Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LIDA MSAKI: Wazawa hawathamini kazi zetu

“WAGENI wanaotoka nje ya nchi na kufika nchini kwa ajili ya utalii ndio wanaothamini bidhaa za wajasiriamali wa ndani kuliko Watanzania wenyewe.” Hiyo ni kauli ya Lida Msaki anayejishughulisha na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Tuliyoambiwa hatukuyafanyia kazi, tumeendelea na hamsini zetu

Mwaka 1995, Mwalimu Julius Nyerere alipozungumzia nyufa zinazotishia kupasua jengo la Taifa hili, kwa takriban miaka mitano iliyofuata mazungumzo katika duru za kijamii na kisiasa yalikuwa nyufa, nyufa, nyufa…

 

10 years ago

Bongo Movies

Nisha: Wezi Wa Kazi Zetu Wanatushusha....Shabiki Nini Kifanyike?

Ikiwa ni  siku tatu tu! zimebaki kutoa  movie yake mpya HAKUNA MATATA mwigizaji wa kike wa filam hapa bongo, Salma Jabu Nisha kupitia mtandaoni ameonyesha kuumizwa naswala zima la wezi wa kazi za wasanii hapa nchini na kusema ndio kitu pekee kinachaowarudisha nyuma, katika kuelezea swala hilo akaomba mchango wa mawazo ya jinsi ya kulitatua taizo hili.

Nanukuu;

"Swala la msanii kuibiwa ni swala sugu sana,wewe shabiki yetu tukipotea kwenye tasnia utajiskiaje?

Kikubwa kazi zetu zinaibiwa...

 

10 years ago

Michuzi

JIMMY MSAKI OBTUARY

Our dear sweet beloved father, son, brother, uncle and friend – JIMMY DIXON RAMMA MSAKI, Three years since you have passed away on August 28, 2011, after a brave difficult fight.
Our thoughts are ever with you, though you have passed away, and those who loved you dearly are thinking of you today.
Death separates our bodies, but our hearts remain the same Even after you have left our sight in our thoughts your light shines bright until we meet again.
“Do not be anxious about anything, but...

 

10 years ago

Vijimambo

Davies J Msaki aka TeeKiLLa, from Tanzania representing the 255.

Hello, I go by the name of Davies J Msaki aka TeeKiLLa, from Tanzania representing the 255. I recently dropped a video of my new song "Gansta sh**" and would appreciate if you helped me put the word out about my music and what I represent as far as music.

 

10 years ago

Michuzi

WADAU DENIS B. MSAKI (NASIBU) NA SIAEL WALIVYOMEREMETA NDANI YA UKUMBI WA GREEN LEAF KIMARA KOROGWE

Kati kati ni Bwana na Bibi Denis (Nasibu) Msaki wakiwa na wasimamizi wao katika harusi yao takatifu iliyofungwa katika kanisa la Roman Katoliki parokia ya Mavurunza Kimara jijini Dar es salaam.Maharusi Denis na Siael wakimtanguliza Mungu kabla ya kuanza kwa sherehe iliyofanyika katika ukumbi wa Green leaf Kimara Korogwe. Bwana na Bibi Denis (Nasibu) Msaki siku ya jana ya tarehe 20/09/2014 ndio siku yao ambayo walikuwa wanaisubiri kwa muda mrefu baada ya kutimiza ndoto yao katika uchumba wao...

 

10 years ago

Mwananchi

Gesi kuwafaidisha wazawa

Watanzania wataanza kunufaika na gesi asilia mwakani baada ya megawati 1,500 za umeme unaotokana na gesi asilia pekee kuanza kuzalishwa, jambo linaloelezwa kuwa litapunguza gharama kwa watumiaji.

 

9 years ago

Mwananchi

Wazawa hoi, wageni watesa

Wakati Ligi Kuu Tanzania Bara ikizidi kushika kasi nchini, nyota wa kigeni waliosajiliwa na timu za Simba, Yanga na Azam wamewafunika wazawa baada ya kutoa mchango wa zaidi ya 80% kwenye mabao yaliyofungwa na timu hizo.

 

11 years ago

Mwananchi

Wawekezaji wazawa waibana Serikali

>Serikali imetakiwa kuweka ukomo wa mambo ya kuwekeza baina ya wawekezaji wa ndani na wa nje kwa lengo la kuwawezesha wazawa kujijenga na kukua zaidi ili kuinua uchumi wa Taifa.

 

9 years ago

Mwananchi

Wazawa watakiwa kuiga China

Watanzania wametakiwa kujifunza masuala mbalimbali ya kibishara na ukuzaji wa viwanda kwa wawekezaji kutoka China.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani