Zitto, viongozi wenzake wakamatwa Kusini mwa Tanzania
Katibu Mkuu wa chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu amethibitisha kukamatwa kwa kiongozi wa chama hicho Zitto Kabwe, mkoani Lindi Kusini mwa Tanzania.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziVIONGOZI WA KIDINI KUTOKA NCHI 17 ZA MASHARIKI NA KUSINI MWA AFRIKA WAKUTANA JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
VijimamboVIONGOZI WA KIDINI KUTOKA NCHI 17 ZA MASHARIKI NA KUSINI MWA AFRIKA WAKUTANA JIJINI DAR ES SALAAM KUJADILI MIKAKATI YA KUMALIZAMA AMBUKIZI MAPYA YA VVU/UKIMWI
11 years ago
Mwananchi16 Dec
Tusisubiri CNN wataje mchango wa Tanzania Kusini mwa Afrika
Wakati dunia bado ingali kwenye maombelezo ya shujaa wa Afrika, Mzee Nelson Mandela, tunashuhudia ukimya wa vyombo vya habari vya kimagharibi katika kuutambua mchango wa Tanzania kwenye harakari za kupigania ukombozi wa nchi za Afrika.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Sf1g3nh3sjQ/VlI7wt6M1DI/AAAAAAAAru4/uYNPHvX1ipc/s72-c/IMG_05910.jpg)
KINANA AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA VYAMA VYA SIASA KUSINI MWA AFRIKA MJINI MAPUTO,MSUMBIJI
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Komredi Abdulrahman Kinana katikati ya wiki iliyopita aliongoza ujumbe wa Tanzania nchini Msumbiji kuhudhuria mkutano wa Vyama vya Siasa Kusini Mwa Afrika. Mkutano huo uliohudhuriwa na baadhi ya Wenyeviti na Makatibu Wakuu wa vyama hivyo, umemalizika mwishoni mwa wiki mjini Maputo kwa mafanikio makubwa.
Mkutano huo ulijadili masuala yaliyolenga kutatua changamoto mbalimbali za mataifa hayo na mipango ya maendeleo kwa ujumla.
Baadhi ya viongozi wa vyama...
Mkutano huo ulijadili masuala yaliyolenga kutatua changamoto mbalimbali za mataifa hayo na mipango ya maendeleo kwa ujumla.
Baadhi ya viongozi wa vyama...
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-Sf1g3nh3sjQ/VlI7wt6M1DI/AAAAAAAAru4/uYNPHvX1ipc/s72-c/IMG_05910.jpg)
KINANA AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA VYAMA VYA SIASA KUSINI MWA AFRIKA MJINI MAPUTO,MSUMBIJI
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Komredi Abdulrahman Kinana katikati ya wiki iliyopita aliongoza ujumbe wa Tanzania nchini Msumbiji kuhudhuria mkutano wa Vyama vya Siasa Kusini Mwa Afrika.
Mkutano huo uliohudhuriwa na baadhi ya Wenyeviti na Makatibu Wakuu wa vyama hivyo, umemalizika mwishoni mwa wiki mjini Maputo kwa mafanikio makubwa.
Mkutano huo ulijadili masuala yaliyolenga kutatua changamoto mbalimbali za mataifa hayo na mipango ya maendeleo kwa ujumla.
Baadhi ya viongozi wa...
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Zitto: Mabadiliko Tanzania hayawezi kuletwa na viongozi walewale
Kiongozi wa Chama cha ATC -Â Wazalendo, Zitto Kabwe amesema mabadiliko wanayotaka Watanzania hayawezi kuletwa na watu walewale waliosababisha hasara Taifa.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-TNHEkCclS3o/VWCfLHlDxKI/AAAAAAAAuR0/kJEthWiyqEo/s72-c/BahatiKilunguMaziku.jpg)
Mwalimu na Wenzake Watano Wakamatwa na Mifupa ya Albino Walikuwa Wakiiuza Milioni Mia Sita
![](http://4.bp.blogspot.com/-TNHEkCclS3o/VWCfLHlDxKI/AAAAAAAAuR0/kJEthWiyqEo/s640/BahatiKilunguMaziku.jpg)
WATU sita, akiwemo Mwalimu wa Shule ya Msingi Katunguru iliyoko Kata ya Wendele, Tarafa ya Msalala wilayani Kahama, wamekamatwa mjini hapa wakiwa na vipande sita vya mifupa inayodhaniwa kuwa ya albino.
Taarifa zilizopatikana mjini hapa zimeeleza kwamba, mwalimu huyo Bahati Kilungu Maziku (56), Msukuma na mkazi wa Mtaa wa Mbulu katika Halmashauri ya Mji wa Kahama, amekamatwa akiwa na watu watano, wakiwemo waganga wa jadi watatu, katika harakati za kuuziana mifupa hiyo.
Wengine waliokamatwa ni...
11 years ago
Mwananchi31 Dec
Mbunge ataka Zitto, wenzake wafukuzwe
Wakati Kamati Kuu ya Chadema ikijipanga kuwahoji Zitto Kabwe na wenzake waliosimamishwa, Mwenyekiti wa chama hicho katika Kanda ya Kaskazini, Mchungaji Israel Natse, amesema salama ya chama hicho ni kuwatimua wote waliovuliwa nyadhifa zao.
10 years ago
Vijimambo20 Mar
HII NDIO HOTUBA YA ZITTO ALIYOTAKA KUITOA BUNGENI YA KUWAAGA WABUNGE WENZAKE
![](http://api.ning.com/files/DmFIhqID0FpBclB7TfcFiRZ2-SgCvrpy-YGRxyfai9FDRTsXlW9F0Hk79q1j2Co33QKi*PPkmLAEKlDl2gz5S1OlpjCGMqKv/zitto.jpg?width=650)
Mheshimiwa Spika, nilijiunga na Bunge lako tukufu mwaka 2005 nikiwa kijana mdogo mwenye malengo ya kupaza sauti ya vijana kwenye masuala yanayohusu nchi yetu na pia kutetea maslahi ya wananchi wa Jimbo la Kigoma Kaskazini na Mkoa wa Kigoma.
Katika kudumu kwangu kama mbunge nililelewa na kukuzwa na chama cha siasa cha CHADEMA ambacho kupitia chama hiki niliingia Bungeni. Chama hiki kilinilea na kunikuza tangu nikiwa na umri wa miaka 16 na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania