Tuliyoambiwa hatukuyafanyia kazi, tumeendelea na hamsini zetu
Mwaka 1995, Mwalimu Julius Nyerere alipozungumzia nyufa zinazotishia kupasua jengo la Taifa hili, kwa takriban miaka mitano iliyofuata mazungumzo katika duru za kijamii na kisiasa yalikuwa nyufa, nyufa, nyufa…
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-h9Lxnl9ahhY/VBWN8iibpRI/AAAAAAAGjis/E4gIHa_BqIk/s72-c/PIX%2B1%2B(1).jpg)
Wabunge wanawake wasisitiza ajenda ya hamsini kwa hamsini kutokakwepeka katika Katiba Mpya ijayo
![](http://3.bp.blogspot.com/-h9Lxnl9ahhY/VBWN8iibpRI/AAAAAAAGjis/E4gIHa_BqIk/s1600/PIX%2B1%2B(1).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MB_FaimexKE/VBWN8hPwR-I/AAAAAAAGjio/sDqgzccOH7k/s1600/PIX%2B3%2B(1).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
LIDA MSAKI: Wazawa hawathamini kazi zetu
“WAGENI wanaotoka nje ya nchi na kufika nchini kwa ajili ya utalii ndio wanaothamini bidhaa za wajasiriamali wa ndani kuliko Watanzania wenyewe.” Hiyo ni kauli ya Lida Msaki anayejishughulisha na...
10 years ago
Bongo Movies19 Dec
Nisha: Wezi Wa Kazi Zetu Wanatushusha....Shabiki Nini Kifanyike?
Ikiwa ni siku tatu tu! zimebaki kutoa movie yake mpya HAKUNA MATATA mwigizaji wa kike wa filam hapa bongo, Salma Jabu Nisha kupitia mtandaoni ameonyesha kuumizwa naswala zima la wezi wa kazi za wasanii hapa nchini na kusema ndio kitu pekee kinachaowarudisha nyuma, katika kuelezea swala hilo akaomba mchango wa mawazo ya jinsi ya kulitatua taizo hili.
Nanukuu;
"Swala la msanii kuibiwa ni swala sugu sana,wewe shabiki yetu tukipotea kwenye tasnia utajiskiaje?
Kikubwa kazi zetu zinaibiwa...
9 years ago
BBCSwahili10 Dec
Watu hamsini wauawa Kandahar
11 years ago
BBCSwahili12 Dec
Kenya yakata keki miaka hamsini!
10 years ago
Dewji Blog14 Sep
Wanawake wataka hamisini kwa hamsini Katiba Mpya ijayo
Naibu Waziri Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mhe. Pindi Chana akiwahutubia baadhi ya wanawake na wanaume waliohudhuria semina maalum iliyohusu kuwawezesha wanawake katika masuala ya uongozi, utatuzi wa migogoro pamoja na harakati za uchaguzi iliyofanyika jana 13 Septemba, 2014 mjini Dodoma.
Na Benedict Liwenga, MAELEZO-Dodoma.
Katika juhudi za kuleta usawa wa kijinsia na kuinua hadhi ya wanawake, Serikali imefanya jitihada kubwa katika masuala ya kiuchumi, kisiasa na kijamii...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uXC_Rup3pAU/Uz6clDoflmI/AAAAAAAFYZI/_HSS1rDR5wo/s72-c/IMG_9309.jpg)
RAIS SHEIN ATEBELEA MNARA WA MIAKA HAMSINI MICHENZAI PIA KIWANJA KARIAKOO UNGUJA
![](http://3.bp.blogspot.com/-uXC_Rup3pAU/Uz6clDoflmI/AAAAAAAFYZI/_HSS1rDR5wo/s1600/IMG_9309.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uN6Z9THaIE8/Uz6cmXJlvsI/AAAAAAAFYZQ/ZcPqFDrjsSc/s1600/IMG_9313.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qV1zkeXzhnk/U0echaCdJxI/AAAAAAAFZ6g/GTV4ObKqlsA/s72-c/New+Picture.png)
sherehe za miaka hamsini ya Jamhuri ya Muungano waTanzania kwa muda wa siku mbili kuanzia tarehe 25 hadi 26 Aprili, 2014 nchini Ujerumani
![](http://4.bp.blogspot.com/-qV1zkeXzhnk/U0echaCdJxI/AAAAAAAFZ6g/GTV4ObKqlsA/s1600/New+Picture.png)
Kama mnavyofahamu kuwa siku ya tarehe 26 Aprili, 2014 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatimiza miaka hamsini (50), kwa lugha nyingine ni “Golden Jubilee”.
Katika kuadhimisha sherehe hii kubwa na muhimu, Ubalozi umeamua kuandaa Kongamano la Biashara (Investment Forum) kwa siku ya tarehe 25 Aprili, 2014 pamoja na siku ya terehe 26 Aprili, 2014 kuwa siku ya mdahalo (Scholars' day) mjini Berlin, Ujerumani.
Madhumuni makubwa ya Kongamano hili ni kuwatangazia na kuwaonyesha...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-G4dyL5chIBs/VgM-Jd8VgZI/AAAAAAAD82o/s9YbHBTFmSE/s72-c/9c30e65a94a0148de459c0a9022e7172.jpg)
USO KWA USO NA SENTI HAMSINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-G4dyL5chIBs/VgM-Jd8VgZI/AAAAAAAD82o/s9YbHBTFmSE/s640/9c30e65a94a0148de459c0a9022e7172.jpg)