Wazawa watakiwa kuiga China
Watanzania wametakiwa kujifunza masuala mbalimbali ya kibishara na ukuzaji wa viwanda kwa wawekezaji kutoka China.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 Feb
Maudhui ya kuiga yanaziangusha filamu
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Kwenzi: Bingwa wa kuiga sauti — 2
KATIKA makala iliyotangulia, tuliona mambo mengi kuhusiana na ndege kwenzi, lakini tukaishia katika maelezo ya maeneo ambayo ndege hawa wanapatikana kwa wingi. Tuliona kuwa kwenzi ni ndege anayepatikana katika mazingira...
10 years ago
BBCSwahili31 Jan
Maelfu waandamana Madrid kuiga Ugiriki
10 years ago
Mwananchi21 Mar
Kuiga kwenu kunabomoa maadili yetu
10 years ago
StarTV28 Jan
JUKATA laitaka Tanzania kuiga mfumo wa Zambia.
Na Immaculate Kilulya,
Dar es Salaam.
Jukwaa la Katiba Tanzania JUKATA limesema Tanzania inapaswa kuiga mfumo wa Serikali ya Zambia wa kupima afya za wagombea wa Urais na nafasi nyeti serikalini na majibu yao kutangazwa hadharani ili kuondoa tatizo la viongozi kufariki dunia wakiwa madarakani.
JUKATA inasema viongozi wa juu barani Afrika wamekuwa wakifariki wakiwa madarakani kutokana na magonjwa mbalimbali na kusababisha chaguzi kurudiwa hivyo kuathiri uchumi wa nchi hizo.
Zambia ni...
10 years ago
BBCSwahili08 Mar
Boko Haram kuiga mfano wa Islamic State
11 years ago
Habarileo09 Jan
Muhongo: Tanzania ina mengi ya kuiga kwa Algeria
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema Tanzania ina mambo mengi ya kuiga kutoka nchi ya Algeria, hasa eneo la uchimbaji wa madini mafuta na gesi huku akiwataka wananchi kukubali mabadiliko ili kufikia eneo walipofikia wenzetu.
9 years ago
Bongo503 Oct
Kuiga muziki wa nje itatuletea athari baadae — Inspekta Haroun
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_GHM1Cvpvdo/XvZFGOHhDTI/AAAAAAALvn4/cuyWKcerip0GVKtEAC6da8jDy6MBISz5QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200623-WA0073.jpg)
WAZIRI KAIRUKI APONGEZA NA KUWATAKA WAWEKEAZAJI WA VIWANDA KUIGA MFANO WA KAMPUNI QWIHAYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-_GHM1Cvpvdo/XvZFGOHhDTI/AAAAAAALvn4/cuyWKcerip0GVKtEAC6da8jDy6MBISz5QCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200623-WA0073.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-1whsxV17sJI/XvX2ArxIlyI/AAAAAAAAIAU/1clWDanUHl0ME-NWFUnDlzwjbpGNvqkfQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200623-WA0067.jpg)
Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya uchakataji nguzo za umeme ya Qwihaya General Enterprises Company Ltd Leonard Maheda akimueleza jambo waziri Kairuki alipofanya ziara katika kiwanda hicho kilicho mkoani Iringa wilaya ya Mufindi
![](https://1.bp.blogspot.com/-1Bhf7N3FOgY/XvX2CQhxARI/AAAAAAAAIAc/0OthCndMOoMIN4ncCXWb4OdXtO_WJfWhQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200623-WA0080.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri mkuu,Uwekezaji Angellah Kairuki akitete jambo naMkurugenzi mtendaji wa kampuni ya uchakataji nguzo za umeme ya Qwihaya General Enterprises Company Ltd Leonard Maheda pamoja na mbunge wa jimbo la Mafinga Mjini Cosato...