM kuwabana makada escrow
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Makada CCM wanusurika kifo
10 years ago
Mtanzania25 Aug
Makada CCM wamgwaya Pinda
![Waziri Mkuu Mizengo Pinda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Waziri-Mkuu-Mizengo-Pinda.jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
SIKU moja baada ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda kutangaza nia ya kujitosa kuwani urais katika Uchaguzi Mkuu 2015, baadhi ya wanachama wa CCM na wasomi wamekuwa na maoni tofauti.
Hali hiyo imekuwa tofauti ambapo Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Philip Mangula, alishindwa kueleza kwa undani kauli hiyo ya Pinda huku akisema hawezi kuzungumza jambo lolote kwa sasa hadi pale atakapomaliza vikao vya chama.
Akizungumza na MTANZANIA jana kwa njia...
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
CCM yawasulubu makada wake
KAMATI ya Maadili ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imewasulubu makada wake watatu miongoni mwa sita ambao wanatuhumiwa kwenda kinyume cha maadili ya chama hicho tawala. Makada hao ambao baadhi yao...