JK AZINDUA MABANGO YA KUHAMASISHA WANANCHI KUPIGA VITA MAUAJI YA TEMBO,FARU
Moja ya mabango yaliyozinduliwa na Rais Jakaya Kikwete usiku wa kuamkia leo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam kwa ajili ya kuhamasisha wananchi kupiga vita mauaji ya Tembo na Faru nchini. Hafla hii ilifanyika muda mfupi kabla Rais Kikwete hajapanda ndege kuelekea London, Uingereza, kuhudhuria mkutano wa kimataifa wa kupanga mikakati ya kupambana na ujangili na biashara haramu ya meno ya tembo na faru.
Rais Jakaya Kikwete (kulia) akibofya kwenye...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLRAIS KIKWETE AZINDUA MABANGO YA KUHAMASISHA WANANCHI KUPIGA VITA MAUAJI YA TEMBO, FARU
11 years ago
MichuziWAZIRI LAZARO NYALANDU AONGOZA MATEMBEZI YA KUPIGA VITA UJANGILI WA TEMBO.
10 years ago
CloudsFM20 Feb
Wasanii waungana kupiga vita mauaji ya Albino
Kupitia mitandao ya kijamii wamepost picha na kulaani mauaji hayo.
diamondplatnumz Ndugu zangu! nafkiri ni Muda wa kubadilika sasa...Tuacheni fikra potofu, za Kipuuzi na ukatili Usio na Maana.. Hivi inamaa unataka kuniambia na hao kina Bill gates Mzee wa kuku, Carlos Slim, Amancio Ortega , Bakhresa na Matajiri wakubwa Duniani pia Walitajirika kupitia...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-lkhunC8oj5E/VTOJNJNBG-I/AAAAAAAAaJ8/aPLP2jBtswY/s72-c/1.jpg)
KINANA ASHIRIKI BONANZA LA KUHAMASISHA WANANCHI KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA KUPIGA KURA
![](http://1.bp.blogspot.com/-lkhunC8oj5E/VTOJNJNBG-I/AAAAAAAAaJ8/aPLP2jBtswY/s1600/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Viongozi na waratibu wa Bonanza maalum la kuhamasisha wananchi kujiandikisha katika Daftari Maalum la kupiga kura mara baada ya kuwasili kwenye viwanja vya Gonga, Karakata tayari kushiriki mchaka mchaka na vijana zaidi ya 500 kutoka vikundi mbali mbali vya wilaya ya Ilala na Temeke.
![](http://1.bp.blogspot.com/-PmYbB_Xa1y8/VTOJOsl63pI/AAAAAAAAaKI/oHFPf0hv7R8/s1600/2.jpg)
Vijana wakiwa wamekusanyika tayari kuanza kushiriki mazoezi ya jogging kwenye uwanja wa Gonga, Karakata ambapo mgeni rasmi alikuwa Katibu Mkuu wa CCM...
10 years ago
Dewji Blog30 Mar
Matembezi ya hamasa kupiga vita mauaji ya Albino — Imetosha
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe na Mbunge wa Viti Maalum, Al Shaymar Kweigyr wakiongoza matembezi ya hamasa ya kupiga vita mauaji ya albino nchini yaliyofanyika leo jijini Dar es salaam kuanzia viwanja vya Biafra mpaka Leaders Club, Kinondoni jijini Dar es salaam.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe, Mbunge wa Viti Maalum, Al Shaymar Kweigyr, Balozi wa Harakati ya Imetosha, Henry Mdimu, Mwakilishi wa Chama cha Albino Tanzania (TAS), Abdillah Omar sambamaba...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-PesNRHlp7BE/VRf4uWxbEuI/AAAAAAADd7U/_NQE5vDSLqs/s72-c/DSCF7142.jpg)
MATEMBEZI YA HAMASA KUPIGA VITA MAUAJI YA ALBINO - IMETOSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-PesNRHlp7BE/VRf4uWxbEuI/AAAAAAADd7U/_NQE5vDSLqs/s1600/DSCF7142.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XuXgCpGtdJg/VRf4yhDDneI/AAAAAAADd8Q/SE-1qSmsfYw/s1600/MMGL2338.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe akihutubia katika viwanja vya leaders club baada ya kuhitimisha matembezi ya hamasa ya kupiga vita mauaji ya albino nchini yaliyofanyika leo jijini Dar es salaam...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JJZ0SaUgrdA/VTS3-msw1LI/AAAAAAAHSEk/kxE4Y3wRKz4/s72-c/unnamed%2B(57).jpg)
Mh. Lowassa ashiriki Matembezi ya kupiga vita mauaji ya watu wenye Ualbino
![](http://4.bp.blogspot.com/-JJZ0SaUgrdA/VTS3-msw1LI/AAAAAAAHSEk/kxE4Y3wRKz4/s1600/unnamed%2B(57).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-f9MaqyVxTlQ/VRe2eCfq5nI/AAAAAAAHN_g/PE_yiUFTVWI/s72-c/DSCF7142.jpg)
WENGI WAHAMASIKA KATIKA MATEMBEZI YA KUPIGA VITA MAUAJI YA ALBINO - IMETOSHA, JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-f9MaqyVxTlQ/VRe2eCfq5nI/AAAAAAAHN_g/PE_yiUFTVWI/s1600/DSCF7142.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe na Mbunge wa Viti Maalum, Al Shaymar Kweigyr wakiongoza matembezi ya hamasa ya kupiga vita mauaji ya albino nchini yaliyofanyika leo jijini Dar es salaam kuanzia viwanja vya Biafra mpaka Leaders Club, Kinondoni jijini Dar es salaam.
![](http://3.bp.blogspot.com/--OsGd_g5qVk/VRe2jDCf_pI/AAAAAAAHOAQ/IEgPocXwvYI/s1600/DSC_0730.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HYeU589VgXg/VRe2eKUdUOI/AAAAAAAHN_U/bd9ZA-D4TPA/s1600/DSCF7149.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
Tembo, faru hatarini kutoweka
VITENDO vya ujangili vinavyoendelea kushamiri nchini, vimechangia taifa kukumbwa na hatari ya kutoweka kwa wanyamapori wakiwemo tembo na faru. Kauli hiyo ilitolewa mjini hapa na Profesa Davis Mwamfupe wa Chuo...