Mwili wa Kazaura kuletwa leo
MWILI wa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Balozi Fulgence Kazaura unatarajia kuwasili nchini leo jioni. Akizungumza jana, Msemaji wa familia, Charles Mombeki alisema mwili huo utawasili kwa ndege ya Shirika la Ndege la Emirates. Balozi Kazaura alifariki dunia siku ya Jumamosi nchini India, alikokuwa akipatiwa matibabu katika Kituo cha Matibabu ya Saratani katika mji wa Chennai nchini humo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Mwili wa Balozi Kazaura kuwasili nchini leo
Mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Balozi Fulgence Kazaura (74), unatarajiwa kuwasili nchini leo ukitokea Chennai, India alikokwenda kwa matibabu ya saratani.
11 years ago
Michuzi25 Feb
MWILI WA BALOZI KAZAURA WAWASILI DAR KUTOKA INDIA LEO
Waombolezaji wakisukuma jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), marehemu Balozi Fulgence Kazaura ulipowasili jana kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam jioni hii , kutoka India. (PICHA NA KHAMIS MUSSA)
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadick akwafariji ndugu wa marehemu
Ndugu wakifunua jeneza kuutengeneza mwili wa marehemu Kazaura.
Mwili ukipakiwa kwenye gari tayari kupelekwa kuhifadhiwa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Uyj-XxFbXBo/Uw35Cp6GeFI/AAAAAAAFPtY/Qn-XtRzGgNI/s72-c/28.jpg)
MWILI WA BALOZI FULGENCE KAZAURA WAAGWA LEO KATIKA KANISA LA MT. PETER JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-Uyj-XxFbXBo/Uw35Cp6GeFI/AAAAAAAFPtY/Qn-XtRzGgNI/s1600/28.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-39FdtDi-o_Y/Uw35JJc_qLI/AAAAAAAFPtk/amPUiV6-9y8/s1600/32.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Vl9-I6ostuU/U3t3n7i9mUI/AAAAAAAFj2A/6jXAW7VWuF8/s72-c/AMINA+NGALUMA.jpg)
Mwili wa Ngaluma kuletwa Dar Ijumaa
![](http://3.bp.blogspot.com/-Vl9-I6ostuU/U3t3n7i9mUI/AAAAAAAFj2A/6jXAW7VWuF8/s1600/AMINA+NGALUMA.jpg)
Kwa mujibu wa mume wa marehemu, Rashid Sumuni tayari taratibu muhimu kuhusiana na kuuleta mwili huo nyumbani zimefanyika na wana amini mambo yataenda kama wanavyotarajia.
“Naomba niwajulishe kuwa mwili wa mke wangu utaondoka Thailand Alhamisi wiki hii kwa ndege ya KLM na utawasili Dar es Salaam siku inayofuata saa tatu...
11 years ago
GPLTASWIRA ZA KUWASILI MWILI WA BALOZI KAZAURA
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick akiwapa pole baadhi ya ndugu wa marehemu. Mwili wa Balozi Kazaura ukiwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere.…
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-Uyj-XxFbXBo/Uw35Cp6GeFI/AAAAAAAFPtY/Qn-XtRzGgNI/s1600/28.jpg)
MWILI WA BALOZI FULGENCE KAZAURA ULIVYOAGWA KATIKA KANISA LA MT. PETER JIJINI DAR
Jeneza lenye Mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Marehemu Balozi Fulgence Kazaura likiwa ndani ya Kanisa la Mt. Peter,Osterbay jijini Dar es Salaam tayari kwa Ibada maalum ya kumuombea Marehemu huyo iliyofanyika mchana wa leo kanisani hapo. Viongozi wa Kanisa hilo la Mt. Peter wakiwaongoza waomboleazaji kuaga Mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Marehemu Balozi Fulgence...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/STHDuz-8NrVGLzt48tY72U*emnOc2uMnBT9n0opTosEqiE*dbWHx7V3xfUw2BA45HKeS3Om-V5H3pdmz66LorgAke8Gb0ONd/RAISJK1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AUNGANA NA JUMUIYA YA CHUO KIKUU KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MWILI WA BALOZI KAZAURA
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini katika kitabu cha maombolezo wakati alipowasili kwenye hafla rasmi ya mazishi ya Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Marehemu Balozi Fulgence Kazaura katika ukumbi wa Nkrumah Chuoni hapo leo Februari 27, 2014. Nyuma yake ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Dar es salaam, Profesa Rwekaza Mukandara na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Mhe saidi Meck Sadick.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa...
11 years ago
Mwananchi27 May
Afya ya ‘mtoto wa boksi’ yabadilika ghafla, kuletwa Dar leo
Hali ya mtoto Nasra Rashid (4) aliyekuwa amefichwa kwenye boksi kwa miaka minne, imebadilika ghafla juzi na jana kuwalazimu madaktari kumweka katika chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu.
11 years ago
Michuzi27 Feb
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania