VOA IDHAA YA KISWAHILI KUTOKA WASHINGTON, DC NAO WASEMA "IMETOSHA" MAUAJI YA ALIBINO NCHINI TANZANIA
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo16 Mar
HOUSTON, TEXAS NAO WASEMA "IMETOSHA" MAUAJI YA ALBINO TANZANIA
Ephaim (kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na Jenga siku ya Pazi Reunion iliyofanyika Houston. Jenga akiwa amevaa fulana yenye picha ya Albino ikiwa ni ishala ya kupinga mauaji ya ndugu zetu hao mabayo yametikisa Dunia hivi sasa.
10 years ago
Bongo518 Aug
Audio: Makala ya afya ya ‘Je Nifanyeje’ ya Sauti ya Amerika (VOA) idhaa ya Kiswahili
Je Nifanyeje ni kipindi cha afya cha dakika 30 kinachorushwa na radio washirika wa Voice Of America, Idhaa ya Kiswahili chini ya udhamini washirika la misaada ya watu wa Marekani USAID. Lengo la kipindi ni kuwawezesha vijana hususan wasichana kuweza kufanya maamuzi yao yenyewe ya kiafya na kijamii ili kuweza kufikia ndoto zao. Kipindi kinasikika […]
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/kkmeD4sJBs4/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ShsQfoNvmHE/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g9pnqVtzMkI/U4jGzAdpi5I/AAAAAAAFmkY/2kx_NLbJzl0/s72-c/unnamed+(34).jpg)
Mtaalamu wa tiba asilia toka Tanzania Dokta Mwaka Juma atembelea idhaa ya Kiswahili DW
Mtaalamu wa tiba asilia toka Tanzania Dokta Mwaka Juma ametembelea Makao Makuu ya Idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Ujerumani (DW) jijini Bonn akiwa katika ziara ya mafunzo nchini Ujerumani na hasa kustawisha tiba mbadala kwa afya. Pamoja na DW anatembelea vyuo na taasisi mbalimbali za tiba.
Dokta Mwaka Juma akiwa na mkuu wa Idhaa ya Kiswahili DW
Dokta Mwaka Juma akisalimia na Abdul Mtullya
Dokta Mwaka Juma akiwa na Josephat Charo
Dokta Mwaka Juma akiwa na Samia Othman pamoja na...
![](http://1.bp.blogspot.com/-g9pnqVtzMkI/U4jGzAdpi5I/AAAAAAAFmkY/2kx_NLbJzl0/s1600/unnamed+(34).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-t9Nkaf3OeNI/U4jGzCa_ocI/AAAAAAAFmk0/qq6BD_U7_ks/s1600/unnamed+(35).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zr8h9Ce9vyo/U4jGzJsRWdI/AAAAAAAFmkc/haGWCsezFtk/s1600/unnamed+(36).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-sA7zfPAEqWg/U4jG0EAsbEI/AAAAAAAFmkg/cG0AC_KeWlg/s1600/unnamed+(37).jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-gQhrLKm-xyc/VdaMYD9qyMI/AAAAAAAD3pk/aXZeLwUlUnY/s72-c/00288af1d8230f117116eda4ed5a9b69.jpg)
WAKUU WA IDHAA VOA WAHUDHURIA KONGAMANO DRC
![](http://2.bp.blogspot.com/-gQhrLKm-xyc/VdaMYD9qyMI/AAAAAAAD3pk/aXZeLwUlUnY/s640/00288af1d8230f117116eda4ed5a9b69.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-UUefOLcXrAc/VdaMYPfukQI/AAAAAAAD3pg/eOI2YihEX9I/s640/d46093cf321bd822ee48575285f83359.jpg)
10 years ago
VijimamboMKURUGENZI NA MHARIRI MKUU WA MAGAZETI YA MWANANCHI NA CITIZEN WATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NA VOA WASHINGTON, DC
10 years ago
GPLTAMASHA LA KISWAHILI ILILOFANYIKA NCHINI MAREKANI NDANI YA WASHINGTON DC LAFUNIKA
Waandaaji wa Tamasha la Kiswahili Washington DC Ndugu Patrick Kajale na Dada Finiana wakijadili jambo na ndugu Safari ambaye ndiye Mtunzi wa kile kitabu Nambari moja Amazon cha Nyayo za Obama.…
10 years ago
VijimamboTAMASHA LA KISWAHILI (SWAHILI FEST) LILILOFANYIKA NCHINI MAREKANI NDANI YA WASHINGTON DC LAFUNIKA !
Kwa mara ya Kwanza kabisa nchini marekani limefanyika Tamasha la Kiswahili katika jiji la Washington,likijumuisha nchi zote za Afrika Mashariki na kati zinazozungumza lugha ya kiswahili.Tamasha hili liliandaliwa ili kuweza kutangaza tamaduni za Afrika Mashariki ikiwa ni pamoja na Chakula,Mavazi,Ngoma za Asili,Miziki ya Kizazi Kipya,na mambo mbali mbali ya kiasilia.
Waandaaji wa Tamasha la Kiswahili Washington DC Ndugu Patrick Kajale na Dada Finiana wakijadili jambo na ndugu Safari ambaye...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania