Karume aenziwe, si kwa maneno bali vitendo
Watanzania leo wanafanya kumbukizi ya miaka 43 tangu alipouawa Rais wa Kwanza wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Sheikh Abeid Amani Karume.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Mandela aenziwe kwa vitendo Afrika
Hayati Nelson Mandela, Rais wa kwanza mzalendo nchini Afrika Kusini leo unapumzishwa kwa safari yake ya mwisho kijijini kwake Qunu Jimbo la Eastern Cape. Ibada ya mwisho ya mazishi ya kiongozi huyo itafanyika leo kabla ya kuanza shughuli ya maziko.
9 years ago
MichuziPROFESA MUHONGO: MAENDELEO NI KWA VITENDO SIO MANENO
Mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini ambaye pia ni Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ameanza kwa kishindo kutekeleza ahadi zake kwa wananchi wa jimbo hilo. Profesa Muhongo alidhihirisha hayo juzi katika kijiji cha Murangi, Mkoani Mara katika kikao chake na baadhi ya wananchi wa jimbo hilo, watendaji wa Halmashauri ya Musoma Vijijini na madiwani huku lengo la kikao likiwa ni kujadili mipango na miradi ya uchumi na maendeleo ya jimbo hilo. Katika kikao hicho, iliazimiwa...
9 years ago
MichuziMAENDELEO NI KWA VITENDO SIO MANENO: PROFESA MUHONGO
Mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini ambaye pia ni Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ameanza kwa kishindo kutekeleza ahadi zake kwa wananchi wa jimbo hilo na huku akiahidi maendeleo kwa kasi zaidi.
Profesa Muhongo alidhihirisha hayo juzi katika kijiji cha Murangi, Mkoani Mara katika kikao chake na baadhi ya wananchi wa jimbo hilo, watendaji wa Halmashauri ya Musoma Vijijini na madiwani huku lengo la kikao likiwa ni kujadili mipango na miradi ya uchumi na maendeleo ya jimbo...
Profesa Muhongo alidhihirisha hayo juzi katika kijiji cha Murangi, Mkoani Mara katika kikao chake na baadhi ya wananchi wa jimbo hilo, watendaji wa Halmashauri ya Musoma Vijijini na madiwani huku lengo la kikao likiwa ni kujadili mipango na miradi ya uchumi na maendeleo ya jimbo...
10 years ago
BBCSwahili14 Aug
Wakamatwa kwa kutelekeza maiti Bali
Polisi kisiwani Bali nchini Indonesia wanawashikilia watu 2 baada ya mwili wa mwanamke kupatikana kwenye mfuko wa kusafiria.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-C0p1uBUQa2Q/XowRoqRH2SI/AAAAAAALmUw/d5suSC8vw88z5NglDNMOG74AhDcUCAQuACLcBGAsYHQ/s72-c/9edacecc-d70c-45eb-98aa-f6e2513480ef.jpg)
KARUME DAY KUMBUKIZI YA MIAKA 48 YA KIFO CHA SHEIKH ABEID AMANI KARUME.
![](https://1.bp.blogspot.com/-C0p1uBUQa2Q/XowRoqRH2SI/AAAAAAALmUw/d5suSC8vw88z5NglDNMOG74AhDcUCAQuACLcBGAsYHQ/s640/9edacecc-d70c-45eb-98aa-f6e2513480ef.jpg)
By MZEE WA ATIKALI ✍️✍️✍️
1. USULI:
Jumanne ya leo, tarehe 7.4.2020, imetimia miaka 48 toka aliyekuwa Rais wa kwanza wa Zanzibar, ndugu SHEIKH ABEID AMANI KARUME, alipouawa kwa kumiminiwa risasi nane na Luteni HOMOUD MOHAMMED BARWAN katika Afisi Kuu ya Afro Shiraz Party, Kisiwandui, Zanzibar.
Kwa mujibu wa "The Public Holidays Act, Cap. 35 (RE 2002)", sikukuu za kitaifa nchini ziko 17 na mojawapo ya sikukuu hizo ni "KARUME DAY". Hivyo, leo ni siku ya mapumziko.
Je, Mwanamapinduzi huyu...
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Maneno na Miundo ya maneno ya Kiswahili inayokanganya.
Baada ya kuandika juu ya Asili na Chimbuko la Kiswahili katika Afrika Mashariki, nitaeleza kwa muhtasari matatizo yanayoikumba lugha hii hasa katika tahajia, matamshi, maana na matumizi yake. Kwa maneno mengine, lugha ya Kiswahili hivi sasa inawakanganya watumiaji wake hasa wanafunzi wa ndani na nje ya Afrika Mashariki. Mkanganyiko huu unasababishwa na udhaifu uliopo katika taaluma ya lugha ya Kiswahili kama mofolojia, fonolojia, sintaksia na semantiki kwa waandishi na watangazaji wa...
9 years ago
VijimamboMAMA KARUME AZINDUA MICHUANO YA KARUME CUP
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J4Q91QIejus/Xmd_f1Z48FI/AAAAAAAAIZg/r3hbZfRDPUw9DGYGG6R1B6If3QC1hKF4ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200310_123009_204.jpg)
KALIST ASEMA CCM HAITATUMIA DOLA KUTAKA MADARAKA BALI DOLA KWA NI KUTUMIA KWA KUTUMIKIA WANANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-J4Q91QIejus/Xmd_f1Z48FI/AAAAAAAAIZg/r3hbZfRDPUw9DGYGG6R1B6If3QC1hKF4ACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200310_123009_204.jpg)
Mstahiki Meya Mstaafu wa Jiji la Arusha Kalist Lazaro akiongea na vyombo vya habari leo leo jijini Arusha
Na Ahmed Mahmoud Arusha
CHAMAcha Mapinduzi,CCM, hakitatumia dola kubakia madarakani bali kitaitumia dola katika kuwatumikia na kuwahudumia wananchi kwa kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo na kuboresha huduma za jamii.
Hayo yameelezwa leo jijini Arusha kwenye ukumbi wa Hotel ya Arusha Palace, na aliyekuwa Meya wa Jijiji la Arusha,Kalisti Lazaro,alipokuwa akitolea ufafanuzi kauli ya...
10 years ago
Habarileo24 Sep
'Maneno maneno' yamkera Waziri
WAZIRI wa Maji Profesa Jumanne Maghembe amekerwa na kauli ya kuwa Bahi hawautaki mradi wa maji wa bwawa la Farkwa na kutaka maoni ya watu wachache yasiwe sababu za kukwamisha mradi huo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania