CAG ashauri Serikali kukabili ukata
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh, ameishauri Serikali na Bunge kuangalia upya vyanzo vya mapato na matumizi ya fedha za Serikali, kwa kuwa ni dhahiri hali ya fedha si nzuri kabisa. Alisema hayo jana mjini hapa wakati wa kufungua mkutano wa pili wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Dk Kilahama ashauri Serikali itoze ada
10 years ago
Mwananchi11 Oct
Sumaye ashauri Serikali kushirikisha walimu
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Msomi ashauri muundo wa serikali mbili ulioboreshwa
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Askofu Munga ashauri Serikali kupitisha Katiba wanayotaka wananchi
11 years ago
Habarileo25 Feb
Serikali kukabili tatizo la tabianchi
SERIKALI imesema bado inategemea fedha zaidi kutoka kwa wadau mbalimbali wa maendeleo ili kufanya mambo mengi zaidi katika kukabiliana na tatizo la tabianchi, ambalo kwa sasa limezikumba nchi nyingi duniani.
11 years ago
Tanzania Daima09 Aug
Serikali yajipanga kukabili Ebola
SERIKALI imesema itahakikisha hakuna mwananchi atakayefariki kutokana na kukosa huduma katika vituo vya afya pindi atakapobanika kuwa na ugonjwa wa Ebola labda achelewe kufika katika vituo hivyo. Kauli hiyo ilitolewa na Naibu...
10 years ago
Tanzania Daima22 Nov
Serikali yajipanga kukabili mafuriko
SERIKALI imesema imejipanga kuhakikisha inakabiliana na matatizo ya mafuliko yanayojitokeza kipindi cha mvua katika jimbo la Kawe jijini Dar es Salaam. Kauli hiyo ilitolewa jana bungeni na Waziri wa Ujenzi,...
9 years ago
Habarileo30 Oct
Serikali yaajiri 588 kukabili ujangili
WIZARA ya Maliasili na Utalii imetoa ajira mpya kwa watumishi wapya wapatao 588 ikiwa idadi kubwa miongoni mwao ni watumishi wa kada ya Ofisa Wanyamapori na Wahifadhi Wanyamapori, lengo likiwa ni kukabiliana na mashambulio mengi kutoka kwa majangili.
9 years ago
Habarileo19 Sep
Serikali imejipanga kukabili njaa-Bendera
MKUU wa Mkoa wa Manyara, Dk Joel Bendera amewahakikishia wananchi wa wilaya ya Hanang’ kuwa hakuna mwananchi atakayekufa kwa njaa kwa kuwa serikali imejipanga kukabiliana na hali hiyo.