Maporomoko yaua familia mbili
WATU wanne wa familia mbili tofauti, wamepoteza maisha huku wengine wawili wakijeruhiwa katika eneo la Sinai-Mabatini, Wilaya ya Nyamagana jijini Mwanza baada ya kuporomokewa na mawe kufuatia mvua kubwa iliyonyesha...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili17 Nov
Maporomoko ya udongo yaua Ulaya
11 years ago
Michuzi15 Jul
AJALI YA MAPOROMOKO KILIMANJARO YAUA MMOJA
Shirika la Hifadhi za Taifa...
10 years ago
BBCSwahili20 Aug
Maporomoko ya ardhi yaua watu 32 Japan
11 years ago
CloudsFM23 Jul
FUTARI YAUA WATATU WA FAMILIA MOJA
Watu watatu wa familia moja, wakazi wa Kijiji cha Kwasunga wilayani Handeni wamekufa baada ya kula futari ya mihogo inayosadikiwa kuwa na sumu.Akizungumza na waandishi wa habari jana, kamanda wa polisi wa Mkoa wa Tanga, Constantine Massawe alisema tukio hilo lilitokea juzi saa 1:00 usiku eneo la Kwasunga Handeni na maiti zimehifadhiwa katika Hospitali ya Wilaya ya Handeni.
Kamanda Massawe aliwataja waliokufa kuwa ni Juma Jumbe (6), Abdi Jumbe (10) na Ramadhani Jumbe (15). Pia alisema kuwa...
9 years ago
Mwananchi19 Aug
Ajali yaua watano wa familia moja
9 years ago
Mwananchi09 Dec
Majambazi yaua walinzi, yapora benki mbili Dar
10 years ago
BBCSwahili11 Jun
Maporomoko yawaua watu 15 Nepal
9 years ago
BBCSwahili21 Dec
85 watoweka baada ya maporomoko China
11 years ago
BBCSwahili31 Jul
Kijiji chafunikwa na maporomoko,India