Maporomoko ya Mto Kalambo kuboreshwa
ENEO la utalii la maporomoko ya Mto Kalambo lililoko mkoani Rukwa, liko mbioni kuboreshwa baada ya michoro ya ujenzi wa miundombinu yake kukamilika.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rQEdWxaaOA8/U-DMARLPYOI/AAAAAAAAFzI/c6EMAO41Yno/s72-c/IMG_2763.jpg)
JUHUDI ZA UONGOZI WA MKOA WA RUKWA KUENDELEZA UTALII WA MAPOROMOKO YA KALAMBO (KALAMBO FALLS) ZAENDELEA
![](http://2.bp.blogspot.com/-rQEdWxaaOA8/U-DMARLPYOI/AAAAAAAAFzI/c6EMAO41Yno/s1600/IMG_2763.jpg)
Zipo jitihada kadhaa zilizokwishafanywa na uongozi wa Mkoa wa Rukwa ukiongozwa na Mkuu wa Mkoa huo Eng. Stella Manyanya katika...
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/bBE8eiH8od4/default.jpg)
GARI LATUMBUKIA MTO WAMI, DEREVA BADO YUPO CHINI YA MAJI. MTO UNA VIBOKO NA MAMBA (+ VIDEO)
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/06/james-660x400.jpg)
11 years ago
BBCSwahili31 Jul
Kijiji chafunikwa na maporomoko,India
Zaidi ya watu 200 wanahofiwa kukwama katika maporomoko ya udongo nchini India.
9 years ago
BBCSwahili21 Dec
85 watoweka baada ya maporomoko China
Zaidi ya wakoaji 1000 wanatafuta manusura 85 kusini mwa China siku moja baada ya maporomoko ya ardhi kuangusha nyumba 33 katika mji wa Shenzhen .
10 years ago
BBCSwahili17 Nov
Maporomoko ya udongo yaua Ulaya
Watu wanne wamekufa kufuatia maporomoko ya udongo nchini Italia na Uswisi
10 years ago
Tanzania Daima17 Aug
Maporomoko yaua familia mbili
WATU wanne wa familia mbili tofauti, wamepoteza maisha huku wengine wawili wakijeruhiwa katika eneo la Sinai-Mabatini, Wilaya ya Nyamagana jijini Mwanza baada ya kuporomokewa na mawe kufuatia mvua kubwa iliyonyesha...
10 years ago
BBCSwahili11 Jun
Maporomoko yawaua watu 15 Nepal
Takriban watu 15 wamefariki huko Nepal baada ya maporomoko yaliosababishwa na mvua kubwa kuvizika vijiji sita huko kaskazini mashariki.
11 years ago
BBCSwahili25 Mar
176 wapotea baada ya maporomoko Marekani
Maafisa wa utawala katika jimbo la Washington nchini Marekani, wamepata miili sita zaidi baada ya ukuta wa matope kuporomoka Jumamosi, 176 hawajulikani waliko
10 years ago
BBCSwahili20 Aug
Maporomoko ya ardhi yaua watu 32 Japan
Watu wapatao 32 wameuawa katika maporomoko ya ardhi katika mkoa wa Hiroshima magharibi mwa Japan.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania