Kuiga muziki wa nje itatuletea athari baadae — Inspekta Haroun
Mkongwe wa Bongo fleva Inspekta Haroun amesema kuwa kitendo cha wasanii wengi wa sasa kuiga mitindo ya muziki wa nje inachangia kupoteza ladha ya muziki wetu. Inspekta ambaye anatakumbulika kwa hits kali ikiwemo ‘Mtoto Wa Geti kali’ aliyofanya akiwa Gangwe Mob, amesema wasanii wa sasa wanaimba vizuri na kufanya vizuri, lakini muziki wao una vionjo […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo528 Sep
Inspekta Haroun: Muziki unahitaji mapambano, sijakata tamaa
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
Rich One atoka na Inspekta Haroun
MSANII mkongwe wa muziki wa kizazi kipya nchini, Haruna Kahena ‘Inspekta Haroun’, aliyetikisa katika ulimwengu wa muziki huo miaka ya nyuma, anatarajia kusikika tena katika wimbo ‘Ndwee’ wa nyota wa...
10 years ago
Bongo517 Jan
Inspekta Haroun: Sina mpango wa kuingia kwenye siasa
9 years ago
Bongo509 Nov
Inspekta Haroun kurap matukio ya mwaka mzima kwenye ‘Januari/Disemba’
![Inspekta](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Inspekta-300x194.jpg)
Inspekta Haroun amejipanga kufunga mwaka kwa kuachia wimbo uitwao Januari/Disemba utaokuwa ukizungumzia matukio yote ya mwaka mzima.
Inspekta amesema amefanya hivyo ili watu wabaki na kumbukumbu ya matukio ya mwaka 2015.
“Nimezungumzia matukio ya mwaka mzima kuanzia Januari mpaka Disemba na ni idea ili kupata kitu kizuri ambacho hata mtu akikisikiliza anaelewa mwaka umeendaje,” rapper huyo ameiambia Bongo5.
“Hii ngoma itatoka mwaka huu, sasa hivi nipo kwenye michakato ya kuimalizia na...
10 years ago
Dewji Blog07 Nov
Skylight Band yazidi kuwateka mashabiki wake wa muziki wa live, tukutane baadae Thai Village
Majembe ya Skylight Band yakitoa burudani ya kukata na shoka kwa mashabiki wao Ijumaa iliyopita ndani ya ukumbi wa Thai Village Masaki jijini Dar..Kutoka kushoto ni Aneth Kushaba AK47, Mkongwe wa muziki wa dansi Joniko Flower, Sony Masamba a.k.a Fally Ipupa wa bongo, Digna Mbepera na Sam Mapenzi.
Sehemu ya umati wa mashabiki wa Skylight Band wakiburudika na sebene la Nasaka Dough ndani ya kiota cha Thai Village Masaki Ijumaa iliyopita.
Kikosi kazi cha Skylight Band kikiongozwa na rapa...
10 years ago
Vijimambo07 Nov
SKYLIGHT BAND YAZIDI KUWABAMBA MASHABIKI WAKE WA MUZIKI WA LIVE, TUKUTANE BAADAE THAI VILLAGE
![DSC_0225](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0225.jpg)
![DSC_0179](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0179.jpg)
![DSC_0242](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0242.jpg)
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0225.jpg)
SKYLIGHT BAND YAZIDI KUWABAMBA MASHABIKI WAKE WA MUZIKI WA LIVE, TUKUTANE BAADAE THAI VILLAGE
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Siasa ina athari soko la muziki?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZGGCrW1Jrgirei5p4CccdnEDAI8rbM-kyZ16iRKmZVfDLhxghAPVorCbpaT*YEznqnZ*RotfoiNHuE*woy4Ly5rvI9QSZs3T/8.jpg)
RECHO: MAISHA NJE YA MUZIKI