Zitto: Mabadiliko Tanzania hayawezi kuletwa na viongozi walewale
Kiongozi wa Chama cha ATC -Â Wazalendo, Zitto Kabwe amesema mabadiliko wanayotaka Watanzania hayawezi kuletwa na watu walewale waliosababisha hasara Taifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili23 Jun
Zitto, viongozi wenzake wakamatwa Kusini mwa Tanzania
9 years ago
Bongo501 Sep
Music: PNC — Walewale
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Viongozi wa dini wanayo nafasi ya kuleta mabadiliko
10 years ago
Mtanzania28 May
Zitto awaonya viongozi ACT-Wazalendo
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ameionya sekretarieti ya uongozi wa chama hicho na kuitaka kuishi kwa maadili kwa kuzingatia katiba ya chama na kuitekeleza kwa vitendo.
Amesema uadilifu umekuwa ni changamoto kubwa katika nchi hali inayowafanya watanzania washindwe kuaminiana katika masuala mbalimbali.
Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam juzi alipofungua mkutano wa kwanza wa sekretarieti ya uongozi wa chama hicho.
Alisema iwapo watashindwa kuishi...
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Zitto: Uadilifu ni mzimu unaowatafuna viongozi
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-c1HaGtN9Tb4/VM3RKmmmWSI/AAAAAAAHAng/-rxZz3xbuf4/s72-c/unnamed%2B(66).jpg)
Rais Kikwete awasilisha Ripoti ya Kamati ya viongozi Juu ya Mabadiliko ya Tabia Nchi
![](http://4.bp.blogspot.com/-c1HaGtN9Tb4/VM3RKmmmWSI/AAAAAAAHAng/-rxZz3xbuf4/s1600/unnamed%2B(66).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-83JkyYJsb7s/VM3P_1I8PUI/AAAAAAAHAnQ/EY-rF7GzcdQ/s1600/unnamed%2B(65).jpg)
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Hii ndio video ya matukio ya Ronaldinho ambayo hayawezi kusahaulika na nadra kutokea uwanjani …
Mtu wangu wa nguvu ikiwa leo Alhamisi ya December 24 ndio ile siku yetu ya kupost matukio mbalimbali ya zamani katika mitandao ya kijamii na kujikumbushia, naomba nikurudishe nyuma kidogo kwa matukio kadhaa ya soka. December 24 naomba nikukumbushie au nikusogezee video ya dakika 8 ya matukio ya staa wa soka kutokea Brazil Ronaldinho Gaucho, haya ndio […]
The post Hii ndio video ya matukio ya Ronaldinho ambayo hayawezi kusahaulika na nadra kutokea uwanjani … appeared first on...
10 years ago
Michuzi01 Jul
11 years ago
Habarileo25 Feb
Mwili wa Kazaura kuletwa leo
MWILI wa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Balozi Fulgence Kazaura unatarajia kuwasili nchini leo jioni. Akizungumza jana, Msemaji wa familia, Charles Mombeki alisema mwili huo utawasili kwa ndege ya Shirika la Ndege la Emirates. Balozi Kazaura alifariki dunia siku ya Jumamosi nchini India, alikokuwa akipatiwa matibabu katika Kituo cha Matibabu ya Saratani katika mji wa Chennai nchini humo.