WAZIRI LAZARO NYALANDU AONGOZA MATEMBEZI YA KUPIGA VITA UJANGILI WA TEMBO.
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu (MB) akipokewa na Bi. Raabia Hawa, Mratibu wa matembezi ya kupiga vita ujangili wa tembo yaliyoanzia Hifadhi ya Taifa Arusha na yanatarajiwa kumalizikia Nairobi, Kenya tarehe 28 mwezi huu.
Mwendo ulipokolea na makoto yalivuliwa ili kuwa na wepesi zaidi.
Watembeaji wakipumzika kidogo kabla ya kuendelea na matembezi.
Bi. Raabia Hawa akifuta machozi baada ya kuguswa na hotuba ya Waziri Nyalandu kuhusu askari...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog16 Sep
Blog ya Vijimambo yakabidhi mchango wake wa kusaidia kupambana na ujangili kwa Mhe. Lazaro Nyalandu
Baraka Daudi, Mwenyekiti wa Tamasha la Utalii na kukemea ujangili lililoadhimisha miaka 4 ya Blog ya Vijimambo akimkabidhi pesa tasilimu $1,000 kwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Lazaro Nyalandu kwa ajili ya kupambana na ujangili makabidhiano yaliyofanyika katika ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumatatu Sept 15, 2014.
![](https://fbcdn-sphotos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/t31.0-8/1270840_10152390941687479_778937543945959590_o.jpg)
Mhe. Lazaro Nyalandu, Balozi Leberata Mulamula Afisa Ubalozi Suleiman Saleh (kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Vijimambo...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-PesNRHlp7BE/VRf4uWxbEuI/AAAAAAADd7U/_NQE5vDSLqs/s72-c/DSCF7142.jpg)
MATEMBEZI YA HAMASA KUPIGA VITA MAUAJI YA ALBINO - IMETOSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-PesNRHlp7BE/VRf4uWxbEuI/AAAAAAADd7U/_NQE5vDSLqs/s1600/DSCF7142.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XuXgCpGtdJg/VRf4yhDDneI/AAAAAAADd8Q/SE-1qSmsfYw/s1600/MMGL2338.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe akihutubia katika viwanja vya leaders club baada ya kuhitimisha matembezi ya hamasa ya kupiga vita mauaji ya albino nchini yaliyofanyika leo jijini Dar es salaam...
10 years ago
Dewji Blog30 Mar
Matembezi ya hamasa kupiga vita mauaji ya Albino — Imetosha
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe na Mbunge wa Viti Maalum, Al Shaymar Kweigyr wakiongoza matembezi ya hamasa ya kupiga vita mauaji ya albino nchini yaliyofanyika leo jijini Dar es salaam kuanzia viwanja vya Biafra mpaka Leaders Club, Kinondoni jijini Dar es salaam.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe, Mbunge wa Viti Maalum, Al Shaymar Kweigyr, Balozi wa Harakati ya Imetosha, Henry Mdimu, Mwakilishi wa Chama cha Albino Tanzania (TAS), Abdillah Omar sambamaba...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JJZ0SaUgrdA/VTS3-msw1LI/AAAAAAAHSEk/kxE4Y3wRKz4/s72-c/unnamed%2B(57).jpg)
Mh. Lowassa ashiriki Matembezi ya kupiga vita mauaji ya watu wenye Ualbino
![](http://4.bp.blogspot.com/-JJZ0SaUgrdA/VTS3-msw1LI/AAAAAAAHSEk/kxE4Y3wRKz4/s1600/unnamed%2B(57).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima11 Jul
Nyalandu ajikana vita vya ujangili
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, ameikana kauli yake ya Februari 27 mwaka huu, kwamba Serikali ina zaidi ya majina 320 ya majangili na kwamba wangeyaweka hadharani muda wowote,...
11 years ago
Habarileo05 Apr
Nyalandu ataka motisha vita ya ujangili
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amelitaka Baraza kuu la Wafanyakazi la Wizara, kuandaa utaratibu wa kutoa motisha kwa kila mfanyakazi kwa ajili ya kufanikisha utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Mkubwa Sasa (BRN), katika kupambana na vita dhidi ya ujangili na kuongeza mapato yatokanayo na utalii.
11 years ago
Habarileo26 Mar
Tanzania, China kupiga vita ujangili
SERIKALI ya Jamhuri ya Watu wa China imesema itahakikisha inasaidiana na Tanzania katika mapambano dhidi ya ujangili, ambapo wametoa msaada wa mashine mbili za kukagua makontena katika bandari ya Dar es Salaam na Zanzibar.
11 years ago
Tanzania Daima14 May
Mantra yasaini makubaliano kupiga vita ujangili
KAMPUNI ya Mantra Tanzania na Idara ya Wanyamapori ya Wizara ya Maliasili na Utalii, wamesaini mkataba wa makubaliano, ambao umelenga kwa pande zote mbili kushirikiana katika kupiga vita ujangili wa...
10 years ago
Tanzania Daima13 Oct
Nyalandu: Vita ya ujangili kikwazo wasio wazalendo
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazalo Nyalandu, amesema mali nyingi hapa nchini zinaangamia kutokana na watu wachache waliopewa dhamana ya kuzisimia kutanguliza mbele maslahi yao badala ya uzalendo. Nyalandu, alisema...