Tusisubiri CNN wataje mchango wa Tanzania Kusini mwa Afrika
Wakati dunia bado ingali kwenye maombelezo ya shujaa wa Afrika, Mzee Nelson Mandela, tunashuhudia ukimya wa vyombo vya habari vya kimagharibi katika kuutambua mchango wa Tanzania kwenye harakari za kupigania ukombozi wa nchi za Afrika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-Sf1g3nh3sjQ/VlI7wt6M1DI/AAAAAAAAru4/uYNPHvX1ipc/s72-c/IMG_05910.jpg)
KINANA AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA VYAMA VYA SIASA KUSINI MWA AFRIKA MJINI MAPUTO,MSUMBIJI
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Komredi Abdulrahman Kinana katikati ya wiki iliyopita aliongoza ujumbe wa Tanzania nchini Msumbiji kuhudhuria mkutano wa Vyama vya Siasa Kusini Mwa Afrika.
Mkutano huo uliohudhuriwa na baadhi ya Wenyeviti na Makatibu Wakuu wa vyama hivyo, umemalizika mwishoni mwa wiki mjini Maputo kwa mafanikio makubwa.
Mkutano huo ulijadili masuala yaliyolenga kutatua changamoto mbalimbali za mataifa hayo na mipango ya maendeleo kwa ujumla.
Baadhi ya viongozi wa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Sf1g3nh3sjQ/VlI7wt6M1DI/AAAAAAAAru4/uYNPHvX1ipc/s72-c/IMG_05910.jpg)
KINANA AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA VYAMA VYA SIASA KUSINI MWA AFRIKA MJINI MAPUTO,MSUMBIJI
Mkutano huo ulijadili masuala yaliyolenga kutatua changamoto mbalimbali za mataifa hayo na mipango ya maendeleo kwa ujumla.
Baadhi ya viongozi wa vyama...
10 years ago
Mtanzania28 Apr
Wakuu wa nchi za Kusini mwa Afrika kumzika Mbita
Christina Gauluhanga na Adam Mkwepu, Dar es Salaam
WAKATI nchi nne za kusini mwa Afrika zikithibitisha kushiriki kwenye mazishi ya Brigedia Jenerali Hashim Mbita (82) yatakayofanyika kesho katika Makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam, baadhi ya marafiki waliomfahamu marehemu kwa miaka mingi wamesema ameacha pigo na mchango wake unatambuliwa na mataifa mbalimbali.
Mtoto wa marehemu, Idd Mbita, alisema nchi za Zimbabwe, Namibia, Msumbiji na Angola zimethibitisha kutuma wawakilishi katika...
10 years ago
VijimamboMKUTANO WA MAJESHI YA ANGA YALIYOPO KUSINI MWA AFRIKA WAFANYIKA ZANZIBAR
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eAgmLqj8-B0/VQBCWsivisI/AAAAAAAHJjc/NhVSFOWpH3o/s72-c/unnamed%2B(77).jpg)
Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini Mwa Afrika (Misa) yampata 'tano' Jokate
![](http://1.bp.blogspot.com/-eAgmLqj8-B0/VQBCWsivisI/AAAAAAAHJjc/NhVSFOWpH3o/s1600/unnamed%2B(77).jpg)
Mwandishi wetuTaasisi ya Vyombo vya Habari Kusini Mwa Afrika, (MISA) imemtangaza mrembo mwenye vipaji vingi hapa nchini, Jokate Mwegelo, kuwa miongoni mwa wanawake tisa waliofanya mambo makubwa katika jamii kwa ukanda wa nchi za Kusini mwa Afrika ijulikanayo kwa jina la “Misa’s Women to Watch’.
Kwa mujibu wa taraifa iliyotolewa na MISA wakati wa siku ya wanawake Duniani, Jokate ambaye ni mfanyabiashara, mwanamitindo, mtangazaji, mwanamuziki, mbunifu wa mavazi na muigizaji wa filamu amepata...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DMrsrclh9YI/VP3SYhSfLRI/AAAAAAAHJJE/kJWwnWEuGdo/s72-c/unnamed%2B(48).jpg)
Rais Kikwete afungua Mkutano Mkuu wa Wahasibu Wakuu nchi za Mashariki na Kusini Mwa Afrika
![](http://4.bp.blogspot.com/-DMrsrclh9YI/VP3SYhSfLRI/AAAAAAAHJJE/kJWwnWEuGdo/s1600/unnamed%2B(48).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kfNCnGnu55Y/VP3SYNYIKAI/AAAAAAAHJJA/-FdD7WDE8TQ/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
9 years ago
MichuziVIONGOZI WA KIDINI KUTOKA NCHI 17 ZA MASHARIKI NA KUSINI MWA AFRIKA WAKUTANA JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oWsWtLYYGic/VUzJ2Pgg4vI/AAAAAAAHWTI/-OMOBwNN0OU/s72-c/542.jpg)
Mkutano wa 17 wa Wakuu wa Majeshi ya Anga wa Mataifa ya Kusini mwa Bara la Afrika SADC wafunguliwa leo Zanzibar
![](http://1.bp.blogspot.com/-oWsWtLYYGic/VUzJ2Pgg4vI/AAAAAAAHWTI/-OMOBwNN0OU/s640/542.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Vb4mDS4lDLU/VUzJ3PEG6xI/AAAAAAAHWTU/QGODmfMEetE/s640/545.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0eLFizgrrKE/VUzJ1_9qqOI/AAAAAAAHWTM/4gE_eWG7K6Y/s640/523.jpg)
Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa 17 wa Wakuu wa Majeshi ya Anga wa...
10 years ago
VijimamboRais Jakaya Kikwete afungua Mkutano Mkuu wa Wahasibu Wakuu nchi za Mashariki na Kusini Mwa Afrika