Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VOA IDHAA YA KISWAHILI KUTOKA WASHINGTON, DC NAO WASEMA "IMETOSHA" MAUAJI YA ALIBINO NCHINI TANZANIA

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

HOUSTON, TEXAS NAO WASEMA "IMETOSHA" MAUAJI YA ALBINO TANZANIA


Ephaim (kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na Jenga siku ya Pazi Reunion iliyofanyika Houston. Jenga akiwa amevaa fulana yenye picha ya Albino ikiwa ni ishala ya kupinga mauaji ya ndugu zetu hao mabayo yametikisa Dunia hivi sasa.

 

10 years ago

Bongo5

Audio: Makala ya afya ya ‘Je Nifanyeje’ ya Sauti ya Amerika (VOA) idhaa ya Kiswahili

Je Nifanyeje ni kipindi cha afya cha dakika 30 kinachorushwa na radio washirika wa Voice Of America, Idhaa ya Kiswahili chini ya udhamini washirika la misaada ya watu wa Marekani USAID. Lengo la kipindi ni kuwawezesha vijana hususan wasichana kuweza kufanya maamuzi yao yenyewe ya kiafya na kijamii ili kuweza kufikia ndoto zao. Kipindi kinasikika […]

 

11 years ago

Michuzi

Mtaalamu wa tiba asilia toka Tanzania Dokta Mwaka Juma atembelea idhaa ya Kiswahili DW

Mtaalamu wa tiba asilia toka Tanzania Dokta Mwaka Juma ametembelea Makao Makuu ya Idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Ujerumani (DW) jijini Bonn akiwa katika ziara ya mafunzo nchini Ujerumani na hasa kustawisha tiba mbadala kwa afya. Pamoja na DW anatembelea vyuo na taasisi mbalimbali za tiba.  Dokta Mwaka Juma akiwa na mkuu wa Idhaa ya Kiswahili DW  Dokta Mwaka Juma akisalimia na Abdul Mtullya  Dokta Mwaka Juma akiwa na Josephat Charo  Dokta Mwaka Juma akiwa na Samia Othman pamoja na...

 

9 years ago

Vijimambo

WAKUU WA IDHAA VOA WAHUDHURIA KONGAMANO DRC

 Kutoka kushoto ni Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili ya Voice of Amerika (VOA) Dr. Hamza Mwamoyo, Mkuu wa Idhaa ya Kifaransa VOA Bwn.Jeremy Groce na mtangazaji wa VOA Idrissa Fall wote kwa pamoja wakihudhuria kongamano mji wa Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya CongoMkuu wa Idhaa ya Kiswahili VOA, Dr. Hamza Mwamoyo katika picha ya pamoja na Balozi wa Marekani DRC Mhe. James Swan kwenye hafla fupi baada ya kongamano hilo kuhitimisha

 

10 years ago

Vijimambo

MKURUGENZI NA MHARIRI MKUU WA MAGAZETI YA MWANANCHI NA CITIZEN WATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NA VOA WASHINGTON, DC

 Kulia ni mkurugenzi mkuu wa magazeti ya Mwananchi na Citizen Bwn. Francis Majige Nanai akijiandaa kutia sani kitabu cha wageni kushoto ni mhariri mkuu wa magazeti hayo Bwn. Bakari machumu siku ya Jumamtano June 3, 2015 walipotembelea Ubalozi wa Tanzania Washington, DC nchin Marekani. Mhariri mkuu wa magazeti ya Mwananchi na Citizen Bwn. Bakari Machumu akitia saini kitabu cha wageni Ubalozi wa Tanzania Washington, DC nchini Marekani. Mkurugenzi wa magazeti ya Mwananchi na Citizen Bwn....

 

10 years ago

GPL

TAMASHA LA KISWAHILI ILILOFANYIKA NCHINI MAREKANI NDANI YA WASHINGTON DC LAFUNIKA

Waandaaji wa Tamasha la Kiswahili Washington DC Ndugu Patrick Kajale na Dada Finiana wakijadili jambo na ndugu Safari ambaye ndiye Mtunzi wa kile kitabu Nambari moja Amazon cha Nyayo za Obama.…

 

10 years ago

Vijimambo

TAMASHA LA KISWAHILI (SWAHILI FEST) LILILOFANYIKA NCHINI MAREKANI NDANI YA WASHINGTON DC LAFUNIKA !

Kwa mara ya Kwanza kabisa nchini marekani limefanyika Tamasha la Kiswahili katika jiji la Washington,likijumuisha nchi zote za Afrika Mashariki na kati zinazozungumza lugha ya kiswahili.Tamasha hili liliandaliwa ili kuweza kutangaza tamaduni za Afrika Mashariki ikiwa ni pamoja na Chakula,Mavazi,Ngoma za Asili,Miziki ya Kizazi Kipya,na mambo mbali mbali ya kiasilia.Waandaaji wa Tamasha la Kiswahili Washington DC Ndugu Patrick Kajale na Dada Finiana wakijadili jambo na ndugu Safari ambaye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani