Majenerali 2 waihama kambi ya Machar
Majenerali wawili waasi nchini Sudan Kusini wametangaza kwamba wamejitenga na kundi la waasi linaloongozwa na Riek Machar.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili11 Jun
George Floyd: Trump asema kambi za kijeshi zenye majina ya majenerali waliotukuza utumwa ni turathi ya Marekani.
Rais wa Marekani Donld Trump anasema kwamba hana mpango wa kubadilisha majina ya kambi za kijeshi zilizotajwa baada ya majenerali walioongoza jeshi la Marekani.
10 years ago
BBCSwahili15 May
Majenerali wa mapinduzi walivyokamatwa
Baadhi ya majenarali waasi wa mapinduzi walivyokamatwa nchini Burundi baada ya jaribio la mapinduzi kugonga mwamba
11 years ago
Habarileo05 Jun
Mbatia: Majenerali waongezewe pensheni
MBUNGE wa Kuteuliwa na Rais, James Mbatia ameiomba serikali iwaongeze pensheni wastaafu nchini, ikiwemo majenerali wa jeshi, kama vile Jenerali Mirisho Sarakikya na Brigedia Jenerali Hashim Mbita. Alisema hayo wakati akichangia Hotuba ya Wizara ya Fedha, iliyowasilishwa bungeni mjini hapa jana.
10 years ago
Mwananchi17 May
Majenerali watano wakamatwa Burundi
Dar/Bujumbura. Maofisa wa ngazi za juu wa Burundi wamekamatwa kwa tuhuma za kupanga njama za kumpindua Rais Pierre Nkurunziza.
10 years ago
GPLMAJENERALI 12 WASTAAFU WA JWTZ WAAGWA DAR
Wastaafu na viongozi wa juu wa jeshi wakiwa katika meza kuu. Meja Jenerali Chalres Jitenga (kushoto) Meja Jenerali mstaafu Hassan Chema (katikati) na Luteni Jenerali, Charles Makakala.…
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LUAMEuoJywY/VoasXoM2SKI/AAAAAAAIPzg/cpeZqdW0n7E/s72-c/9c8ec060-ff44-4cf8-86fb-bc5e2dd8be28.jpg)
Hawa ndio majenerali walioteuliwa kuwa makatibu wakuu Wizara za Maliasili na Utalii na Mambo ya ndani ya nchi
![](http://4.bp.blogspot.com/-LUAMEuoJywY/VoasXoM2SKI/AAAAAAAIPzg/cpeZqdW0n7E/s640/9c8ec060-ff44-4cf8-86fb-bc5e2dd8be28.jpg)
10 years ago
SPLM Party Dialogue19 Jan
Machar in Tanzania for Intra
Sudan Tribune
AllAfrica.com
Addis Ababa — South Sudan's former vice-president, Riek Machar, who leads the opposition faction of the Sudan People's Liberation Movement (SPLM-IO), is in Tanzania to attend the ongoing intraparty dialogue with president Salva Kiir's faction. Delegates ...
Rebels Say Peace is Priority Not ElectionsSudan Tribune
all 3
11 years ago
BBCSwahili12 Jan
Machar akutana na mjumbe wa Marekani
Kiongozi wa waasi wa Sudan Kusini, Riek Machar, akutana na mjumbe wa Marekani na wapatanishi wa IGAD
11 years ago
BBCSwahili28 Dec
Vijana wa Machar waelekea Bor
Taarifa zasema vijana wa Sudan Kusini wafuasi wa Riek Machar waandamana kuelekea Bor, mji uliokombolewa na serikali
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania