Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makada wapya Chadema wageuka ‘sumu’ kwa CCM

CCM inatumia neno makapi kuwakejeli makada waliokihama na kujiunga na vyama vya upinzani, lakini huko walikokwenda wamekuwa silaha dhidi ya chama hicho tawala kwenye kampeni za Uchaguzi Mkuu zinazoendelea.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Pongezi Chadema kwa kupata viongozi wapya

Bila shaka yeyote aliyefuatilia kwa umakini chaguzi zilizofanyika hivi karibuni ndani ya Chadema kuanzia ngazi za chini hadi Taifa, atakubali kwamba zimefanyika kwa amani na kwa utulivu.

 

11 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM AKABIDHI PIKIPIKI 9 NA BAISKELI 86 KWA KATA NA MATAWI YA CCM WILAYA YA KIBAHA VIJIJINI,PIA AKABIDHI KADI KWA WANACHAMA WAPYA ZAIDI YA 100

 Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi,Ndg. Abdulrahman Kinana (wa pili kulia) akikabidhi funguo ya Pikipiki kwa mmoja wa Makatibu Kata katika Wilaya ya Kibaha Vijijini,wakati wa shunguli ya kukabidhi Pikipiki 13 kwa Makatibu Kata na Baiskeli 86 kwa Wenyeviti wa Matawi ya CCM yaliopo kwenye Wilaya hiyo,Vifaa hivyo vilivyotolewa na Mbunge wa Jimbo la Kibaha Vijijini,Mh. Hamoud Abuu Jumaa (kulia).  Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi,Ndg. Abdulrahman Kinana akikabidhi sehemu ya Baiskeli 86 kwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Makada 12 CHADEMA waachiwa

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewaachia kwa dhamana makada 12 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), waliokamatwa na kutuhumiwa kufanya maandamano karibu na Ofisi za Mkuu wa Mkoa Dar...

 

11 years ago

Dewji Blog

Makundi, Majungu, Fitina ni sumu kwa Uongozi wa CCM Zanzibar — Asema Balozi Ali Seif Idd

299

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Viongozi wa  CCM wa Jimbo la Mgogoni  katika Tawi la CCM Magogoni akiiongoza Timu ya Wajumbe wa Barza la Wawakilishi kupitia CCM ya kuimarisha nguvu za CCM katika Mikoa mbali mbali ya Zanzibar.

281

Baadhi ya Viongozi wa Chama cha Mapinduzi Jimbo la Magogoni wakifuatilia hotuba ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Balozi Seif hayupo pichani aliyoitoa wakati wa ziara yake na Wawakilishi wa CCM ndani ya Jimbo hilo.(Picha na...

 

10 years ago

Mwananchi

Makada CCM wamvaa JK

Makada wawili wa CCM wamemuomba Rais Jakaya Kikwete kuhakikisha kabla ya Uchaguzi Mkuu, anaondoa makundi ndani ya chama hicho, ambacho kinakabiliwa na kazi ngumu ya kumpata mgombea wake bila ya kutokea mpasuko.

 

10 years ago

Mwananchi

CCM kuwabana makada escrow

Kamati Ndogo ya Maadili ya CCM leo inaketi kutoa hatima ya makada wa chama hicho waliotajwa kuhusika katika kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow.

 

11 years ago

Mwananchi

Makada CCM wanusurika kifo

Makada saba wa CCM, wakiwamo makatibu wawili wa wilaya, wamenusurika kifo baada ya gari walilokuwa wakilitumia kusambaza vitambulisho vya mawakala kwenye uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kalenga,kupinduka.

 

10 years ago

Mtanzania

Makada CCM wamgwaya Pinda

Waziri Mkuu Mizengo Pinda

Waziri Mkuu Mizengo Pinda

NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM

SIKU moja baada ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda kutangaza nia ya kujitosa kuwani urais katika Uchaguzi Mkuu 2015, baadhi ya wanachama wa CCM na wasomi wamekuwa na maoni tofauti.

Hali hiyo imekuwa tofauti ambapo Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Philip Mangula, alishindwa kueleza kwa undani kauli hiyo ya Pinda huku akisema hawezi kuzungumza jambo lolote kwa sasa hadi pale atakapomaliza vikao vya chama.

Akizungumza na MTANZANIA jana kwa njia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM yawasulubu makada wake

KAMATI ya Maadili ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imewasulubu makada wake watatu miongoni mwa sita ambao wanatuhumiwa kwenda kinyume cha maadili ya chama hicho tawala. Makada hao ambao baadhi yao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani