DK MAGUFULI ASEMA HAKUOMBA URAIS KUTAFUTA FEDHA BALI KUWAFANYIA KAZI WANANCHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-P2O2u--TJb0/VgA5oSVlasI/AAAAAAAAoEI/sWk8c8iyGd8/s72-c/3.jpg)
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa Gymkhana mjini Bukoba tayari kuhutubia wakazi wa Manispaa ya Bukoba.
Umati wa wakazi wa manispaa ya Bukoba wakiwa wamefurika katika viwanja vya Gymkhana kumsikiliza mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli .
Mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa manispaa ya mji wa Bukoba ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa akichaguliwa kuwa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Iz3MTnPCiio/Xn3U4ex_exI/AAAAAAAAI6Q/hWhtRWrxAOQwOSphErnYmpIY7HKcbOtIgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200327_114357_848.jpg)
CCM HAKINA BEI YA BINADAMU BALI UTUMISHI KWA WANANCHI NDIO SILAHA MADHUBUTI ASEMA MASAWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-Iz3MTnPCiio/Xn3U4ex_exI/AAAAAAAAI6Q/hWhtRWrxAOQwOSphErnYmpIY7HKcbOtIgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200327_114357_848.jpg)
Kamati ya siasa wilaya ya Arusha mjini ukiendelea na kikao chake pamoja na kuwapokea waliokuwa madiwani wa kata za Ngarenaro na Sakina waliojiunga na chama hicho leo
![](https://1.bp.blogspot.com/--50D2gvqe6w/Xn3U3vmUxEI/AAAAAAAAI6I/8RGQaKMgIgM_SmEA5F0ymNcVqvh5ziATQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200327_114637_691.jpg)
Viongozi wa ccm kata ya Ngarenaro waliomsindikiza aliyekuwa Diwani wa kata hiyo Isaya Doita kujiunga na chama hicho leo jijini Arusha picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-reFXqHv-0eA/Xn3U4PPPrNI/AAAAAAAAI6M/O_TKKSFFoCQsDJERu5qK8BvH2H6DI17tQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200327_115939_024.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-6f_3OeqDzmI/Xn3MoBJeb8I/AAAAAAAAI5g/mlbcyOsheUIh53Fxye6HHj0Lpzw0nPd8wCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200327_114409_950.jpg)
Wajaumbe wa kamati ya siasa CCM ya halmashauri ya Jiji la Arusha kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa UWT wilaya hiyo Merry Kisaka Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J4Q91QIejus/Xmd_f1Z48FI/AAAAAAAAIZg/r3hbZfRDPUw9DGYGG6R1B6If3QC1hKF4ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200310_123009_204.jpg)
KALIST ASEMA CCM HAITATUMIA DOLA KUTAKA MADARAKA BALI DOLA KWA NI KUTUMIA KWA KUTUMIKIA WANANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-J4Q91QIejus/Xmd_f1Z48FI/AAAAAAAAIZg/r3hbZfRDPUw9DGYGG6R1B6If3QC1hKF4ACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200310_123009_204.jpg)
Mstahiki Meya Mstaafu wa Jiji la Arusha Kalist Lazaro akiongea na vyombo vya habari leo leo jijini Arusha
Na Ahmed Mahmoud Arusha
CHAMAcha Mapinduzi,CCM, hakitatumia dola kubakia madarakani bali kitaitumia dola katika kuwatumikia na kuwahudumia wananchi kwa kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo na kuboresha huduma za jamii.
Hayo yameelezwa leo jijini Arusha kwenye ukumbi wa Hotel ya Arusha Palace, na aliyekuwa Meya wa Jijiji la Arusha,Kalisti Lazaro,alipokuwa akitolea ufafanuzi kauli ya...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
HAPA KAZI TU: RAIS JOHN POMBE MAGUFULI AFANYA ZIARA YA GHAFLA WIZARA YA FEDHA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0qJn6gxPjR8/XuDYWU8ztBI/AAAAAAALtXM/vcldKanZfv8Y7_kuxvgq5AoDnLuQGQE6wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200610-WA0022.jpg)
MGALU ASEMA ATACHAPAKAZI NA KUTUMIKIA JAMII SI KWA AJILI YA UCHAGUZI BALI KUTIMIZA DHAMANA YA UONGOZI ALIYOPEWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-0qJn6gxPjR8/XuDYWU8ztBI/AAAAAAALtXM/vcldKanZfv8Y7_kuxvgq5AoDnLuQGQE6wCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200610-WA0022.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI, PWANI .
Mbunge Viti Maalum – Pwani, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu amesema ataendelea kupiga kazi na kutumikia wanawake pamoja na wananchi si kwa ajili ya uchaguzi bali kwakuwa amepewa dhamana ya kutumikia wananchi kipindi cha miaka mitano .
Aliyasema hayo ,wakati alipotoa mchango wa vyerehani 29 katika hatua ya awali kwa kundi la watu wenye Ulemavu kupitia mashirikisho yao ya ngazi za Wilaya na Mkoa.
Mgalu amefanya tukio hilo kwa kuitekeleza Ilani ya...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-hNRTlmu25cI/XvM0w02pnEI/AAAAAAABMlc/cELVG4ZOS20dbtb9PwjUc-dUdEvSBjiiwCLcBGAsYHQ/s72-c/LOWASSA.jpeg)
LOWASSA, MKEWE MIONGONI MWA WANANCHI MONDULI WALIOMDHAMINI RAIS MAGUFULI KUWANIA URAIS 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-hNRTlmu25cI/XvM0w02pnEI/AAAAAAABMlc/cELVG4ZOS20dbtb9PwjUc-dUdEvSBjiiwCLcBGAsYHQ/s400/LOWASSA.jpeg)
10 years ago
Bongo Movies22 Dec
JB Awataka Wasomi Wasifikiri Kuomba Kazi Bali Wafikirie Kutengeneza Ajira
Mwigizaji na muongozji mkongwe wa Filamu hapa nchini, Jacob Stephen “JB”aliweka bandiko hili mtandaoni akiwa mkoani Mwanza,kwenye mkutano na waandishi wa habari kuhusiana ma mradi mpya wakuhamasisha watanzania kujikita zaidi kwenye ujasiriamali ianayofahamika kwa jina la : “FURSA YA KUJITAJIRISHA KIADILIFU”.
JB aliandika;
“Watanzania wenzangu hasa wasomi.tusifikiri kuomba kazi baada ya kuhitimu masomo yetu badala yake tufikirie kutengeneza ajira.inawezekana....”
Picha :JB akiongea na...
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Simba yahaha kutafuta fedha za kujiandaa na ligi
10 years ago
Bongo Movies22 Dec
JB Awataka Wasomi Wasifikiri Kuomba Kazi Baada ya Masomo,Bali Wafikirie Kutengeneza Ajira
Mwigizaji na muongozji mkongwe wa Filamu hapa nchini, Jacob Stephen “JB”aliweka bandiko hili mtandaoni akiwa mkoani Mwanza,kwenye mkutano na waandishi wa habari kuhusiana ma mradi mpya wakuhamasisha watanzania kujikita zaidi kwenye ujasiriamali ianayofahamika kwa jina la : “FURSA YA KUJITAJIRISHA KIADILIFU”.
JB aliandika;
“Watanzania wenzangu hasa wasomi.tusifikiri kuomba kazi baada ya kuhitimu masomo yetu badala yake tufikirie kutengeneza ajira.inawezekana....”
Picha :JB akiongea na...