Pongezi Chadema kwa kupata viongozi wapya
Bila shaka yeyote aliyefuatilia kwa umakini chaguzi zilizofanyika hivi karibuni ndani ya Chadema kuanzia ngazi za chini hadi Taifa, atakubali kwamba zimefanyika kwa amani na kwa utulivu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 Aug
CHADEMA Kigoma yapata viongozi wapya
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mkoa wa Kigoma kimepata viongozi wapya ngazi ya Mkoa na Wilaya katika uchaguzi uliyofanyika jana. Akizungumza na Waandishi wa Habari, Mkurugenzi Mkuu wa Oganaizesheni...
11 years ago
Dewji Blog10 Aug
Chadema yapata viongozi wapya Kigoma
Mkurugenzi wa Mafunzo na Uchaguzi wa CHADEMA, Benson Kigaila akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani). (Picha na Maktaba).
Na Mwandishi wetu
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Mkoani Kigoma, kimepata uongozi mpya wa chama hicho kufuatia uongozi uliokuwepo awali kujiuzulu na kuhamia chama cha Allience For Change and Transparency (ACT – Tanzania).
Mkurugenzi wa Mafunzo na Uchaguzi wa CHADEMA, Benson Kigaila, ambaye alikuwa msimamizi wa zoezi la kupatikana kwa viongozi hao...
10 years ago
Tanzania Daima06 Sep
CHADEMA Ukonga yapata viongozi wapya
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Jimbo la Ukonga jijini Dar es Salaam kimepata viongozi wapya baada ya uchaguzi uliyofanyika hivi karibuni. Viongozi wapya waliyochaguliwa ni pamoja na Thomas Nyahende...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
CHADEMA Temeke yapata viongozi wapya
BERNAD Mwakyembe amechaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Temeke, baada ya kumshinda mwenyekiti wa zamani Yona Patrick, katika uchaguzi wa kikatiba uliofanyika jijini...
11 years ago
Tanzania Daima30 Jul
Viongozi wapya CHADEMA Ubungo Agosti 3
UONGOZI mpya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo wilaya ya kichama Ubungo unatarajiwa kujulikana Agosti 3 mwaka huu baada ya uchaguzi wa ngazi za chini katika wilaya hiyo kukamilika. Mbali...
10 years ago
Tanzania Daima02 Sep
CHADEMA Tanga Mjini wapata viongozi wapya
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Wilaya ya Tanga kimepata viongozi wapya watakaokiongoza kwa miaka mitano ijayo katika uchaguzi uliyofanyika kwenye ukumbi wa maktaba ya Mkoa, juzi. Uchaguzi huo ulisimamiwa...
10 years ago
VijimamboHOTUBA YA PONGEZI KWA MH.RAISI WA TANZANIA, RAISI WA ZANZIBAR NA VIONGOZI WOTE WALIOFANIKISHA KUPATIKANA KWA KATIBA INAYOPENDEKEZWA.
Ndugu viongozi wote wa serikali ya Chama Cha Mapinduzi diaspora, wawakilishi wa serikali ya Tanzania ndani na nje ya nchi, taasisi za kitaifa na kimataifa, mashirika ya kijamii, mashirika binafsi, viongozi mbalimbali; itifaki imezingatiwa.
Awali ya yote napenda kumshukuru M/Mungu kwa kutupa uzima na afya njema kuweza kutekeleza majukumu yetu ya kila siku ikiwemo kusimamia sera na utendaji wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi huku diaspora. Pia napenda...
5 years ago
BBCSwahili18 Feb
Kiongozi wa ACT-Wazalendo Zitto Kabwe amesema anastahili kupata pongezi
9 years ago
Mwananchi07 Sep
Makada wapya Chadema wageuka ‘sumu’ kwa CCM