Majenerali watano wakamatwa Burundi
Dar/Bujumbura. Maofisa wa ngazi za juu wa Burundi wamekamatwa kwa tuhuma za kupanga njama za kumpindua Rais Pierre Nkurunziza.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-TNHEkCclS3o/VWCfLHlDxKI/AAAAAAAAuR0/kJEthWiyqEo/s72-c/BahatiKilunguMaziku.jpg)
Mwalimu na Wenzake Watano Wakamatwa na Mifupa ya Albino Walikuwa Wakiiuza Milioni Mia Sita
![](http://4.bp.blogspot.com/-TNHEkCclS3o/VWCfLHlDxKI/AAAAAAAAuR0/kJEthWiyqEo/s640/BahatiKilunguMaziku.jpg)
WATU sita, akiwemo Mwalimu wa Shule ya Msingi Katunguru iliyoko Kata ya Wendele, Tarafa ya Msalala wilayani Kahama, wamekamatwa mjini hapa wakiwa na vipande sita vya mifupa inayodhaniwa kuwa ya albino.
Taarifa zilizopatikana mjini hapa zimeeleza kwamba, mwalimu huyo Bahati Kilungu Maziku (56), Msukuma na mkazi wa Mtaa wa Mbulu katika Halmashauri ya Mji wa Kahama, amekamatwa akiwa na watu watano, wakiwemo waganga wa jadi watatu, katika harakati za kuuziana mifupa hiyo.
Wengine waliokamatwa ni...
10 years ago
BBCSwahili10 Aug
Burundi:Waliomuua jenerali Nshimirimana wakamatwa
Kiongozi wa mashtaka nchini Burundi amesema kuwa watu kadhaa wanaoshukiwa kutekeleza mauaji ya jenerali,Adolphe Nshimirimana wamekamatwa
10 years ago
Mwananchi16 May
Nkurunziza atua Burundi, waasi watatu wakamatwa
>Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza amewasili jijini Bujumbura ikiwa ni siku mbili baada ya waasi kutangaza kumuondoa madarakani na tayari majenerali watatu waliotangaza mapinduzi wamekamatwa huku wanajeshi 12 wakiuawa.
10 years ago
MichuziSABA WAKAMATWA KWA KUJIHUSISHA NA UTENGENEZAJI WA NOTI BANDIA ZA DOLA ZA KIMAREKANI WAKAMATWA
Watuhumiwa hao walikamatwa mnamo tarehe 04/8/2014 wakiwa na noti bandia zipatazo 10,640 za dola mia (100) ambazo ni sawa na dola 1,064,000 ambazo ni zaidi ya shilingi za Kitanzania...
10 years ago
BBCSwahili15 May
Majenerali wa mapinduzi walivyokamatwa
Baadhi ya majenarali waasi wa mapinduzi walivyokamatwa nchini Burundi baada ya jaribio la mapinduzi kugonga mwamba
11 years ago
Habarileo05 Jun
Mbatia: Majenerali waongezewe pensheni
MBUNGE wa Kuteuliwa na Rais, James Mbatia ameiomba serikali iwaongeze pensheni wastaafu nchini, ikiwemo majenerali wa jeshi, kama vile Jenerali Mirisho Sarakikya na Brigedia Jenerali Hashim Mbita. Alisema hayo wakati akichangia Hotuba ya Wizara ya Fedha, iliyowasilishwa bungeni mjini hapa jana.
10 years ago
BBCSwahili12 Aug
Majenerali 2 waihama kambi ya Machar
Majenerali wawili waasi nchini Sudan Kusini wametangaza kwamba wamejitenga na kundi la waasi linaloongozwa na Riek Machar.
10 years ago
GPLMAJENERALI 12 WASTAAFU WA JWTZ WAAGWA DAR
Wastaafu na viongozi wa juu wa jeshi wakiwa katika meza kuu. Meja Jenerali Chalres Jitenga (kushoto) Meja Jenerali mstaafu Hassan Chema (katikati) na Luteni Jenerali, Charles Makakala.…
5 years ago
BBCSwahili11 Jun
George Floyd: Trump asema kambi za kijeshi zenye majina ya majenerali waliotukuza utumwa ni turathi ya Marekani.
Rais wa Marekani Donld Trump anasema kwamba hana mpango wa kubadilisha majina ya kambi za kijeshi zilizotajwa baada ya majenerali walioongoza jeshi la Marekani.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania