Blog ya Vijimambo yakabidhi mchango wake wa kusaidia kupambana na ujangili kwa Mhe. Lazaro Nyalandu
Baraka Daudi, Mwenyekiti wa Tamasha la Utalii na kukemea ujangili lililoadhimisha miaka 4 ya Blog ya Vijimambo akimkabidhi pesa tasilimu $1,000 kwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Lazaro Nyalandu kwa ajili ya kupambana na ujangili makabidhiano yaliyofanyika katika ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumatatu Sept 15, 2014.
![](https://fbcdn-sphotos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/t31.0-8/1270840_10152390941687479_778937543945959590_o.jpg)
Mhe. Lazaro Nyalandu, Balozi Leberata Mulamula Afisa Ubalozi Suleiman Saleh (kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Vijimambo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0v5nJr16-jA/Uz33TxQMqUI/AAAAAAACezc/hkjgxzkO300/s72-c/vijimamboFront3+(1).jpg)
MHE. LAZARO NYALANDU MGENI RASMI MIAKA 4 YA VIJIMAMBO PROMOTING TANZANIA TOURISM EXPO IN USA
![](http://3.bp.blogspot.com/-0v5nJr16-jA/Uz33TxQMqUI/AAAAAAACezc/hkjgxzkO300/s1600/vijimamboFront3+(1).jpg)
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-0v5nJr16-jA/Uz33TxQMqUI/AAAAAAACezc/hkjgxzkO300/s1600/vijimamboFront3+(1).jpg)
MHE. LAZARO NYALANDU MGENI RASMI MIAKA 4 YA VIJIMAMBO PROMOTING TANZANIA TOURISM EXPO IN USA
Vijimambo kwa ushirikiano wa pamoja na Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani na Jumuiya ya Watanzania DMV wanapenda kukukaribisha kwenye sherehe ya miaka 4 ya Blog ya Vijimambo kwa kutangaza Utalii wa Tanzania nchini Marekani na kukemea ujangili wa mali asili wa nchi yetu siku ya September 13, 2014 itakayofanyika THE OXFORD EVENT CENTER 9700 Martin Luther King Jr HWY, Lanham, MD 20706. Kutakua na burudani za kila aina kutoka...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oiUozaybJi4/VA-PTTsSJSI/AAAAAAADBQQ/TEirtqHlG0s/s72-c/vijimamboFront.jpg)
WASANII KASSIM MGANGA, AUNTY EZEKIEL NA AJ UBAO KUNOGESHA TAMASHA LA UTALII NA MIAKA 4 YA VIJIMAMBO MGENI RASMI MHE. LAZARO NYALANDU
![](http://3.bp.blogspot.com/-oiUozaybJi4/VA-PTTsSJSI/AAAAAAADBQQ/TEirtqHlG0s/s1600/vijimamboFront.jpg)
![](http://freemedia.co.tz/daima/wp-content/uploads/2014/06/ezekiel_7-500x333.jpg)
11 years ago
MichuziWAZIRI LAZARO NYALANDU AONGOZA MATEMBEZI YA KUPIGA VITA UJANGILI WA TEMBO.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-1x_0pXXw7_E/VK5k_cR40DI/AAAAAAAAsOM/dxXsP7RxO0c/s72-c/Lazaro%2BNyalandu.jpg)
TAARIFA YA MHE LAZARO NYALANDU
![](http://1.bp.blogspot.com/-1x_0pXXw7_E/VK5k_cR40DI/AAAAAAAAsOM/dxXsP7RxO0c/s1600/Lazaro%2BNyalandu.jpg)
11 years ago
MichuziCRDB YAKABIDHI MCHANGO WAKE KWA UBALOZI WA TANZANIA NCHI MAREKANI
Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa CRDB Dr. Charles Kimei (kushoto) na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya CRDB Bwn. Martin Mmari kwenye kikao cha makabidhiano ya mchango wa CRDB kwa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani kwa ajili ya sherehe ya miaka 50 ya Muungano itakazoadhimishwa kitaifa Washington, DC April 26, 2014 CRDB kupitia kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ilimkabidhi Mhe. Liberata Mulamula fedha taslimu za Kimarekani...
10 years ago
MichuziMHE. LAZARO NYALANDO, CASSIM MGANGA WAWASILI KUHUDHURIA TAMASHA LA UTALII NA MIAKA 4 YA VIJIMAMBO
10 years ago
GPLMHE. LAZARO NYALANDO, CASSIM MGANGA WAWASILI KUHUDHURIA TAMASHA LA UTALII NA MIAKA 4 YA VIJIMAMBO
Mhe. Lazaro Nyalandu, Waziri wa Maliasili na Utalii akipokewa na Afisa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani, Suleiman Saleh mara tu alipowasili katika uwanja wa kimataifa wa Dulles kwa ajili ya kuhudhulia tamasha la Utalii na miaka 4 ya Blog ya Vijimambo litakalo fanyika Jumamosi Sept 13, 2014. Kushoto ni msaidizi wa Waziri Bwn. Iman Nkuwi.
 Msanii wa kizazi kipya… ...
10 years ago
Michuzi13 Sep
MHE. LAZARO NYALANDU AKUTANA NA WADAU WA UTALII NCHINI MAREKANI
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania